Subscribe Us

This is default featured slide 1 title

Go to Blogger edit html and find these sentences.Now replace these sentences with your own descriptions.

JUKUMU LA KUWAANGALIA WAZEE SIO LA SERIKALI PEKEE.

Na Moreen Rojas DodomaKatika nchi nyingi Duniani,Wazee wamekuwa wakituzwa isipokuwa kwamba kila nchi ina namna yake ya kuwatunza wazee wao kwa kulingana na mila,desturi na tamaduni pamoja na hali za kiuchumi za nchi zao.Hayo yamesemwa na Rais mstaafu wa Serikali ya Mapinduzi  Zanzibar Dkt.Ali Mohamed Shein wakati wa mjadala wa kitaifa kuhusu masuala ya uzee uliofanyika...

MAKAMU WA RAIS: SERIKALI INATHAMINI MCHANGO WA MADHEHEBU YOTE YA DINI

Imeelezwa kuwa, Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania inayoongozwa na Rais Mhe. Samia Suluhu Hassan inathamini mchango wa Madhehebu ya dini kupitia mahubiri na kufundisha neno la Mungu kwa watu wote.Hayo yamebainishwa na Waziri wa Madini, Dkt. Doto Biteko katika Maadhimisho ya Jubilee ya Miaka 75 ya Kanisa la Elimu Pentekoste Tanzania (KEPT) iliyofanyika Wilaya...

MKUU WA MKOA DODOMA AMEWATAKA WAAJIRI KUBAINI MBINU ZA KUPUNGUZA AJARI MAENEO YA KAZI

Na Moren Rojas DodomaMkuu wa mkoa wa Dodoma ROSEMARY SENYAMULE amewataka waajiri kubaini mbinu za kupunguza ajali kwa wafanyakazi ili kupunguza ajali kazini.Ameyasema hayo katika ufunguzi wa mafunzo kwa Madaktari juu ya tathmini ya ulemavu na magonjwa yatoka nayo na kazi yaliyofanyika jijini Dodoma huku akilitaka Shirika la Mfuko wa Fidia kwa wafanyakazi(WCF) kuhakikisha...

VIONGOZI WA UVCCM BAHI WAMEONYWA KUTOBWETEKA

Na Peter Mkwavila BAHI. VIONGOZI wa Jumuiya ya Umoja wa Vijana  (UVCCM) wa wilayani Bahi,wameonywa kutobweteka na kulewa na madaraka,badala yake wafanye kazi za kujiingizia kipato pamoja na kukisaidia chama cha Mapinduzi kimaendeleo. Onyo hilo limetolewa na Mwenyekiti mstaafu Jumuiya hiyo Hassan Kidoke, ambaye aliyemaliza muda wake alipokuwa akizungumza na vijana wa...

MITAA ISIYO NA UMEME IFIKAPO DESEMBA 2022 IWE IMESAMBAZIWA UMEME

Imeelezwa kuwa, Mitaa 28 ambayo bado haina umeme katika Jimbo la Handeni mjini ipo katika mpango wa kupatiwa umeme kupitia mradi wa umeme vijijini Awamu ya Tatu mzunguko wa Pili unaotekelezwa na Wakala wa Nishati Vijijini (REA). Hayo yamesemwa bungeni jijini Dodoma na Naibu Waziri wa Nishati, Wakili Stephen Byabato wakati akijibu swali la Mbunge wa Handeni Mjini, Mheshimiwa...

*KABLA YA KUPAMBANA NA MCHAWI WA MAISHA YAKO BADILISHA KWANZA MIND-SET YAKO, BADILISHA KWANZA MITAZAMO YAKO YA NDANI*

Biblia inasema hivi*Hosea 4:6(a) Watu wangu wanaangamizwa kwa kukosa maarifa;*Kwenye hili andiko Mungu hasemi WATU WANGU WANAANGAMIZWA KWASABABU YA SHETANI AU WACHAWI , isipokuwa anasema hivi WATU WANGU WANAANGAMIZWA KWA KUKOSA MAARIFA, kwahiyo kinachokuja kukuangamiza kwenye maisha yako kinakuangamiza kwasababu hauna maarifa sahihi ndani yako, kinakuangamiza kwasababu...

