Home »
» PROGRAMU YA TAKUKURU RAFIKI IMEZINDULIWA KATA YA MPAMANTWA WILAYA YA BAHI
PROGRAMU YA TAKUKURU RAFIKI IMEZINDULIWA KATA YA MPAMANTWA WILAYA YA BAHI
Na. Kadala Komba Bahi
Mkuu wa Takukuru Halmashauri Wilaya ya Bahi Erick Kilawe Amesema hii Programu ya TAKUKURU RAFIKI imeanzishwa Maalumu hili kutoa fursa kwa kila Mtanzania kushirikiana na Serikali kupitia Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU) katika kutekeleza jukumu la kuzuia na kupambana na vitendo vya rushwa ambavyo ni kikwazo kikubwa cha utekelezaji wa miradi mbalimbali ya maendeleo nchini.
Hayo yamejili Jijini Dodoma Wilaya ya Bahi wakati wa Uzinduzi wa Programu ya Takukuru Rafiki ikizinduliwa kwa mara ya kwanza katika ngazi ya Wilaya na kata amesema Programu hii inaakisi maana ya rafiki kwa kubeba dhana ya kuwa karibu na ushirikiano wa dhati na karibu na kila mwananchina wadau kwa itatekelezwa kwa kuwa na vikao katika ngazi ya kata kwa lengo la kutambua kero zilizopo kwenye utoaji au upokeaji wa huduma kama za Afya au Elimu pamoja na mchakato wa kutekeleza miradi ya maendeleo ujenzi wa miundombinu ya maji.
Kwaupande wake Mchunguzi mkuu Takukuru Emmanuel Masawe Ametoa wito kwa Wananchi na wadau kushirikiana kuzuia vitendo vya Rushwa katika utoaji wa huduma kwa umma na utekelezaji wa miradi ya maendeleo kupitia Programu hii ya "TAKUKURU RAFIKI" Usikae pembeni tushirikiane katika ili kwa pamoja tunaijenge Tanzania.
Aidha Mhe. Diwani kata ya mpamatwa ameipongeza Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU) kwa kuwapatia semina namna ambavyo taasisi hiyo inanyo fanaya kazi kwa karibu na wananchi katika utekelezaji wa mapambano dhidi ya rushwa.
Mkuu wa Takukuru Halmashauri Wilaya ya Bahi Erick Kilawe
Mhe. Diwani kata ya mpamatwa
MATUKIO MBALIMBALI KWENYE PICHA YA UZINDUZI WA PROGRAMU YA TAKUKURU RAFIKI
Related Posts:
KATIBU WA CCM PILI MBAGA AMEWAOMBA VIONGOZI WA DINI KUWAPUUZA WAPOTOSHAJI WA BANDARI Normal 0 false false false EN-US X-NONE X-NONE … Read More
“KINA MAMA EPUKENI KAUSHA DAMU” MHE. UMMYNa Mwandishi wetu –Kilimanjaro Mbunge wa Viti Maalum Mkoa wa Kilimanjaro ambaye pia ni Naibu Waziri Ofisi ya Waziri Mkuu Sera, Bunge na Uratibu Mhe. Ummy Nderiananga amewatahadhalisha wanawake kutochukua mikopo i… Read More
ZAO LA MTAMA LA MACIA LILIMWE KWA WINGI ILI KUONDOKANA NA BAA LA NJAA Na.Kadala Komba Dodoma Mwenyekiti wa Jukwaa la Wanawake Wilaya ya Chamwino Mkoani Dodoma (JUWACHA) na Shirika la Uzalishaji Mbegu DASPA Janeth Nyamayahasi amesema kuwa tukililima vizuri zao la mtama la macia … Read More
MRADI MKUBWA WA KILIMO CHA VANNILA WAZINDULIWA DODOMA Na. Mwandishi wetu Dodoma Kampuni ya Vanilla international Limited imezindua Mradi wa kilimo cha Vanilla Mkoani Dodoma Vanilla village Dodoma katika Kitongoji cha Zamahero Kata ya Mayamaya Wilaya ya Bahi.Uzin… Read More
WAKULIMA WASHAURIWA KULIMA KWA KUTUMIA VIFAA VYA KISASA. Na Moreen Rojas,Dodoma.Wakulima nchini washauriwa kulima kwa kutumia vifaa vya kisasa ili kuendana na kasi ya uchumi wa kati.Hayo yameelezwa na Ndg.Ramadhani Mrutu ambaye ni Afisa mauzo kutoka kampuni ya Rel… Read More
0 Comments:
Post a Comment