Subscribe Us

This is default featured slide 1 title

Go to Blogger edit html and find these sentences.Now replace these sentences with your own descriptions.

PROGRAMU YA TAKUKURU RAFIKI IMEZINDULIWA KATA YA MPAMANTWA WILAYA YA BAHI

Na. Kadala Komba Bahi Mkuu wa Takukuru Halmashauri Wilaya ya Bahi Erick Kilawe Amesema hii Programu ya TAKUKURU RAFIKI imeanzishwa Maalumu hili kutoa fursa kwa kila Mtanzania kushirikiana na Serikali kupitia Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU) katika kutekeleza jukumu la kuzuia na kupambana na vitendo vya rushwa ambavyo ni kikwazo kikubwa cha utekelezaji...

DHAMANI YA MAZAO CHINI YA PANDA KWA WASTANI WA 12%KWA MWAKA 2020/2021

Na Johndickson Gaudin. Bodi ya usimamizi wa stakabadhi imefanikiwa kuongeza bei ya mazao Mafanikio yaliyopatikana baada ya kuanzishwa kwa Mfumo wa Stakabadhi za Ghala ikiwa nipamoja kuongeza mapato ya wakulima na mapato ya serikali kwa wastani wa 200%huku ikiongeza kukuza huduma za fedha vijijini,kufanikisha uanzishaji wa Soko la Bidhaa Tanzania. Hayo yamebainishwa na...

BALAA MCHUNGAJI ATINGA MADHABAHUNI NA BUNDUKI

Mchungaji wa Kanisa la House on the Rock, Uche Aigbe ametiwa mbaroni na jeshi la polisi nchini Nigeria kwa kosa la kubeba bunduki aina ya AK-47 wakati wa mahubiri ya Jumapili wakati akitoa mahubiri kuhusu "silaha za kiroho". Jeshi la polisi limethibitisha kumshikilia mchungaji huyo na ofisa mmoja wa polisi ambaye ndiye mmiliki wa bunduki hiyo. Kwa mujibu wa kanisa lake,...

BENG'I:WANANCHI KOPENI FEDHA KWA MALENGO

Na Johndickson Gaudin Katibu mtendaji Mkuu wa Baraza la uwezeshaji wananchi kiuchumi Beng'i Issa amewaomba wananchi kuacha kukopa fedha bila malengo badala yake watumie mikopo kama fursa ambazo zitawasaidia kupiga Hatua kimaendelea tofauti na watu wengi ambao wanatumia mikopo pasipo kujua malengo ya mikopo hiyo Jambo ambalo linapekea kushindwa kurejesha mikopo hasa wakina...

TBA YAISHUKURU SERIKALI KUIWEZESHA KUKAMILISHA MIRADI YA KIMKAKATI.

Na Johndickson Gaudin Wakala wa Majengo Tanzania (TBA)kupitia serikali ya awamu ya sita wameendelea kutekeleza majukumu ya miradi ya kimikakati kupitia Fedha zilizo tolewa katika bajeti ya mwàka 2021_2022 na 2022_2023 ikiwa nipamoja na kukamilisha miradi mbalimbali ikijumuidha miradi iliyo kamilika ikiwa ni zaidi ya miradi 8. Hayo yamebainishwa na Mtendaji Mkuu wa (TBA)...

MLIPUKO WA INJILI WAZINDULIWA DODOMA

Na Mwandishi wetu- Dodoma Waumini wa dini ya Kikristo nchini wamehimizwa kushiriki katika kazi ya Mungu ya kueneza injili Ulimwenguni kote ili watu wamjue Mungu na kubadilisha mienendo yao mibaya pamoja na kuwa na jamiii yenye maadili mema. Kauli hiyo imetolewa na Katibu wa Jimbo la Kati mwa Tanzania (CTF) Mchungaji Festo Mng’ong’o kutoka Kanisa la Waadventista Wasabato...

MPYA YAIBUKA AJALI YA BAHI MUME WA MAREHEMU AMEFUNGUKA CHANZO

Na. Kadala Komba Dodoma Mkazi wa Kijiji cha Bahi sokoni, Wilaya ya Bahi mkoani Dodoma, Mage Noni(46), amefariki dunia baada ya kugongwa na gari katika barabara ya Dodoma-Singida. Ajali hiyo imetokea leo Februari 12, 2023 majira ya asubuhi ambapo gari lenye namba za usajili T 466 DUF lililokuwa likitokea Dar es salaam kwenda Singida liliacha njia na kumgonga Mkazi huyo...

