Subscribe Us

This is default featured slide 1 title

Go to Blogger edit html and find these sentences.Now replace these sentences with your own descriptions.

TASAC YATOA ELIMU KWA WANANCHI MTWARA.

Na Mwandishi Wetu,Mtwara.SHIRIKA la Uwakala wa Meli Tanzania(TASAC)limetoa elimu kwa wananchi kuhusu namna Shirika linavyotekeleza Majukumu yake kwa Mujibu wa Sheria.Elimu hiyo imetolewa katika maonesho ya Bishara, Uwekezaji na Fursa yanayofanyika katika viwanja vya Mashujaa kuanzia tarehe 19 hadi 31 Machi, 2023 Mkoani Mtwara. Akizungumza na Vyombo ya habari Kaimu Afisa Mfawidhi...

NAIBU WAZIRI NISHATI AMEWATAKA TANESCO KUWA NA KITENGO CHA MASUALA YA JINSIA.

 Na Masala Komba Dodoma  Naibu waziri wizara ya nishati Steven Byabato ameagiza shirika la umeme Tanzania kuwa na kitengo cha masuala ya jinsia (dawati la jinsia).Mhe.Byabato ameyasema hayo  wakati akizungumza na waandishi wa habati pamoja na wadau mbalimbali ambapo amezindua programu ya usawa kazini  katika ukumbi wa morena jijini Dodoma.Aidha amesema...

MCHUNGAJI DANIEL MGOGO HIZI NDOA HAZIWEZI KUDUMU

 Mchungaji na Mhubiri maarufu kutoka Tanzania Pastor Daniel Mgogo ametaja aina ya ndoa ambazo kwa mujibu wa mafundisho yake ndoa hizo haziwezi kudumu hata iweje.Kwa mujibu wa Mchungaji Mgogo amesema ndoa lazima zibarikiwe na kiongozi wa kidini la sivyo ndoa hizo zitasambaratika tu. Mchungaji huyo alisema kuwa baadhi ya watu tayari wameoana bila ndoa zao kubarikiwa na...

KAGERA NI SHWARI HAKUNA MAAMBUKIZI MAPYA YA UGONJWA WA MARBURG

 Na. WAF - Ziara Mkoani Kagera, BukobaWaziri wa Afya Mhe. Ummy Mwalimu amefanya ziara ya kutembelea katika Kijiji cha Ntoma Wilaya ya Bukoba Mkoani Kagera kwa lengo la kujionea hali inavyoendelea baada ya kutangazwa kutokea kwa mlipuko wa ugonjwa wa Marburg Mkoani humo. Katika Ziara hiyo, Waziri Ummy ameambatana na Mwakilishi Mkazi wa Shirika la Afya Duniani (WHO) Dkt....

*KINANA AWATAKA WAISLAM KUZINGATIA MAADILI MEMA.*

Makamu Mwenyekiti wa CCM Tanzania Bara, Kanali Mstaafu Abdulrahman Kinana, amewataka Waislamu kuzingatia mafundisho ya Mtume Muhammad (SAW) hususan kuhusu uchamungu na tabia njema.Kinana ameyasema hayo leo Machi 25, 2023 wakati wa hafla ya mashindano ya Kuraani tukufu yaliyoandaliwa na Taasisi ya Faraja Foundation ya jijini Dar es Salaam.""Tunaagizwa na Kuraani, pia tunaagizwa...

TANZANIA YAKABIDHI MISAADA YA KIBINADAMU KWA SERIKALI YA MALAWI

NA mwandishi wetuBalozi wa Tanzania Nchini Malawi Mhe. Humphrey Polepole ameshiriki katIka zoezi la kukabidhi misaada ya Kibinadamu kutoka Tanzania kwa Serikali ya Malawi ili kusaidia wahanga wa Kimbunga Freddy.Balozi amekabidhi misaada hiyo ya kibinadamu inayojumuisha Mablanket, Mahema, Unga wa Mahindi kwa Waziri wa Mambo ya Nje wa Malawi Mhe. Nancy Tembo katika Mji...

*TANZANIA NA UNESCO KUDUMISHA MASHIRIKIANO SEKTA YA MAJI*

UNESCO- NEW YORKWaziri wa Maji Mhe Jumaa Aweso amekutana na Naibu Mkurugenzi mkuu wa shirika la Umoja wa Mataifa UNESCO Bwana Xing Qu ofisi za UNESCO New York kwa lengo la kujadiliana juu ya mahusiano na mashairikiano katika usimamizi wa uendelezani wa Rasilimali za Maji na ushirikiano katika usimamizi wa Maji Shirikishi.Waziri Aweso amewasilisha ombi la Tanzania kujengewa...

MCHUNGAJI WAKRISTO TUMEZIDIWA MAARIFA NA WACHAWI

 Na. Kadala Komba Bahi Daniel David Kikunile Mchungaji Kiongozi Mchungaji Daniel Kikunile wa Kanisa la Ufunuo na Uzima lililopo karibu na shule ya Msingi Bahi Misheni  Wilaya ya Bahi Jijini Dodoma  Amesema Sisi wakristo ni wazembe tunazidiwa maarifa na wachawi, Mfano Mchungaji,Mwinjilisti Ametumika kikamilifu katika huduma au karama aliyupowe na Mungu kwa Kazi...

