
Na Moreen Rojas,
Dodoma
Wakala wa barabara Tanzania (TANROADS) imesema imefanikiwa kukamilisha jumla ya miradi 14 yenye urefu wa kilometa 883 katika kipindi cha awamu ya sita chini ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan wenye gharama ya shilingi Trilioni 1.37.
Hayo yamesemwa na Mtendaji Mkuu wa (TANROADS) Mhandisi Rogatus Mativila wakati akizungumza...