Home »
» WATU 12 WAMEPOTEZA MAISHA KWA AJALI DODOMA
WATU 12 WAMEPOTEZA MAISHA KWA AJALI DODOMA
Dodoma
WATU 12 wamepoteza maisha baada ya basi a Frester lililokuwa likitokea Bukoba kwenda Dar es salaam kugongana uso kwa uso na Lori la Texas majira usiku wa kuamkia leo.
Ajali hiyo imetokea eneo Kiiji Cha Silwa wilaya ya Kongwa Mkoani Dodoma.
Katibu Tawala mkoa wa Dodoma Dk Fatma Mganga amethibitisha kutokea kwa ajali hiyo ambapo watu 12 wamepoteza maisha.
Álisema mkuu wa mkoa wa Dodoma Rosemary Senyamule yuko eneo la tukio.
Related Posts:
*AWESO AMUONDOA MKANDARASI MRADI WA MAJI KAZURAMIMBA-UVINZA-KIGOMAWaziri wa Maji Mh. Jumaa Aweso amekasirishwa na kitendo cha Mradi wa Maji Kazuramimba kuchukua muda mrefu bila kukamilika wakati wananchi wakiendelea kuteseka na ukosefu wa huduma hii muhimu.Awali cha… Read More
AFISA KILIMO GAIRO AMEWATAKA WAKULIMA NCHINI KUACHA KUFANYA KILIMO CHA MAZOEA Na. Kadala Komba Gairo Wakulima mkoani Morogoro wametakiwa kuachana na kilimo cha mazoea ili kuweza kuepuka hasara zinazojitokeza mara kwa mara badala yake wafuate ushauri unaotolewa na wa taalamu wa kilimo.Hayo yamebain… Read More
SERIKALI YA KANADA IMETOA KIASI CHA SHILINGI BILIONI 240 KUBORESHA SEKTA YA AFYA TANZANIA. Na Moreen Rojas,DodomaWaziri wa Afya Mhe. Ummy Mwalimu ameishukuru Serikalia ya Kanada kupitia Waziri wa Maendeleo ya Kimataifa wa Kanada Mhe. Harjit Sajjan wake kwa kusaidia Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tan… Read More
WANANCHI WAASWA KUACHA KUDANGANYA MAENEO YA MAKAZI. Na Moreen Rojas,Dodoma.Mkuu wa Mkoa wa Dodoma Mhe.Rosemary Senyamule amewaasa wananchi na wakazi wa Dodoma kuacha kudanganya maeneo ya makazi ili kuepusha migogoro ya ardhi.Mhe.Senyamule ameyasema hayo wakati akizindua … Read More
CANADA YATOA SHILINGI DOLA MILIONI 50 KWA AJILI YA MAENDELEO YA ELIMU NCHINI. Na Moreen Rojas,Dodoma.Waziri wa Elimu Prof.Adolph Mkenda amepokea dola za Canada milioni 50 kwa ajili ya maendeleo ya elimu nchini.Hafla hiyo imefanyika leo katika ofisi ya wizara jijini Dodoma ambapo asilimia 25 itatu… Read More
0 Comments:
Post a Comment