Home »
» WAZIRI WA ELIMU, PROF. MKENDA AMEZINDUA BODI YA TUME YA VYUO VIKUU 2023-2026
WAZIRI WA ELIMU, PROF. MKENDA AMEZINDUA BODI YA TUME YA VYUO VIKUU 2023-2026
Na. Kadala Komba Dodoma
WAZIRI Wa Elimu, Sayansi Na Teknolojia Mhe. Prof. Adolf Mkenda, Ameitaka Tume Ya Vyuo Vikuu Tanzania(TCU) kushirikiana na Vyuo Vikuu Vyote Kwa kuwasikiliza, Kuwapa Muda Wa Kutosha, Kuhakikisha wanasaidiwa na Sehemu yenye Vikwazo wapewe Ushauri Wa haraka Kabla ya Kuchukua Sheria Nyingine Muhimu.
.
Mkenda Ameyasema hayo Leo January 19,2023 Alipokuwa kwenye Akizinduzi Bodi Ya Tume ya Vyuo Vikuu kuanzia mwaka 2023 hadi mwaka 2026 Jijini Dodoma.
.
Amesema wanahitaji Watanzania wengi waende Nje Ya Nchi Wakasome Na Sio Masomo ya Sayansi Tu hata Na Masomo Mengine Kwa Sababu hawawezi kutarajia Watu Ndani ya Nchi ikiwa Hawana Walimu Wa Kutosha.
.
Mkenda Ameitaka Pia TCU Kujaribu Kuvitambua Vyuo vinavyofundisha Nje Ya Nchi na Kuvielewa Vizuri Hasa Medicine.
.
Aidha, Mkenda Amesema Vyuo Vikuu ni Muhimu Sana kusimamia Ubora Wake Kwa Sababu vitakuwa Chachu Ya Kuwasaidia Kuongeza Ubora Kwa Ngazi ya Chini.
.
Nae Mwenyekiti Wa Bodi Ya Tume Hiyo Prof. Penina Mlama Amemuahidi Waziri Mkenda Kwamba watakuwa Began Kwa Bega Na wizara Ya Elimu, Sayansi Na Teknolojia Katika Juhudi zake Za Kupaisha Sekta Ya Elimu Juu Ili Watanzania Wote wanaopita Katika Vyuo Vyao Vikuu wapate Elimu Yenye Tija na Ya Viwango Vya Juu Kitaifa, Kikanda na Kimataifa.
WAZIRI Wa Elimu, Sayansi Na Teknolojia Mhe. Prof. Adolf Mkenda,
Related Posts:
*DKT. KIRUSWA AIAGIZA GST NA STAMICO KUFANYA TAFITI ZA MADINI MUFINDI NA KILOMBERO* Na. Mwandishi wetu Dodoma Naibu Waziri wa Madini Dkt. Steven Kiruswa ameiagiza Taasisi ya Jiolojia na Utafiti wa Madini Tanzania (GST) pamoja na Shirika la Madini la Taifa (STAMICO) kufanya tafiti za madin… Read More
CHANZO KIKUBWA CHA NDOA NYINGI KUVUNJIKA NI HIKI.Mwanzilishi na mwasisi wa kwanza wa Ndoa ni Mungu,Mungu alipomuumba Adam alimpa kazi 2 kubwa kulima bustani na kuitunza,pia akampa kazi ya kuwapa wanyama wote majina.Baada ya yote hayo Mungu alimwangal… Read More
GLOBAL FUND YAUNGA MKONO SERIKALI KUKABILIANA NA MAGONJWA NCHINI.Na mwandishi wetu- DodomaKatibu Mkuu Ofisi ya Waziri Mkuu Sera, Bunge na Uratibu Dkt. John Jingu amekutana na kufanya mazungumzo na Meneja Mkaguzi kutoka Mfuko wa Kimataifa wa Kupiga Vita UKIMWI, TB na Malaria (GLOBAL FUND) B… Read More
WAZIRI MKUU ATOA MAAGIZO KWA NIDA KUONGEZA KASI UZALISHAJI WA VITAMBULISHONa Moreen Rojas DodomaMamlaka inayoshughulika na utoaji wa vitambulisho vya Taifa NIDA wametakiwa kuongeza kasi ya uzalishaji wa vitambulisho vya Utaifa ili kumsaidia mwananchi kupata wepesi wa kutambulika anapokuwa … Read More
KATAMBI- MFUKO WA MAENDELEO YA VIJANA UMEANZA KUTOA MIKOPO KWA KIJANA MMOJA MMOJA.Na Mwandishi wetu- Dodoma.Naibu Waziri- Ofisi ya Waziri Mkuu Kazi, Vijana, Ajira na Watu Wenye Ulemavu Mhe. Patrobas Katambi amesema kuwa serikali imeendelea kufanya jitihada za kuweka mazingira wezeshi kwa vijana kuweza k… Read More
0 Comments:
Post a Comment