Subscribe Us

This is default featured slide 1 title

Go to Blogger edit html and find these sentences.Now replace these sentences with your own descriptions.

*GEITA TUPO NJIANI UWT MOTOO MOTOO*

*ZIARA YA MWENYEKITI NA WAJUMBE WA KAMATI YA UTEKELEZAJI YA BARAZA KUU LA UWT PAMOJA NA WAJUMBE WA NEC MKOA WA GEITA*Ikiongozwa na Mwenyekiti wa UWT Taifa na Mjumbe wa Kamati kuu ya Chama cha Mapinduzi (CCM) Ndg. Mary Chatanda na Makamu MNEC. Zainab Shomari ikiwa kwenye kivuko cha Busisi kuelekea mkoani Geita*UWT IMARA. JESHI LA MAMA. KAZI IENDELE...

Naibu Waziri Nderiananga akutana na kufanya mazungumzo na RC Morogoro

 Naibu Waziri Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge na Uratibu) Mhe. Ummy Nderiananga akimsikiliza Mkuu wa Mkoa wa Morogoro Mhe. Adam Malima alipomtembelea ofisini kwake kwa lengo la kujadili utekelezaji wa Programu ya Kuendeleza Sekta ya Kilimo na Uvuvi ya AFDP inayoratibiwa na Ofisi ya Waziri Mkuu. Naibu Waziri Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge na Uratibu) Mhe. Ummy...

SACP MISIME AWATAKA ASKARI POLISI KUBADILIKA KIFIKRA NA KUWAHUDUMIA WANANCHI KWA WELEDI

 Na, Benedict Mlawa wa Jeshi la PolisiMsemaji wa Jeshi la Polisi Nchini,Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Jeshi la Polisi (SACP) David  Misime amefunga mafunzo ya siku mbili kwa Maafisa,Wakaguzi na Askari wa Polisi kutoka Makao Makuu na Mkoa wa Dodoma.SACP Misime amewaeleza Askari hao kuwa mafunzo hayo ni mfululizo  wa mafunzo yanayotolewa kwa Askari  katika...

CHUO KIKUU HURIA NDIO CHUO KINACHOTENGENEZA WATU WENYE UWEZO.

 Na Moreen Rojas,Dodoma.Chuo kikuu huria(open university) ndio chuo kinachotengeneza watu wenye uwezo kwani watu wanaosoma huku asilimia kubwa wanauwezo wa kuchanganua changamoto mbalimbali.Hayo yameelezwa na Mhe.George Simbachawene Waziri wa Nchi Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala bora wakati akizungumza na jumuiya ya  wahitimu wa chuo kikuu huria jijini...

*Tume yatangaza matokeo Jimbo la Mbarali na kata sita za Tanzania Bara*

Msimamizi wa Uchaguzi wa Jimbo la Mbarali, Bw. Missana Kwangura amemtangaza Bi. Bahati Ndingo wa Chama cha Mapinduzi (CCM) kuwa mshindi wa kiti cha Ubunge wa Jimbo hilo baada ya kupata kura 44,334 kati ya kura 56,095 halali zilizopigwa kwenye vituo 490 vya kupigia kura.Bi. Ndingo amewashinda wagombea wengine 12 ambao walikuwa kwenye kinyang’anyiro cha kuwania ubunge kwenye...

MWIMBAJI WA NYIMBO ZA INJILI AFIKISHWA MAHAKAMANI KWA TUHUMA ZA KUIMBA WIMBO WA UCHOCHEZI.

 Mwimbaji wa nyimbo za Injili Sifa Bujune, Mkazi wa Isyesye mkoani Mbeya amefikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Jijiji hapa kwa tuhuma za kuimba wimbo wenye maudhui ya uchochezi.Sifa Bujune pamoja na wenzake wanashikiliwa tangu Septemba 13, 2023 wakituhumiwa kuandaa wimbo uliopewa jina la “Tanzania Inaelekea Wapi?” unaodaiwa kuwa na maudhui ya uchochezi dhidi ya...

MAJALIWA: TANZANIA KUWA WAZALISHAJI WAKUBWA WA NISHATI

   WAZIRI MKUU, Kassim Majaliwa leo Septemba 20, 2023  amefungua Kongamano la Tano na Maonesho ya Nishati Tanzania na amesema kwamba Serikali imedhamiria kuwa mzalishaji mkubwa na nishati.“Tunaendelea na utafutaji wa gesi, tunataka tuwe wazalishaji wakubwa wa nishati, tuwe na umeme wa kutosha utakaopatikana kwa urahisi na nafuu na ziada tutauza nje ya nchi.“Mheshimiwa...

