Subscribe Us

This is default featured slide 1 title

Go to Blogger edit html and find these sentences.Now replace these sentences with your own descriptions.

*NAIBU WAZIRI DKT. KIRUSWA AIHAKIKISHIA NCHI YA KOREA KUSINI FURSA ZA UWEKEZAJI SEKTA YA MADINI*

Na. Mwandishi wetu Naibu Waziri wa Madini Dkt. Steven Kiruswa ameihakikishia Nchi ya Korea Kusini kuhusu uwepo wa fursa nyingi za uwekezaji katika Sekta ya Madini. Dkt. Kiruswa ametoa wito huo wakati akifungua mkutano wa kitaalamu wa African Minerals Geosciences Initiative (AMGI) uliolenga kuonesha maeneo ya kipaumbele sambamba na mkakati wa Serikali kuboresha taarifa...

IDARA YA MAAFA YAWAPIGA MSASA WABUNGE

Na. Mwandishi wetu. Idara ya Menenjimenti ya Maafa imefanya semina ya kuwajengea uwezo wajumbe wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Katiba na Sheria kuhusu Muswada wa Sheria ya Usimaizi wa Maafa ili kuwa na uelewa wa pamoja kuhusu sheria na namna zinavyofanya kazi pindi maafa yanapojitokeza. Semina hiyo ilifanyika katika Ukumbi wa Bunge Jijini Dodoma ikihusisha wajumbe wote...

MTAKWIMU MKUU ASILIMIA 99.93 WAMEHESABIWA NCHI NZIMA

Na. Kadala Komba Dodoma MTAKWIMU Mkuu wa Serikali Dk.Albina Chuwa amesema tangu kuanza kwa zoezi la Sensa ya Watu na Makazi Agosti 23 Mwaka huu Nchini kote hadi kufikia Leo kiwango Cha Kaya zilizohesabiwa imefikia asilimia 99.93na zimebaki asilimia 0.07 tutaendelea kuhesabu Hadi tarehe 5 Septemba 2022. "Ambapo simu zilizotolewa zitatumika kuwafikia ambao hawajahesabiwa...

CHANJO YA POLIO MZUNGUKO WA 3 KUTOLEWA NYUMBA KWA NYUMBA DODOMA

Na.Kadala Komba Dodoma Bi. Lotalias Gadau afisa mradi mpango wa Taifa wa chanjo wizara ya afya amesema lengo la semina hii kwa waandishi wa habari ni kuwakumbusha kuhusiana na kampeni ya chanjo ya matone ya polio ya awamu ya Tatu ambayo inatalajiwa kuanza kutolewa tarehe 1 hadi 4 Septemba mwezi hujao. Hayo yamejili mkoani Dodoma wakati wa semina na waandishi wa habari...

RC CHALAMILA AKAGUA UTENDAJI WA BANDARI BUKOBA (TPA)

MKUU wa Mkoa wa Kagera Alberth Chalamila amewataka watumishi wa bandari (TPA) kuwa waadilifu ,kuheshimiana, kuzingatia maadili na kutekeleza majukumu yao kama taratibu zinavyotaka hayo yamejili mapema mkoani hapo. "Mimi sehemu kubwa naangalia mapato ya umma hivyo nachoweza kusema Hapa bado hakuna utaratibu mzuri wa kibandari, uchakavu wa Miundombinu na matumizi sahihi ya...

HABARI KUBWA KWENYE MAGAZETI YA LEO JUMATANO AGOSTI 31,2022

...

WAZIRI MASHIMBA NDAKI SERIKALI IMETENGA SH. BILLIONI 60 KUIMARISHA SEKTA YA UVUVI

Na.Kadala Komba Dodoma SERIKALI imetenga sh.bilioni 60 kwa ajili ya kuwawezesha wavuvi na wakuzaji viumbe maji kwa kuboresha shughuli zao, kuwaongezea mitaji na kuwapatia ajira ya uhakika. Hayo yamejili leo jijini Dodoma, na Waziri wa Uvuvina Mifugo Mashimba Ndaki wakati wa hafla ya kusaini makubaliano kati ya wizara ya mifugo na uvuvi na benki ya maendeleo ya kilimo (TADB),...

WAZIRI SIMBACHAWENE:AMEWATAKA WAKRISTO NCHINI KUFANYA KAZI KWA BIDII

Na Mwandishi wetu- Dodoma Wakristo nchini wametakiwa kufanya kazi kwa bidii ili kujietea maendeleo, changia pato la Taifa na kutatua changamoto zilizo katika maeneo yao. Hayo yameelezwa na Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu Sera, Bunge na Uratibu Mhe. George Simbachawene wakati akizunguma katika sherehe ya kumweka wakfu Askofu wa tatu wa Kanisa la Anglikana Dayosisi...

Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo August 30, 2022

...