Subscribe Us

This is default featured slide 1 title

Go to Blogger edit html and find these sentences.Now replace these sentences with your own descriptions.

MIKATABA YA UENDELEZAJI BANDARI ITAZINGATIA MASLAHI YA NCHI-MAJALIWA

  WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amesema Serikali itahakikisha kuwa mikataba ya utekelezaji wa makubaliano ya uendeshaji wa maeneo ya bandari nchini kati ya Serikali ya Tanzania na Serikali ya Dubai kupitia Kampuni ya DP World itazingatia maslahi ya nchi na kuleta manufaa kwa Taifa letu. Waziri Mkuu ameyasema hayo leo (Jumatano, Juni 28, 2023) wakati akitoa hoja...

BISHOP:KOMBA AMEWATAKA WAKRISTO KUWA NA TABIA YA KUMSHUKURU MUNGU

 Na. Kadala Komba Dodoma Bishop:  Sylvanus Komba wa kanisa la Mlima wa Bwana Assemblies of God Tanzania Dodoma Amewataka Wakristo kuwa na Tabia ya kumshukuru Mungu kwa kujibu maombi yao .Bishop Komba Alisema Hayo Jumapili iliyopita wakati akifundisha Somo la Shukrani kanisani hapo Alisema Wapendwa naomba tujifunze kitu kutoka kwa yule mmoja (msamalia) aliyekumbuka...

DKT. KIKWETE AONGOZA MBIO ZA JKT MARATHON.

 Na Moreen Rojas,Dodoma.  Rais Mstaafu wa Serikali ya Awamu ya nne, Mheshimiwa Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete amewaongoza Viongozi, Majenerali, Maafisaa, Askari, Vijana, Watumishi na Wananchi mbalimbali katika Mbio za JKT Marathon Zilizofanyika jana Juni 25, 2023, Jijini Dodoma. Mbio hizo za Kilomita 5, 10 na 21 ziliazia na kutamatika kwenye Uwanja wa Jamhuri.  Katika...

MAPOKEZI YA RAIS SAMIA KILIMANJARO

 Mapokezi ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Dkt. Samia Suluhu Hassan alipowasili Uwanja wa Ndege Kilimanjaro International Airport akiwa ni mgeni rasmi katika maadhimisho Siku ya Kimataifa ya Kupiga vita Dawa za Kulevya ambayo Kitaifa yatafanyika Juni 25 mwaka huu katika Uwanja wa Sheikh Amri Abeid Jijini Arusha Juni 24,2023&nb...

KAMATI YA UFUNDI YA SERIKALI MTANDAO YAFANYA KIKAO CHA KWANZA JIJINI DODOMA

 Kamati ya ufundi ya serikali mtandao imefanya kikao cha kwanza na kujadili mambo mbalimbali ikiwa ni pamoja na namna ya utekelezaji wa majukumu yake, ili kuhakikisha jitihada za serikali mtandao zinaimarika na kuleta tija kwa Umma.Kikao hicho kilifanyika jana, katika Ofisi za Mamlaka ya Serikali Mtandao (e-GA)  jijini Dodoma, na kuongozwa na Kaimu Mwenyekiti Bw....

BUI POWER AUTHORITY IMPROVES OPERATIONAL COVERAGE USING HUAWEI ELTE SOLUTION

 [Accra, Ghana:The International Renewable Energy Agency estimates that Africa’s renewable energy capacity could reach 310GW by 2030, catapulting the continent into the top tier of green energy production. The Bui Power Authority (BPA) hydro-solar hybrid power plant in Ghana is leading the way in Sub-Saharan Africa, with essential communication and operational management...

HUAWEI UNLEASHERS AFRICA'S DIGITAL FUTURE THROUGH FULL UTILISATION OF SUB-3GHZ DURING A BETTER AFRICA SPECTRUM PRACTICE ROUNDTABLE

 Opening Ceremony: Jacob Munodawafa, Executive Secretary of Southern Africa Telecommunications Association (SATA) ...........(MAPUTO, The critical annual Africa Spectrum Roundtable, one of the continent’s most important spectrum events, took place in Maputo, Mozambique recently. The event brought together regulators, operators and spectrum industry leaders from all...

WAZIRI WA MAJI AWESO AMETENGUA UTEUZI WA MENEJA WA MAJI MKOA WA DODOMA

 Waziri wa Maji Mheshimiwa Jumaa H. Aweso (Mb) ametengua uteuzi wa Meneja wa Maji Mkoa wa Dodoma, (RUWASA) Mhandisi Godfrey Kabula Mbabaye kwa kushindwa kutekeleza majukumu yake ipasavyo.Waziri Aweso amechukua hatua hiyo kwa Mamlaka aliyonayo kupitia Sheria Na. 5 ya Huduma za Maji na Usafi wa Mazingira ya mwaka 2019,Aidha, Waziri Aweso amemuelekeza Katibu Mkuu Wizara...

KATAMBI AMEWATAKA WAKURUGENZI WAKUU WA MIFUKO YA PENSHENI KUHAKIKISHA MWANACHAMA ANALIPWA NDANI YA SIKU 60.

