Baadhi ya viongozi nchini Tanzania wameanza kuchukua fomu za kugombea Udiwani katika kuelekea Uchaguzi Mkuu unaotarajiwa kufanyika mwezi Oktoba mwaka huu.
Miongoni mwa waliotangaza nia hiyo ni EMMANUEL SALLY KAFULYA* , ambaye leo Jumamosi, Juni 28, 2025, amechukua fomu ya kugombea Udiwani kata ya Bahi kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM).
Akizungumza baada ya kuchukua fomu hiyo katika Ofisi ya CCM Kata ya Bahi , Kafulya amesema:"Nikiwa kama mwanachama wa CCM, nimekuja kutekeleza haki yangu ya kikatiba ya kuchaguliwa. Nimechukua fomu ya kuomba ridhaa ya kuwania nafasi ya Udiwani kuwakilisha Kata ya Bahi
Home »
» EMMANUEL SALLY KAFULYA ACHUKUA FOMU YA UDIWANI KATA YA BAHI
0 Comments:
Post a Comment