TAASISI YA KUMBUMBU YA MWALI NYERERE IMEKUJA NA MIKAKATI HII

Na Sifa Lubasi Dodoma TAASISI ya Kumbukumbu ya Mwalimu Nyerere Mkoa wa Dodoma imeweka mkakati wa kuanzisha kituo cha utamaduni kwa ajili ya kukusanya na kufanya shughuli za kiutamaduni Taasisi hiyo kwa mkoa wa Dodoma inaongozwa na Mwenyekiti wa taasisi Mkoa Peter Mavunde na Katibu wa taasisi Mkoa ni Anamringi Macha ambaye pia ni Naibu Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi...

KITABU HIKI HAKIKOSOI IMANI YOYOTE

Na. Kadala Komba Dodoma Watanzania nataka mnielewe hiki kitabu hakipingi Imani ya Kristo au Dhehebu lolote bali inasaidia kunyoosha Tafsiri na kumpa utukufu mwingi anaostahili Bwana wa Kanisa la Kristo hapa Duniani , ambaye ni mwanzo na mtimilizaji wa Imani Bwana Yesu Kristo. Hayo yamebainishwa na Derek Murusuri Mwandishi wa Vitabu wakati wa Uzinduzi wa Kitabu cha HIDDEN...

MKATABA UJENZI MRADI WA MAJI CHANZO CHA MTO KIWIRA WASAINIWA MBEYA

Wizara ya Maji kupitia Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Mbeya (Mbeya-UWSSA) imesaini mkataba wenye thamani ya shilingi Bilioni 117.5 na mkandarasi kampuni ya China Railway Construction Engeneering Group kwa ajili ya ujenzi wa mradi wa maji kutoka chanzo cha maji cha mto Kiwira. Mradi huo unatarajia kuongeza kiwango cha upatikanaji wa maji katika jiji la Mbeya kutoka...

WAZIRI MHAGAMA AMEZITAKA TAASISI ZOTE KUFUATA SHERIA

Waziri wa nchi Ofisi ya Rais Menejimenti ya utumishi wa umma na utawala bora ,Mhe. Jenista Mhagama amezitaka Taasisi zote za umma nchini kuhakikisha zinazingatia na kufuata sheria, na kanuni za Serikali Mtandao . Ameyasema hayo Feb 10 jijini Arusha wakati akifunga kikao kazi cha 3 cha Serikali mtandao kilichowashirikisha zaidi ya watumishi wa umma 1600 kutoka mikoa...

MAMA AFARIKI AKIFANYIWA MAOMBI KANISANI

Polisi nchini Uganda wanachunguza kisa ambapo mwanamke mmoja mwenye umri wa miaka 59 Rosette Najjuma -ameaga dunia akiwa kanisani jijini Kampala. Kwa mujibu wa naibu msemaji wa polisi wa Kampala Luke Owoyesigyire, Najjuma alizirai na kufariki ibada ikiendelea katika kanisa la Christian Life katika Parokia ya Makerere III mnamo Jumatano - Februari 8,2023. Mwanamke huyo anaripotiwa...

AJARI ZA BARABARANI ZAMUIBUA WAZIRI MASAUNI,ATANGAZA MSAKO WA MADEREVA WA ZEMBE.

Na Johndickson Gaudin Dodom. Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi Mhandisi Hamad Masauni amesema wizara imejipanga kuhakikisha inapambana na kuthibiti Ajari za barabarani zinazoendelea kutokea hapa nchini. Hayo ameyasema wakati wa kikao chake na waandishi wa habari Leo hii februari 10,2023 jijini dodoma ikiwa ni baada ya kutokea kwa Ajari iliyo husisha basi na roli iliyotokea...

FAIDA FUND YAPATA MAFANIKIO YA MAUZO HAWAMU YA KWANZA

Na. Johndickson Gaudin Dodoma Mfuko wa Uwekezaji wa pamoja FAIDA FUND umefanikiwa kuwa Mfuko wa kwanza wa aina yake kupata mafanikio makubwa katika kipindi cha mauzo ya awali ikilinganishwa na lengo lililowekwa la kuanzishwa kwake. Hayo yamebainishwa leo Februari 9,2023, Jijini Dodoma na Mkurugenzi Mtendaji wa Watumishi Housing Investiments (WHI), Dkt. Fred Msemwa mbele...

UDAILI WA WANAFUNZI (DMI) KUONGEZEKA IFIKAPO 2025_2026 HADI WANAFUNZI ELFU

Na Johndickson Gaudin Dodoma Chuo cha Baharia Dar es salaam (DMI) kinatarajia kudaili wanafunzi takribani Elfu 20 Hadi 23 ifikapo mwaka 2025_2026 hii ikiwa ni juhudi za chuo hicho katika kuhakikisha kina zalisha wanafunzi wenye weledi katika sekta ya Ubaharia. Hayo yamebainishwa na kaimu Mkuu Wa Chuo hicho Dkt. Tumain Shaban Kwenye Mkutano na waandishi wa Habari hii...