 Na Moreen Rojas,Dodoma.Naibu Waziri Ofisi ya Waziri Mkuu,Kazi,Vijana,Ajira na Watu wenye ulemavu Mhe.Patriobas Katambi amewataka Wakurugenzi wakuu wa Psssf na Nssf kuhakikisha kila mwanachama analipwa ndani ya siku 60 za kisheria kwa wanachama wote ambao nyaraka zao zimewasilishwa kwenye mfuko kwa ukamilifu.Mhe.Katambi ameyasema hayo wakati akielezea changamoto wanazokutana...

*TAIFA STARS YAFUFUA MATUMAINI AFCON 2023, YAIFUNGA NIGER 1-0*

Na Eleuteri Mangi, WUSM Dar es SalaamTimu ya soka ya Tanzania Taifa Stars imeicharaza timu ya Niger goli 1-0 na kufufua matumaini ya kufuzu michuano ya Mataifa ya Afrika (AFCON) mwaka  2023 nchini Ivory Coast.Saimon Msuva mfungaji wa goli hilo ndiye shujaa wa mchezo huo uliochezwa Juni 18, 2023 katika Uwanja wa Benjamin Mkapa jijini Dar es salaam.Naibu Waziri wa Utamaduni,...

TANZANIA YAADHIMISHA SIKU YA YOGA DUNIANI

 Na Eleuteri Mangi, WUSM, Dar es SalaamTanzania imeadhimisha Siku ya Yoga Duniani huku Wizara ya Utamaduni, Sanaa na Michezo ikisisitiza kuunga mkono sherehe za kitamaduni za mataifa mbalimbali duniani kwa sababu zinasaidia kujenga jamii ya kimataifa kuwa wamoja.Hayo yamsemwa na Katibu Mkuu Wizara ya Utamaduni, Sanaa na Michezo Bw. Saidi Yakubu wakati wa maadhimisho ya...

WAZIRI UMMY AMETOA WITO KWA MADAKTARI BIGWA UPASUAJI KUFANYA KAZI MIKOA YOTE.

 Na Moreen Rojas,Dodoma.Waziri wa Afya Ummy Mwalimu ametoa wito kwa madaktari bigwa  upasuaji kufanya kazi mikoa yote na kuhakikisha wanazalisha wataalamu wazuri kwani kuna uhaba wa madaktari bigwa wa upasuaji nchini.Waziri Ummy ameyasema hayo wakati wa mkutano wa mwaka na kongamano la kisayansi linalohusisha chama cha madaktari wa upasuaji Tanzania lililofanyika...

RC SENYAMULE VIJANA KUCHANGAMKIA FURSA YA AFYA BONANZA KUPIMA AFYA ZAO.

 Na.Elimu ya Afya kwa Umma.Mkuu wa Mkoa wa Dodoma Rosemary Senyamule ametoa wito kwa vijana  kuchangamkia fursa za  Afya Bonanza ili waweze kupima afya zao na kupata elimu kuhusu masuala mbalimbali ya afya.Senyamule ametoa wito huo  Juni,14,2023 katika ufunguzi wa Bonanza la Afya Mkoa wa Dodoma  uliofanyika katika shule ya Msingi Chang’ombe na kufanikiwa...

SERIKALI KUJENGA KIWANJA KIPYA CHA MICHEZO JIJINI ARUSHA

Na Eleuteri Mangi, WUSM, ARUSHAMkoa wa Arusha umepewa dhamana kubwa ya kitaifa ya kujengwa kiwanja kipya cha michezo na kufanya Tanzania kuwa na viwanja vitatu vinavyokidhi vigezo na mahitaji ya Shirikisho la Mpira wa Miguu Afrika (CAF) ili kuandaa mashindano ya AFCON 2027 katika ukanda wa Afrika Mashariki.Akikagua eneo kitakapojengwa kiwanja hicho kata ya Olmoti jijini Arusha...

𝗧𝗔𝗔𝗦𝗜𝗦𝗜 𝗭𝗔 𝗨𝗠𝗠𝗔 𝗭𝗔𝗛𝗜𝗠𝗜𝗭𝗪𝗔 𝗞𝗨𝗘𝗡𝗗𝗘𝗦𝗛𝗔 𝗩𝗜𝗞𝗔𝗢 𝗞𝗪𝗔 𝗡𝗝𝗜𝗔 𝗬𝗔 𝗠𝗧𝗔𝗡𝗗𝗔𝗢 𝗞𝗨𝗣𝗨𝗡𝗚𝗨𝗭𝗔 𝗚𝗛𝗔𝗥𝗔𝗠𝗔

 Meneja Mawasiliano Mamlaka ya Serikali Mtandao (e-GA), Bi. Subira Kaswaga, amezitaka Taasisi za Umma nchini kuendesha vikao kidijitali kwa kutumia mfumo wa e-Mikutano ili kupunguza gharama za uendeshaji wa vikao.Kaswaga alitoa rai hiyo jana, alipofanya mazungumzo na mwandishi wetu ofisini kwake jijini Dodoma kuhusu faida zitokanazo na mfumo  wa e-Mikutano.Alibainisha...

