Home »
» RC CHALAMILA AKAGUA UTENDAJI WA BANDARI BUKOBA (TPA)
RC CHALAMILA AKAGUA UTENDAJI WA BANDARI BUKOBA (TPA)
MKUU wa Mkoa wa Kagera Alberth Chalamila amewataka watumishi wa bandari (TPA) kuwa waadilifu ,kuheshimiana, kuzingatia maadili na kutekeleza majukumu yao kama taratibu zinavyotaka hayo yamejili mapema mkoani hapo.
"Mimi sehemu kubwa naangalia mapato ya umma hivyo nachoweza kusema Hapa bado hakuna utaratibu mzuri wa kibandari, uchakavu wa Miundombinu na matumizi sahihi ya teknolojia , kama bandari haina scanner ni jambo la hatqri , hili ni muhimu sana Meneja lishughulikie kwa nguvu na kwa uharaka Sana "ameeleza chamamila"
Aidha ameeleza juu ya uholela wa mialo na upitishaji wa madawa ya kulevya na kuna mbinu nyingi zinatumika kupitisha madawa hayo ikiwemo kuweka kwenye nyama zinazoenda visiwani, pia upitishwaji wa mizigo ambayo hailipowi kwa kutopewa namba ya malipo mfano mizigo ya barafu na Mafuta hivyo kuwapa wiki Moja kabadilika kabla ya Kuanza kuchukua hatua kwani huduma wanayoitoa ni kwa manufaa ya umma.
Matukio ya Picha wakati ukaguzi unaendelea
Related Posts:
SIKU YA 4 YA MAONESHO YA NANENANE KITAIFA DODOMA YANAENDELEA VIWANJA VYA NZUGUNI Na. Kadala Komba DodomaWananchi kutoka maeneo mbalimbali wametembelea Banda la @DASPA. Elimu mbalimbali kuhusu Mbegu bora za Mbaazi,Kunde,Uwele, Karanga na Mtama (small packs) zinatolewa bila malipo hadi tarehe 1… Read More
TAGAZO LA NAFASI ZA KAZI MTENDAJI WA KIKIJI,MADEREVA, MSAIDIZI MTUNZA KUMBUKUMBU WANAHITAJIKA … Read More
TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI … Read More
WAKULIMA WAMETAKIWA KUCHANGAMKIA FURSA ZAO LA MBAAZI ILONGA 14 M-2 Na. Kadala Komba DodomaMaonesho ya mwaka huu yaliyobeba kauli mbiu isemayo "Chagua viongozi bora wa Serikali za Mitaa kwa maendeleo endelevu ya Kilimo, mifugo na uvuvi" yalianza tarehe Agosti 01, 2024 na yanategemewa ku… Read More
MATUKIO YA PICHA ZA MAONESHO YA NANENANE KITAIFA DODOMA Na. Kadala Komba Dodoma Maonesho ya Nanenane kitaifa yamefunguliwa rasmi tarehe 1,Agosti, 2024 Jijini Dodoma na Waziri Mkuu wa Jamhuri wa Muungano wa Tanzania Mhe. Kassim Majaliwa hadi Agosti 8,2024 ambapo Elimu m… Read More
0 Comments:
Post a Comment