Tume ya Taifa ya Uchaguzi imewaasa wakazi wa maeneo yaliyoteuliwa kwa ajili ya majaribio ya uboreshaji wa Daftari la Kudumu la Wapiga Kura kujitokeza kwa wingi kushiriki kwenye zoezi hilo ambalo linalenga kupima utayari wa mifumo na vifaa vya uboreshaji wa Daftari.
Akizungumza wakati wa ufunguzi wa mkutano wa Tume na wadau wa uchaguzi uliofanyika mkoani Tabora leo tarehe 20 Novemba, 2023 Mjumbe wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi Mhe. Balozi Omar Ramadhan Mapuri amewapongeza wakazi wa mkoa huo kwa mkoa wao kuwa miongoni mwa mikoa miwili ambayo kata zake zimeteuliwa kufanya majaribio hayo ambayo yatafanyika kuanzia tarehe 24 hadi 30 Novemba, 2023.
Mhe. Mapuri amezitaja kata zitakazofanya majaribio hayo kuwa ni Kata ya Ng’ambo iliyopo katika Halmashauri ya Manispaa ya Tabora, ya mkoa wa Tabora na Kata ya Ikoma iliyopo katika Halmashauri ya Wilaya ya Rorya, katika Mkoa wa Mara.
“Tume inawapongeza wakazi wa Mkoa wa Tabora kwa mkoa wenu kuteuliwa kuwa mwenyeji wa zoezi
Home »
» NEC YAKUTANA NA WADAU WA UCHAGUZI MKOANI TABORA
NEC YAKUTANA NA WADAU WA UCHAGUZI MKOANI TABORA
Related Posts:
WOWAP IMEWATAKA WAZAZI KUHAKIKISHA WANASAIDIA KUTIMIZA NDOTO ZA WATOTO WA KIKE.Na. Kadala Komba Chemba Mratibu wa Miradi Women Wake Up(WOWAP) Nasra Suleimani ameiasa jamii kuhakikisha wanasaidia kutimiza ndoto za watoto wa kike ikiwa ni pamoja na kutokomeza mimba za utotoni na vikwazo v… Read More
WAZIRI MKUU ATOA AGIZO KWA NAIBU WAZIRI MKUU CHANGAMOTO YA MAFUTA Waziri Mkuu Kassim Majaliwa amemuagiza Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dkt. Dotto Biteko aendelee kushughulikia suala la changamoto ya upatikanaji wa nishati ya mafuta katika maeneo mbalimbali nchini.“...Wata… Read More
RAIS SAMIA AMEFANYA UTEUZI WA KATIBU MKUU … Read More
WOWAP WATOA FEDHA TASLIMU KWA WANAFUNZI IKIWA NI MWENDELEZO WA KUSAIDIA WATOTO WA KIKE Normal 0 false false false EN-US X-NONE X-NONE … Read More
WAZIRI MHAGAMA AMEWATAKA WANANCHI KUTUMIA MVUA ZA EL_NINO VIZURI Na Moreen Rojas,Dodoma.Waziri wa nchi,ofisi ya waziri mkuu,sera,bunge na uratibu Mhe.Jenista J.Mhagama ametioa wito kwa umma kutumia vizuri mvua za EL_NINO vizuri ili ziwe na manufaa kupitia shughuli za uzalishaji mali kama k… Read More
0 Comments:
Post a Comment