Subscribe Us

This is default featured slide 1 title

Go to Blogger edit html and find these sentences.Now replace these sentences with your own descriptions.

TANROADS YATUMIA SHILINGI TRILIONI 1.37 KUKAMILISHA MIRADI 14 KWA KIPINDI CHA SERIKALI AWAMU YA SITA.

Na Moreen Rojas, Dodoma Wakala wa barabara Tanzania (TANROADS) imesema imefanikiwa kukamilisha jumla ya miradi 14 yenye urefu wa kilometa 883 katika kipindi cha awamu ya sita chini ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan wenye gharama ya shilingi Trilioni 1.37. Hayo yamesemwa na Mtendaji Mkuu wa (TANROADS) Mhandisi Rogatus Mativila wakati akizungumza...

RAIS SAMIA KUZINDUA MATOKEO YA SENSA NA MUONGOZO WA MATUMIZI YA MATOKEO HAYO JIJINI DODOMA

Na. Kadala Komba Dodoma Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar  Hamza  Hassan Juma,akizungumza na waandishi wa habari (hawapo pichani) kuhusu uzinduzi wa  Matokeo ya Mwanzo ya Sensa ya Watu na Makazi, Sensa ya Majengo na Sensa ya Anwani za Makazi  ya Mwaka 2022 pamoja na muongozo wa matumizi ya matokeo hayo leo Oktoba...

NAIBU WAZIRI MERYPRICA MAHUNDI AMETOA OYO KALI KWA WALE WANAOCHEPUSHA MAJI

     Naibu Waziri wa Maji Meryprisca Mahundi akizungumza kwenye kikao baina ya Kamati ya Mawaziri Nane wa Wizara za Kisekta inayoshughulikia migogoro ya matumizi ya ardhi katika vijiji 975 na wananchi wa kijiji cha Mpanga wilayani Wanging’ombe mkoani Njombe Oktoba 27, 2022. Naibu Waziri wa Maji Meryprisca Mahundi akiwa na Mawaziri wenzake...

KATAMBI AMEWATAKA VIJANA KUJITAMBUA NA KUTHUBUTU

Na. Kadala Komba Dodoma  Naibu Waziri ofisi ya Waziri Mkuu ,Kazi Ajira na Watu Wenye Ulemavu Mhe. Patrobas Katambi,  amewataka vijana kujitabua ,kuwa na uthubutu pamoja na kujiwekea malengo ,Amesema uwezi kupewa lifti kama umekaa nyumbani wakatio unasafari ya kwenda Daresalam lazima usogee Barabarani ukisimama tu wanajua wewe ni msafiri utapewa lifti .Hayo ...

BAHI YAFUNGUA MILANGO KWA WANAFUNZI WANAOISHI MAZINGIRA MAGUMU.

  Na Kadala Komba- Dodoma Diwani wa Kata ya Mpamatwa, Sosthenes Mpandu amewataka wanafunzi  kusoma kwa juhudi na kujiamini ili kufanya vizuri katika mitihani yao hatimaye waweze kujiunga na masomo ya elimu ya juu. Diwani huyo ameyasema hayo hivi karibuni katika mahafali ya  11 ya  kidato cha nne shule ya   Sekondari  Mpamatwa iliyopo Wilaya...

NAIBU WAZIRI WIZARA YA MAJI ATEMBELEA MKOA WA KIGOMA

Na Mwandishi wetu Kigoma Naibu Waziri wa Maji Mhandisi Maryprisca Mahundi (Mb) ametembelea Mradi wa Kuboresha Huduma ya Maji na Usafi wa Mazingira Kigoma. Mradi huu unatumia ziwa Tanganyika kama chanzo cha maji, katika eneo la fukwe ya Amani, Kata ya Bangwe Kigoma.Mhe. Mahundi amesema hatua iliyofikiwa katika utekelezaji wa mradi huo inatia matumaini, na amewaagiza...

JUMUIYA YA MARIDHIANO YAMTUNUKU RAIS SAMIA TUZO YA HESHIMA

Na. Kadala Komba DodomaJUMUIYA ya Maaridhiano mkoa wa Dodoma imemkadhi Tuzo Rais Samia Suluhu Hassani,kutokana na kuutambua mchango wake mkubwa wa kuiongoza nchi pamoja na Watanzania kwa amani. Tuzo hiyo imepokelewa na Mkuu wa mkoa wa Dodoma Rosemary Senyamule kwa niaba ya Rais Samia Suluhu Hassan kwenye mkutano Mkuu maalum wa kuombea nchi uliofanyika mkoani hapa. Akizungumza...