EURO BILIONI 10.1 ZATUMIKA MRADI UBORESHAJI WA HUDUMA ZA AFYA YA MIMEA TANZANI.

Na. Kadala Komba Dodoma Kilimo ni sekta inayotegemewa sana Tanzania kwa ajili ya kutoa malighafi kwa ajili ya taifa letu.Tarehe 16 mwaka 2021 mwezi wa 2 Serikali kupitia Wizara ya Fedha na Mipango iliingia mkataba wa kutekeleza na kuimarisha Afya ya mimea na jumuiya ya Umoja wa ulaya.Mradi huu ni wa miaka 3 na miezi 6 na umefadhiliwa na Umoja wa Ulaya na Shirika la Kimataifa...

GLOBAL FUND YAUNGA MKONO SERIKALI KUKABILIANA NA MAGONJWA NCHINI.

Na mwandishi wetu- DodomaKatibu Mkuu Ofisi ya Waziri Mkuu Sera, Bunge na Uratibu Dkt. John Jingu amekutana na kufanya mazungumzo na Meneja Mkaguzi kutoka Mfuko wa Kimataifa wa Kupiga Vita UKIMWI, TB na Malaria (GLOBAL FUND) Bwa. Andrew Hammond ofisini kwake Jijini Dodoma.Dkt. Jingu amesema mazungumzo hayo yalilenga kujadili masuala mbalimbali kuhusu sekta ya afya nchini ili...

*DKT. KIRUSWA AIAGIZA GST NA STAMICO KUFANYA TAFITI ZA MADINI MUFINDI NA KILOMBERO*

 Na. Mwandishi wetu Dodoma  Naibu Waziri wa Madini Dkt. Steven Kiruswa ameiagiza Taasisi ya Jiolojia na Utafiti wa Madini Tanzania (GST) pamoja na Shirika la Madini la Taifa (STAMICO) kufanya tafiti za madini katika wilaya ya Kilombero mkoani Morogoro na wilaya ya Mufindi mkoani Njombe kwa lengo la kubaini aina ya madini yaliyopo katika wilaya hizo.Hayo ...

WAZIRI MKUU ATOA MAAGIZO KWA NIDA KUONGEZA KASI UZALISHAJI WA VITAMBULISHO

Na Moreen Rojas DodomaMamlaka inayoshughulika na utoaji wa vitambulisho vya Taifa NIDA wametakiwa kuongeza kasi  ya uzalishaji wa vitambulisho vya Utaifa ili kumsaidia mwananchi kupata wepesi wa kutambulika anapokuwa na mahitaji mbalimbali.Kauli hiyo imetolewa na Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Kassim Mjaliwa  katika Kongamano la sita la Uwezeshaji...

CHANZO KIKUBWA CHA NDOA NYINGI KUVUNJIKA NI HIKI.

Mwanzilishi na mwasisi wa kwanza wa  Ndoa ni Mungu,Mungu alipomuumba Adam alimpa kazi  2 kubwa  kulima bustani na kuitunza,pia akampa kazi  ya kuwapa wanyama wote majina.Baada ya yote hayo Mungu alimwangalia Adam na akaona siyo vyema Adam awe peke yake,akamfanyia msaidizi wa kufanana naye. Alimfanya mwanamke kutoka  kwenye Ubavu wa Adam,Kwa kumpa...