UCHUNGUZI WA KIIKOLOJIA KUHUSU UGONJWA WA VIRUSI VYA MARBURG WAANZA KAGERA.

 Na Mwandishi  wetu - KageraWataalam kutoka Wizara za kisekta chini ya Uratibu wa Ofisi ya Waziri Mkuu wameanza uchunguzi wa Kiikolojia kuhusu Ugonjwa wa Virusi vya Marburg baada ya ugonjwa huo kutokomezwa Nchini. Wataalamu wanaounda timu wanatoka ,Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa(TAMISEMI), Ofisi ya Waziri Mkuu ( Menejimenti ya Maafa), Wizara...

MEJA JENERALI MBUGE “TUIMARISHE USHIRIKIANO KUKABILI MAJANGA”

Na Mwandishi wetu- SingidaSerikali  kupitia  Ofisi  ya Waziri Mkuu imesema itaendelea kuimarisha ushirikiano na sekta mbalimbali katika kukabiliana na maafa ili kuhakikisha wananchi wanaishi katika mazingira salama.Kauli hiyo imetolewa  Juni 12, 2023 mkoani Singida na Mkurugenzi wa Idara ya Menejimenti ya Maafa Ofisi ya Waziri Mkuu Meja  Jenerali ...

SERIKALI YAWATAKA WAFUGAJI WA KUKU KIJISAJILI

Serikali kupitia Bodi ya Nyama Tanzania imetoa rai kwa wafugaji wa kuku wa nyama Tanzania kujisajili kwenye Bodi hiyo ili kutambulika na kurasimisha biashara ili waweze  kupata fursa mbalimbali.Hayo yamesemwa na Bi. Afsa Milandu Kaimu Meneja wa Idara ya Usajili na Udhibiti Ubora kutoka Bodi ya Nyama Tanzania wakati akifungua warsha ya siku moja ya wafugaji wa kuku wa...

SENYAMULE ATETA NA WAFANYABIASHARA

 Mkuu wa Mkoa Dodoma Mhe. Rosemary Senyamule amekutana na wafanyabiashara wa Mkoa wake kwa lengo la kujadili changamoto za biashara kwa ujumla na kuweka maazimio yenye tija katika kukuza masoko kwa kutumia fursa zilizopo  ndani na nje ya nchi.Kikao hicho kimefanyika Juni 8, 2023 katika Ukumbi wa jiji Mkoani humo na kuhudhuriwa na wafanyabiashara wakubwa, wakati na...

SAKATA LA BANDARI MSUKUMA AWATOA HOFU WATANZANIA.

 Na Moreen Rojas,Dodoma.Mbunge wa Geita Vijijini Joseph Msukuma amewatoa hofu watanzania kuhusiana na kinachoendelea kwenye mitandao ya kijamii na baadhi ya viongozi wa siasa kuhusu mkataba wa bandari unaotarajiwa kupitishwa na wabunge.Msukuma ameyasema hayo  wakati akizungumza na waandishi wa habari nyumbani kwake kilimani jijini Dodoma."Nataka niwaambie watanzania...

TANZANIA, UINGEREZA KUIMARISHA USAWA WA KIJINSIA

 Na WMJJWM, DodomaSerikali kupitia Wizara ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum imekubaliana na Kamisheni ya Uingereza kushirikiana ili kuimarisha usawa wa kijinsia nchini.Hayo yamebainika wakati wa kikao cha Wizara na Kamisheni hiyo kilichofanyika jijini Dodoma Juni 7, 2023, kwa lengo la kutambulisha Programu na mkakati mpya wa kusaidia wanawake na...

NHC KUSHIRIKI KUBORESHA MIUNDOMBINU YA MICHEZO NCHINI

 Na Eleuteri Mangi, WUSM, DodomaKatibu Mkuu Wizara ya Utamaduni, Sanaa na Michezo Bw. Saidi Yakubu amekutana na na kufanya mazungumzo na Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Nyumba la Taifa (NHC) Bw. Hamad Abdallah ambapo wamejadiliana namna kuendeleza ushirikiano baina ya pande mbili ili kuendeleza miundombinu ya michezo nchini.Kikao hicho kimefanyika Juni 07, 2023 katika Ofisi...

WAKAGUZI WA NDANI WATAKIWA KUTOA USHAURI WENYE TIJA

Ukaguzi wa Ndani Mkuu Msaidizi wa Bw. Paison Mwamnyasi, amewataka Wakaguzi wa Ndani kuzingatia sheria, kanuni, viwango na miongozo ya Serikali Mtandao wanapofanya ukaguzi kwenye miradi na Mifumo ya TEHAMA, ili waweze kutoa ushauri wenye tija kwa serikali kupitia taarifa zao za ukaguzi.Bw. Mwamnyasi aliyasema hayo hivi karibuni wakati wa ufunguzi wa awamu ya pili ya mafunzo...