BILIONI 1.7 ZIMETUMIKA KUJENGA BWENI LA WANAFUNZI WA KIKE

Na. Moreen Rojas, Dodoma.Taasisi ya Afrika ya sayansi na teknolojia ya Nelson Mandela inadhamiria kupendekeza ujenzi wa bweni la  wanafunzi wa kike wenye watoto wadogo na mahitaji maalum ambapo kiasi cha shilingi bilioni 1.7 zimetumika katika ujenzi huo.Hayo yamesemwa na  Makamu Mkuu wa chuo Prof.Emmanuel Luoga wakati akizungumza na waandishi wa habari jijini...

ULAJI WA VYAKULA VYENYE SUMUKUVU UNAVYOATHIRI AFYA

Na mwandishi wetu , SimiyuMADHARA ya sumukuvu huweza kujitokeza ndani ya muda mfupi, baada ya muda mrefu kutegemea na kiasi cha sumukuvu hiyo iliyopo kwenye chakula kilicholiwa,idadi ya milo ya chakula kilichochafuliwa na umri pamoja na hali ya afya ya mlaji.Pia madhara ya Sumukuvu yanayotokea ndani ya muda mfupi husababishwa na ulaji wa kiasi kikubwa cha sumukuvu...

BILIONI 2.2 ZAREJESHWA NA HALMASHAURI KWENYE MFUKO WA MAENDELEO YA VIJANA KUPITIA MBIO ZA MWENGE WA UHURU 2022

Mbio za Mwenge wa uhuru mwaka 2022 zilizofikia kilele tarehe 14 Oktoba 2022 mkoani Kagera, zimefanikiwa kurejesha fedha za mikopo kwa vijana kupitia mfuko wa Maendeleo ya vijana kiasi cha shilingi za kitanzania bilioni 2.2.Moja ya ajenda ya Mbio za Mwenge wa Uhuru mwaka 2022 ilikuwa ni kuhakikisha fedha zote zilizorejeshwa na vijana waliopewa mikopo kupitia Mfuko huo...

BILIONI 134.9 ZIMETENGWA KWAJILI YA UNUNUZI WA BIDHAA ZA AFYA

Na Moreen RojasBohari ya dawa( MSD ) iliyopo chini ya taasisi ya wizara ya Afya imepokea shilingi Bilion 134.9 Kati ya shilingi Bilion 200 zilizolengwa kwa manunuzi ya bidhaa za afya kwa mwaka wa fedha 2022/23.Hayo yamesemwa na Mkurugezi mkuu wa bohari ya dawa ( MSD) Mavera Tukai wakati akizungumza na waandishi wa Habari jijini Dodoma juu ya maboresho ya mnyororo wa...

*WIZARA YA KATIBA KUTOA HUDUMA ZA KISHERIA KIDIJITALI – DKT NDUMBARO*

Na. Mwandishi wetu Arusha    Waziri wa Katiba na Sheria Dkt. Damas Ndumbaro amesema Wizara ya Katiba na Sheria imekusudia kuhakikisha huduma za kisheria zinazotolewa na Wizara na Taasisi zilizo chini yake zinapatikana kwa njia ya TEHAMA. Dkt. Ndumbaro ameyasema hayo wakati akifungua warsha ya siku mbili kwa Wasajili Wasaidizi wa Watoa Huduma za...

ASKOFU KINYAIYA "WAZAZI PELEKENI WATOTO SHULE"

Na. Kadala Komba Dodoma   Askofu Mkuu wa Jimbo Kuu Katoliki Dodoma, Mhashamu Beatus Kinyaiya amewataka wazazi  kuwapeleka watoto shule badala ya kuwapa kazi ya kuchunga Ng'ombe .Askofu huyo aliyasema hayo hivi karibuni wakati wa misa ya Sakramenti ya kipaimara iliyofanyika katika  kanisa Katoliki Parokia ya Mtakatifu Yohane Mbatizaji Wilaya...

RAIS SAMIA ATEMBELEA JENGO LA MAKUMBUSHO YA HAYATI DKT.JOHN POMBE MAGUFULI,AKAGUA HOSPITALI YA RUFAA YA KANDA YA CHATO MKOANI GEITA

 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akiomba dua kwenye Kaburi la Rais wa Awamu ya Tano Hayati Dkt. John Pombe Magufuli nyumbani kwake Chato Mkoani Geita. &nb...

KAMPASI YA CHUO KIKUU CHA DAR ES SALAAM KUJENGWA KAGERA-WAZIRI MKENDA

 Na Mathias Canal, WEST-Kagera Katika kuboresha huduma za upatikanaji wa elimu kwa wanafunzi nchini Serikali imepanga kujenga Kampasi ya Chuo Kikuu cha Dar es salaam (UDSM) Mkoani Kagera. Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia amesema hayo mbele ya Mgeni rasmi-Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe Samia Suluhu Hassan tarehe 13 Octoba 2022 wakati...