DUWASA KUMALIZA CHANGAMOTO YA MAJI NZUGUNI

Na. Mwandishi wetu Dodoma.  KATIKA kukabiliana na suala la upungufu wa maji katika Jiji la Dodoma, Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Dodoma (DUWASA) inaendelea na uchimbaji wa visima pembezoni wa mji ili kukabiliana na changamoto hiyo.DUWASA mpaka sasa imekwisha chimba jumla ya visima vitano katika maeneo ya Nzuguni A visima vinne na Nzuguni B kisima kimoja.Akizungumza ...

KATAMBI- MFUKO WA MAENDELEO YA VIJANA UMEANZA KUTOA MIKOPO KWA KIJANA MMOJA MMOJA.

Na Mwandishi wetu- Dodoma.Naibu Waziri- Ofisi ya Waziri Mkuu Kazi, Vijana, Ajira na Watu Wenye Ulemavu Mhe. Patrobas Katambi amesema kuwa serikali imeendelea kufanya jitihada za kuweka mazingira wezeshi kwa vijana kuweza kujikwamua kiuchumi kwa kutoa mikopo kwa kijana mmoja mmoja na si kwa makundi kama ilivyokuwa awali.Amebainisha hayo wakati wa ufunguzi wa Mdahalo wa...

HALMASHAURI 7 ZATHIBITIKA KUWA NA MLIPUKO WA UGONJWA WA SURUA.

Na Moreen Rojas.Dodoma HALMASHAURI  7 ZATHIBITIKA KUWA  NA  MLIPUKO  WA UGONJWA   WA SURUA.Hayo yamesemwa na Waziri wa afya Mhe.Ummy Mwalimu wakati akizungumza na waandishi wa habari jijini Dodoma ikiwa ni kutoa taarifa kwa umma kuhusu ongezeko la wagonjwa wa surua nchini.Aidha Waziri Ummy amesema kuwa wagonjwa thelathini na nane(38) walithibitika...

KENYA; AJIUA KISA KANYIMWA TENDO LA NDOA

Polisi katika kijiji cha Ebungaya, kaunti ya Kakamega nchini Kenya wanachunguza kisa ambapo mwanamume mwenye umri wa miaka 50, anadaiwa kukatiza maisha yake baada ya mzozo wa kifamilia mnamo Jumatatu, Septemba 5,2022.Mwili wa Ezra Skim ulipatikana ukining'inia kwenye mti ukiwa na kamba shingoni mnamo Jumanne, Septemba 6,2022. Marehemu anaripotiwa kutoweka nyumbani kwake mnamo Jumatatu, Septemba 5, kabla ya mwili wake kupatikana na wapita njia.Akithibitisha...

*YALIYOJIRI SEPTEMBA 1, 2022 JIJINI DODOMA WAKATI SERIKALI IKITOA UFAFANUZI KUHUSU TOZO*

*Aliyosema Waziri wa Fedha na Mipango, Mhe. Dkt. Mwigulu Nchemba* #Chimbuko la tozo lilikuwa ni kwa ajili ya kuunganisha nguvu kama Watanzania ili tuweze kutekeleza baadhi ya mahitaji ya lazima ambayo yamekuwa yakikosa bajeti kutokana na bajeti zinazopangwa. #Katika nchi za Afrika Mashariki na SADC, hakuna nchi inayotekeleza kwa mara moja miradi mikubwa kama Tanzania, hii...

FAHAMU MAENEO YA KUOMBEA KWENYE NYUMBA UNAYOISHI

FAHAMU MAENEO YA KUOMBEA KWENYE NYUMBA UNAYOISHI 1️⃣Ombea chumba unacholala na ufunike kwa damu ya Yesu. ✅Kama ni hotel omba toba kwa kila kilichofanyika nje ya mapenzi ya Mungu. ✅Nguo zinabeba roho kwahiyo, ombea mashuka kwa damu ya Yesu. 2️⃣Ombea nyumba nzima *Lakini huko watalala hayawani wakali wa nyikani; na nyumba zao zitajaa bundi; mbuni watakaa huko; na majini...

MAGAZETI ya Tanzania Leo Ijumaa September 02 2022

...