
Na Moreen Rojas DodomaKatika
nchi nyingi Duniani,Wazee wamekuwa wakituzwa isipokuwa kwamba kila nchi
ina namna yake ya kuwatunza wazee wao kwa kulingana na mila,desturi na
tamaduni pamoja na hali za kiuchumi za nchi zao.Hayo
yamesemwa na Rais mstaafu wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar Dkt.Ali
Mohamed Shein wakati wa mjadala wa kitaifa kuhusu masuala ya uzee
uliofanyika...