Subscribe Us

This is default featured slide 1 title

Go to Blogger edit html and find these sentences.Now replace these sentences with your own descriptions.

WAZAZI KUWAJIBIKA KWENYE MALEZI YA MTOTO Ndg , KINGWANDE

 Na. Kadala Komba DodomaUongozi wa Umoja wa Wanawake Tanzania (UWT) unaofanya ziara ya kukagua utekelezaji wa ilani ya Chama cha Mapinduzi (CCM) ndani ya Mkoa wa Dodoma ukiongozwa na Mwenyekiti wake Ndg.Mary Chatanda  Novemba 24,2023  umeendelea na ziara yake  Halmashauri ya Wilaya ya Bahi.Uongozi huo ukiwa katika ziara yake umegawanyika katika timu...
Na Mwandishi wetu.Imeelezwa kwamba uwekezaji wa hoteli kubwa na za kisasa unasaidia katika kuchochea shughuli za utali na kuongeza thamani ya Mji wa Mbinga, kwa sababu ya upekee wa vivutio vyake.Hayo yamesemwa na Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge na Uratibu) Mhe. Jenista Mhagama wakati wa Uzinduzi wa Mradi wa Hotel ya One Pacific yenye hadhi ya nyota tatu katika wilaya...

WANAFUNZI CHUO CHA MIPANGO WATAKIWA KUTUMIA TAFITI ZAO KWA MANUFAA YA JAMII.

 Na Moreen Rojas,Dodoma.Wanafunzi Chuo cha Mipango ya  Maendeleo Vijijini wametakiwa kutumia tafiti zao kwa manufaa ya jamii ili kuleta tija na matokeo chanya ya tafiti zao.Hayo yamesemwa na Bwana. Moses Dulle   Mkurugenzi wa Wizara ya Fedha na Mipango ambaye amemwakilisha Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Fedha Bi. Jenifa Omolo Mgeni rasmi katika kongamano...

MWENYEKITI UWT TAIFA ATEMBELEA HOSPITALI YA MJI KONDOA

  Mwenyekiti wa Umoja wa Wanawake Taifa UWT na Mjumbe wa Halmashauri kuu ya CCM taifa Mhe. Marry Chatanda, leo tarehe 22 Novemba 2023 ametembelea Hospitali ya Mji Kondoa ikiwa ni ziara yake kwa Halmashauri hiyo kujionea Miradi mbalimbali iliyotekelezwa na Serikali ya awamu ya Sita.Akiwa Hospitalini, hapo Mhe. Chatanda amewajulia hali wagonjwa waliokuwepo kwenye jengo...

DARAJA LA BILLIONI 1.5 KUONDOA DARAJA LA KAMBA KONDOA.

 Wananchi wa kijiji cha Hurui kata ya Kikore Wilayani Kondoa  Mkoani Dodoma wamesema ujenzi wa daraja la kisasa lenye thamani ya shilingi bilioni 1.5 linalotarajiwa kukamilika mwisho mwa mwezi Disemba 2023 litatatua  kero ya muda  ya mrefu ya kutumia daraja la kamba kuvuka mto na  kufanya shughuli za kiuchumi na kijamii  hali ambayo imekuwa ikisababisha...

WANANCHI NTYUKA WAILALAMIKIA SERIKALI KULIPWA FIDIA YA BARABARA.

 Na. Modern Rojas DodomaWananchi wa mtaa wa ntyuka na chimalaa wailalamikia serikali kuwachelewesha kuwalipa fidia ya mradi wa barabara.Michael Emily mkazi wa eneo hilo amesema wananchi wanaodai ni takribani 172 na tangu mwaka 2022 mwezi wa 8 waliahidiwa kabla ujenzi haujaanza watalipwa mafao yao lakini mpaka sasa hawajalipwa,kamati ilienda TANROAD lakini hakuna matokeo...

SERIKALI KUENDELEA KULINDA UHURU WA MAWAZO, KUABUDU - DKT. BITEKO

STORY SERIKALI KUENDELEA KULINDA UHURU WA MAWAZO, KUABUDU - DKT. BITEKO Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko amesema kuwa, Serikali itaendelea kulinda kwa nguvu na gharama zote uhuru wa wananchi wa kutoa mawazo, imani na uchaguzi katika dini, hivyo itahakikisha kunakuwa na amani na utulivu ili uhuru huo wa kuabudu na kutoa mawazo uwepo muda wote. Dkt.Biteko...

ASA YAPONGEZWA UPATIKANAJI WA MBEGU BORA ZA KILIMO

Na Mwandishi wetu- Tabora Naibu Waziri Ofisi ya Waziri Mkuu Sera, Bunge na Uratibu Mhe. Ummy Nderiananga ameupongeza Wakala wa Mbegu za Kilimo (ASA) kwa kukamilisha Awamu ya Kwanza ya Mradi wa miundombinu ya Umwagiliaji katika shamba la mbegu Kilimi lililopo Wilaya ya Nzega mkoani Tabora. Mhe. Ummy ameyasema hayo wakati wa ziara yake ya kikazi katika shamba la mbegu Kilimi...