UTEUZI: EPHRAIM BALOZI MAFURU ATEULIWA KUWA MTENDAJI MKUU AICC

...

WATU 12 WAMEPOTEZA MAISHA KWA AJALI DODOMA

Dodoma WATU 12 wamepoteza maisha baada ya basi a Frester lililokuwa likitokea Bukoba kwenda Dar es salaam kugongana uso kwa uso na Lori la Texas majira usiku wa kuamkia leo. Ajali hiyo imetokea eneo Kiiji Cha Silwa wilaya ya Kongwa Mkoani Dodoma. Katibu Tawala mkoa wa Dodoma Dk Fatma Mganga amethibitisha kutokea kwa ajali hiyo ambapo watu 12 wamepoteza maisha. Álisema...

PROF.MKENDA :BADO UCHUNGUZI UNAENDELEA KWA WANAFUNZI NA WASIMAMIZI WA MITIHANI KIDATO NNE MWAKA 2022 .

Na. Mwandishi wetu Dodoma SERIKALI kupitia Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia, imesema imedhamiria kukomesha vitendo vya wizi wa mitihani huku ikiridhishwa na uamuzi wa Baraza la Mitihani la Taifa (NECTA) kwa wanafunzi 337 waliobainika kufanya udanganyifu katika mitihani yao ya kidato cha nne mwaka 2022. Hayo yamesemwa leo Februari 8,2023 jijini Dodoma na Waziri...

DK.SWEKE: BAHARI KUU IPO SALAMA TUNATUMIA NDEGE KUFANYA DORIA

Na. Kadala Komba Dodoma. MKURUGENZI Mkuu wa Mamlaka ya Kusimamia Uvuvi na Bahari Kuu Dkt.Emmanuel Andrew Sweke,ameeleza kuwa katika kulinda usalama wa bahari kuu wameweka mifumo ya kulinda usalama ikiwa ni pamoja na kutumia mifumo ya kufuatilia meli ndani ya maji na kutumia doria za ndege kwa ajili ya kuangalia kinachofanyika. Hayo ameyasema leo Februari 8,2023 jijini...

NSSF IMEJIPANGA KUANZA KUTOA MAFAO KWA SEKTA ISIYO RASMI

Na. Kadala Komba Dodoma. Mfuko wa Taifa wa Hifadhi ya Jamii(NSSF)umewataka wafanyakazi wa sekta isiyo rasmi kujiunga na mfuko huo kwa kupeleka michango yao na hatimaye kuwa kwenye mfumo wa mafao hali itakayosaidia kupunguza umasikini. Hayo yameelezwa jijini hapa leo ,Februari 8,2023 na Mkurugenzi Mkuu NSSF,Masha Mshomba wakati akizungumza na waandishi wa habari kuhusu...

RC KINDAMBA AWATAKA MA-DED KUSIMAMIA UKUSANYAJI FEDHA

Na. Mwandishi wetu Songwe Mkuu wa Mkoa wa Songwe, Waziri Kindamba amewaagiza wakurugenzi wa halmashauri za mkoa huo wasimamie fedha zinazokusanywa zipelekwa benki ili kuepuka wakusanyaji kuzitumia fedha hizo. Mkuu huyo wa mkoa ametoa wito huo umetolewa leo Jumanne Februari 7, 2023 wakati wa kikao cha tathmini za utendaji wa Halmashauri za mkoa wa Songwe. RC Kindamba...

IDADI YA VIFO VYA WATOTO YA SHUKA HADI 66% MWAKA 2022

Na. Johndickson Gaudin Dodoma Idadi ya watoto wanao hudumiwa na muhudumu wa afya mwenye ujuzi wakati wa kuzaliwa imepanda kutoka asilimia 66% Mwaka 2015-2016 hadi asilimia 85% mwaka 2022 na hivyo kuchangia kupungua vifo vya watoto wenye umri chini ya miaka mitano ambavyo ni 43 kati ya watoto 1000 wanaliozaliwa kwa mwaka 2022 ukilinganisha na vifo 67 kati ya watoto...

WALIOTUMIA PICHA YA VIJANA WA JKT WALIOKUWA MAKAMBINI KUWA WANA VVU WAMETAKIWA KUOMBA RADHI

Na Kadala Komba, Dodoma. JESHI la Kujenga Taifa (JKT),limesema kitendo cha baadhi ya mitandao ya kijamii na magazeti kutumia picha za vijana wengine wanaohudhuria mafunzo ya JKT wa wasiohusika katika habari ni udhalilishaji. Hayo yameelezwa jijini hapa leo,Februari 6,2023 na Mkuu wa Tawi la utawala Jeshi la kujenga Taifa (JKT) Brigedia Jenerali Hassan Mabena,wakati akitoa...