
Na. Kadala Komba DodomaUongozi wa Umoja wa Wanawake Tanzania (UWT)
unaofanya ziara ya kukagua utekelezaji wa ilani ya Chama cha Mapinduzi
(CCM) ndani ya Mkoa wa Dodoma ukiongozwa na Mwenyekiti wake Ndg.Mary
Chatanda Novemba 24,2023 umeendelea na ziara yake Halmashauri ya
Wilaya ya Bahi.Uongozi huo ukiwa katika ziara yake umegawanyika
katika timu...