NEC YAKUTANA NA WADAU WA UCHAGUZI MKOANI TABORA

 Tume ya Taifa ya Uchaguzi imewaasa wakazi wa maeneo yaliyoteuliwa kwa ajili ya majaribio ya uboreshaji wa Daftari la Kudumu la Wapiga Kura kujitokeza kwa wingi kushiriki kwenye zoezi hilo ambalo linalenga kupima utayari wa mifumo na vifaa vya uboreshaji wa Daftari.Akizungumza wakati wa ufunguzi wa mkutano wa Tume na wadau wa uchaguzi uliofanyika mkoani Tabora leo tarehe...

RUSHWA KWENYE MIRADI YA MAENDELEO LIMEKUWA TATIZO SUGU.

 Rushwa kwenye miradi ya maendeleo limekuwa tatizo sugu,na wengine wamekuwa wakiliita kansa hivyo ni jukumu la kila mmoja hukakisha analeta usawa kwenye eneo hili.Hayo yameelezwa na Mhe.George Simbachawene Waziri wa Nchi Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala bora wakati akizungumza kwenye mkutano mkuu wa mwaka wa viongozi wa Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa(TAKUKURU).Aidha...

WATENDAJI WA TARAFA NA KATA WATAKIWA KUONESHA ELIMU ZAO KWA VITENDO

 Wito umetolewa kwa watendaji wa Tarafa na Kata za Mkoa wa Dodoma kuonesha thamani ya vyeti vyao vya Elimu kwenye utendaji wa kazi kwenye Tarafa na Kata zao kwani wao ndio wanatarajiwa kuiletea Serikali heshima kwa wananchi wake kwa. Hayo yamebainishwa leo Novemba 20, 2023 na Mkuu wa Mkoa wa Dodoma Mhe. Rosemary Senyamule wakati wa ufunguzi wa mafunzo ya siku mbili kwa...

MASHIRIKA YASIYO TAKA KUSHIRIKI MICHEZO YACHUKULIWE HATUA KALII.

 Na Moreen Rojas,Dodoma.Naibu Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania,Dokta  Doto Biteko ambaye pia ni Waziri wa Nishati amemuagiza Katibu Mkuu Wizara ya Utamaduni Sanaa na Michezo ayaandikie Barua  Mashirika ambayo hayajapeleka Wafanyakazi Kushiriki michezo ya SHIMUTTA Mwaka 2023 na  kueleza sababu zakutoshiriki ili Serikali ione hatua zakuchukua.Dk...

UZALENDO WAHIMIZWA UTUNZAJI MIRADI BAHI

Na. Mwandishi wetu BahiKatibu wa Siasa na Uenezi Mkoa wa Dodoma Ndg.Jawadu Mohammed ametoa Rai kwa wasimamizi wa Miradi ya Maendeleo inayotekelezwa na Serikali ya Chama cha Mapinduzi (CCM), kuitunza ili wananchi wanufaike zaidi na maendeleo yanayoletwa na kiongozi wao Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Samia Suluhu Hassan katika kila Halmashauri ili idumu kwa muda...

WILAYA YA KONGWA KUJA NA MBIO ZA KIHISTORIA.

 Na Moreen Rojas,Dodoma.Ofisi ya Mkuu wa Wilaya ya Kongwa kwa kushirikiana na wadau wa maendeleo nchini imeandaa mbio za Marathon kwa lengo la kuutangaza mchango wa Wilaya hiyo na Tanzania kwa ujumla katika ukombozi wa nchi za Kusini mwa Afrika.Kupitia mbio hizo Ofisi hiyo itaendelea kutoa elimu kwa umma juu ya umuhimu wa kuyatambua maeneo ya kihistoria, kuyalinda, na...

WIKI YA HUDUMA ZA FEDHA INALENGA KUWAFIKIA WADAU MBALIMBALI.

 Na Moreen Rojas,Dodoma.Wiki ya huduma za fedha  inalenga kuwafikia wadau mbalimbali wakiwemo watumishi wa umma,wanafunzi,wakufunzi,wanawake,vijana,watu wenye mahitaji maalumu,wajasiriamali wadogo na wa kati (MSMEs),waendesha boda boda,machinga,asasi za kiraia,wahariri na waandishi wa vyombo vya habari,watoa huduma za fedha,watoto na umma kwa ujumla.Hayo yameelezwa...

"TUMERIDHISHWA NA UTEKELEZAJI NA UBORA WA MIRADI YA CHEMBA " -JAWADU

Kamati ya siasa ya Mkoa wa Dodoma ikiongozwa na Katibu Wa Itikadi na  uenezi  (NEC ) Mkoa wa Dodoma Bw.Jawadu Mohammed imewapongeza   wasimamizi wa miradi inayotekelezwa Katika Halmashauri ya Wilaya ya Chemba ikiwemo Miradi ya Shule na Hospitali kwa kuzingatia ubora na ufanisi  unaotakiwa. Akizungumza na baadhi ya viongozi walioshiriki katika...