Home »
» AJARI ZA BARABARANI ZAMUIBUA WAZIRI MASAUNI,ATANGAZA MSAKO WA MADEREVA WA ZEMBE.
AJARI ZA BARABARANI ZAMUIBUA WAZIRI MASAUNI,ATANGAZA MSAKO WA MADEREVA WA ZEMBE.
Na Johndickson Gaudin Dodom.
Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi Mhandisi Hamad Masauni amesema wizara imejipanga kuhakikisha inapambana na kuthibiti Ajari za barabarani zinazoendelea kutokea hapa nchini.
Hayo ameyasema wakati wa kikao chake na waandishi wa habari Leo hii februari 10,2023 jijini dodoma ikiwa ni baada ya kutokea kwa Ajari iliyo husisha basi na roli iliyotokea wilaya ya kongwa jijini dodoma iliyo sababisha vifo vya watu 12.
Amesema wizara imeanza kuchukua hatua madhubuti ikiwa nipamoja na kukagua leseni za madereva wa magari yote pamoja na maroli ya mizigo ,kukagua vyuo vyote vya udereva nchini na kuangalia mfumo wa utoaji wa leseni nchini.
"Uchunguzi wa hawali katika Ajari iliyotokea ulionyesha waliokuwa wanaendesha magari hayo Siyo madereva na kupelekea kutokea kwa Ajari hiyo.
"Nataka nitoke onyo Kali kwa madereva na wamiliki wa magari wanao kinzana na Sheria hizi hatua Kali zitachukuliwa pale watakapo bainika kukiuka Sheria na taratibu za usalama barabarani,"amesema.
Aidha waziri Masauni amesema kupitia jeshi la polisi wameanza dolia katika maeneo yote nchini kufatilia mwenendo wa madereva,pamoja na kutumia Teknolojia za kisasa ikiwa na kufunga kamera barabarani zitakazo saidia kubainisha uvunjifu wa Sheria za barabarani.
Kwaupande wake kamanda Mkuu wa polisi (IGP)Kamiliusi Wambura amewaomba wananchi kusaidia kuwaripoti maafisa wanaoomba na kutoa Rushwa.
"Sisi tumeendelea kuchukua hatua mbalimbali za kuweza kuona tudhibitishe vitendo vya Rushwa nchini na tunaadhibu kwa yeyote anaye omba na kutoa Rushwa ,"amesema kamanda Wambura.
Related Posts:
JUHUDI ZA SERIKALI KUPAMBANA NA RUSHWA ZIMEANZA KUZAA MATUNDANa. Anselima Komba Dodoma Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, George Simbachawene, amesema kuwa juhudi za Serikali ya Awamu ya Sita katika kupambana na rushwa zimeanza kuzaa matunda,… Read More
WANANCHI WA HALMASHAURI YA WILAYA YA BAHI WAMEJITOKEZA KWA WINGI KUFANYA USAFI WA MAZINGIRA Na. Kadala Komba Bahi Afisa Afya Wilaya ya Bahi Ramadhan Nyezi amesema hayo April 21 ,2025 wakati akizungumza na Mwandishi wa Habari Shine News Blog wakati wa zoezi la usafi likiendelea maeneo tofauti … Read More
RC SENYAMULE AIPA KONGOLE BAHI USIMAMIZI WA FEDHA ZA UJENZI WA MIRADI Ikiwa ni miaka minne ya Daktari Samia Suluhu Hassan kwenye kiti cha Urais na yamefanyika Maendeleo makubwa chanya Kupitia shamlashamla hizo za miaka minne ya Daktari Samia Suluhu Hassan Mkuu wa Mkoa wa Dodoma Mhe Rosema… Read More
MAAFISA ELIMU KATA, WALIMU WAKUU, WALIMU WA MAZINGIRA MAAFISA MAENDELEO YA JAMII WA KATA WAJENGEWA UWEZO JINSI YA KUKABILIANA NA MABADILIKO YA TABIA YA NCHI KATIKA MAZINGIRA YA SHULE BAHI Na. Kadala Komba Bahi Kaimu Mkurugenzi wa Halmashauri ya Wilaya ya Bahi Ndugu Boniphace Wilson akifunga mafunzo hayo kwa niaba ya Mkurugenzi mtendaji wa Halmshauri ya Wilaya ya Bahi Bi. Za… Read More
WAZIRI ULEGA AWASIMAMISHA KAZI WATUMISHI WA MIZANI KUPISHA UCHUNGUZI Waziri wa Ujenzi, Abdallah Ulega amemuelekeza Katibu Mkuu wa Wizara ya Ujenzi Mhandisi Balozi Aisha Amour, kuwasimamisha kazi wasimamizi wote wa Mizani waliokuwa zamu katika Mizani zilizopo katika barabara kuu ya T1 ina… Read More
0 Comments:
Post a Comment