Matukio Katika Picha ziara ya Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati kutembelea mradi wa JNHPP .

 Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt.Doto Biteko leo Septemba 16, 2023, ametembelea Mradi wa Ujenzi wa Bwawa la kuzalisha Umeme wa Julius Nyerere Hydro Power Project ( JNHPP) ambao ujenzi wake umefikia asilimia 91. 72, huku bwana likiwa na ujazo wa mita 164.81 sawa na lita bilioni 14.66 sawa na asilimia 47.8.Katika ziara hiyo ameambatana na Katibu Mkuu Wizara...

*Tanzania yaunga mkono Ajenda ya AU 2063- Dkt Biteko.*

*Na Grace Semfuko - MAELEZO na Dorina Makaya -Wizara ya Nishati.*Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati Mhe. Dkt. Doto Biteko amesema Tanzania itaendelea kuunga mkono Ajenda ya Maendeleo ya Mwaka 2063 iliyowekwa na Nchi Wanachama wa Umoja wa Afrika- AU ambayo ina mikakati ya kufikia Afrika yenye ustawi na umoja.Dkt. Biteko ameyasema hao leo Septemba 15, 2023 wakati alipomwakilisha...

MHE. MHAGAMA AZINDUA KAMPENI ZA UCHAGUZI UDIWANI RUVUMA

 WANANCHI  wa Kata ya Mtyangimbole, Kijiji cha IKalangiro kilichopo Wilaya ya Songea Vijijini wametakiwa kutofanya makosa katika marudio ya uchaguzi mdogo wa  Udiwani katika Kata hiyo utakaofanyika Septemba 19 mwaka huu na kuombwa kumchagua mgombea anayetokana na Chama cha Mapinduzi, Twahibu Diwani Ngonyani. Kauli hiyo imetolewa na Mbunge wa Jimbo la Peramiho ...

DKT. BITEKO AWASIHI WAFANYABIASHARA WA PETROL NA DIZELI KUWA WAAMINIFU.

 Na Timotheo Mathayo, Dar es Salaam.Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko amewasihi Wafanyabiashara wa mafuta ya dizeli na Petroli nchini kuwa waaminifu wakati wakiendelea kutoa huduma kwa Watanzania.Dkt. Biteko  ametoa kauli hiyo alipokuwa akizungumza na Wafanyakazi wa EWURA jijini Dar es Saalam Septemba 14, 2023 na kukukumbushia kuwa, pamoja...

MAJALIWA : ONGEZENI USHIRIKI WA WAHANDISI WAZAWA KWENYE UJENZI MIRADI

  Waziri Mkuu Kassim Majaliwa ameitaka Wakala ya Barabara Vijijini na Mijini (TARURA) kuchukua hatua za makusudi kuhakikisha wahandisi wazawa wanashiriki kwenye ujenzi wa miradi mbalimbali nchini. Amesema kuwa kupitia utekelezaji wa Mpango wa Tatu wa Maendeleo wa Miaka Mitano wa Tanzania, unaolenga kupunguza ukosefu wa ajira kutoka 9% hadi 8% ifikapo 2025/26,...

NAIBU WAZIRI KAPINGA AIHIMIZA TANESCO KUBORESHA UPATIKANAJI UMEME MTWARA NA LINDI

 Naibu Waziri Kapinga amelihimiza Shirika la Ugavi wa Umeme Tanzania - TANESCO kufanya jitihada mbalimbali kuhakikisha mikoa ya Mtwara na Lindi inapata umeme wa kutosha.Naibu Waziri Kapinga ameyasema hayo leo tarehe 14/09/2023 wakati alipotembelea Kituo cha Kuzalisha Umeme kwa kutumia Gesi Asilia  cha Mtwara.Kituo hicho kina mitambo 13 yenye uwezo wa kuzalisha umeme...

WADAU WA MALEZI YA WATOTO WAKUTANA KUBORESHA MALEZI NA MAKUZI YA MTOTO

 Wadau wanaoshughulika na malezi na makuzi ya watoto wametakiwa kushirikiana ili kufanikisha malengo ya Programu Jumuishi ya Malezi Makuzi na Maendeleo ya awali ya Mtoto (PJT -MMMAM) ili kupunguza udumavu na utapiamlo kwa watoto wa Mkoa wa DodomaHayo yamebainishwa na Katibu Tawala Mkoa wa Dodoma Bw. Ally Gugu wakati wa ufunguzi kikao cha wadau hao kutoka katika Halmashauri...