MEJA JENERALI MBUGE “MIKOA IANZISHE TIMU YA WATAALAM YA KUKABILIANA NA MAAFA”

Na Mwandishi wetu- DodomaMkurugenzi wa Idara ya Menejimenti ya Maafa Ofisi ya Waziri Mkuu Meja Jenerali Charles Mbuge  amewataka Wataalam  kuanzisha Timu Mtambuka ya Wataalam ya Kukabiliana wa Maafa kila Mkoa ambayo itarahisisha  mawasiliano ndani ya Mkoa wakati wa kukabiliana na dhahrura.Meja Jenerali Mbuge ameyasema hayo wakati akifungua Kikao Kazi cha Kuweka...

CHRISTINA SHUSHO AZIKWAPUA MILIONI 10 ZA NABII MKUU GEORDAVIE, AMUITA MFALME.

March 13, 2023 Staa wa muziki wa Injili nchini Christina Shusho alifika Kanisani kwa Nabii Mkuu Geordavie jijini Arusha kwa ajili ya Ibada, lakini akiwa katikati ya mazungumzo Shusho alianza kum-mwagia sifa Nabii huyo na baadae akamuomba kiasi cha pesa ili zimsaidie kwenye shughuli yake ya uzinduzi wa Album yake mpya itakayozinduliwa April 9, mwaka huu katika ukumbi wa Mlimani...

TAHADHARI IMETOLEWA KWA WANANCHI KUJIKINGA NA MAJANGA YA MOTO

Na Sifa Lubasi Dodoma WANANCHI wametakiwa kuchukua tahadhari wanapotibu majeraha ya moto ili kupunguza uwezekano wa jeraha kuwa kubwa zaidi na kushindwa kutibika kwa wakati na hata kusababisha kifo Akizungumza leo kwenye maadhimisho ya miaka 70 ya Baraza la Uuguzi na Ukunga yanayofanyika katika viwanja vya Nyerere square,Ofisa Muuguzi Msaidizi Mwandamizi daraja la pili David...

SEKTA YA UTALII INACHANGIA ASILIMIA 17% PATO LA TAIFA NA 20% FEDHA ZA KIGENI.

Na Moreen Rojas, Dodoma. Kamishna msaidizi mwandamizi Jeshi la uhifadhi ofisi ya kiunganishi TANAPA Dodoma Dkt.Noelia Myonga amesema sekta ya utalii inachangia asilimia 17% ya pato taifa na asilimia 20% ya fedha za kigeni. Dkt.Noelia ameyasema hayo wakati akizungumza na waandishi wa habari jijini hapo na kutoa ufafanuzi kuhusiana na TANAPA na namna gani waandishi wanaweza...

OVERCOMING REJECTIONS

Assistants to Minister of State in President’s Office (Planning) initially rejected me, saying “the boy is too young for the post.” Later on, they all became my trusted friends. The Permanent Secretary in the same office, Ambassador Fulgence Kazaura too asked, “wasn’t there another choice,?” He went on to regard me as one of his trusted assistants. The late Jonas Mwasumbi,...

TUIMARISHENI UFANISI KATIKA UTENDAJI KAZI – DKT. YONAZI

Na. Mwandishi Wetu – Dodoma. KATIBU Mkuu Ofisi ya Waziri Mkuu Sera Bunge na Uratibu, Dkt. Jim Yonazi, amewataka watumishi wa Ofisi hiyo kuimarisha ufanisi katika utendaji kazi wa kila siku ili kufanikiwa katika kufikia malengo ya Serikali. Ameyasema hayo mapema leo Machi 9, 2023 katika hafla ya makabidhiano ya Ofisi na aliyekuwa katibu Mkuu wa Ofisi hiyo Dkt. John Jingu,...

WAFANYABIASHARA WANAOANZA BIASHARA WAMERUSIWA KUFANYA BIASHARA MIEZI 6 BIRA KULIPA KODI

Na Kadala Komba , Kondoa WAZIRI wa Viwanda na Biashara Dk Ashatu Kijaji amésema kuwa Rais Samia Suluhu Hassan ametoa kibali cha kuruhusu wafanyabiashara wanaoanza biashara kutokulipa kodi kwa kipindi cha miezi sita hadi mwaka moja "Rais ametoa kibali ,wale wanaoanza biashara kufanya biashara miezi sità hadi mwaka moja ndipo waanze kulipa Kodi," alisema. Álisema hayo Jana...

ASKOFU MWAKIPESILE AKABIDHIWA GARI LA UTUMISHI

Na Johndickson Gaudin,Dodoma Wakati Tanzania na Dunia ikiazimisha siku ya wanawake duniani kama ilivyo tamaduni ulimwenguni kote siku ambayo huadhimishwa kila ifikapo machi 8 ya kila mwaka ,Askofu Mkuu wa kanisa la EAGT Brown Mwakipesile ameeleza mchango wa wanawake katika jamii na kanisa kwa ujumla ambapo amesema kama nchi upo mfano mzuri wa kuutazama kupitia Rais Dkt...