Home »
» SHAKA AKABIDHI RASMI OFISI KWA MJEMA
SHAKA AKABIDHI RASMI OFISI KWA MJEMA
Picha zikionesha matukio mbalimbali ya makabidhiano ya ofisi baina ya Katibu wa NEC, Itikadi na Uenezi Ndg Sophia Edward Mjema na aliyekuwa Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi Ndg Shaka Hamdu Shaka Jana Tarehe 21 Januari, 2023 Ofisi Ndogo ya Makao Makuu ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) Lumumba, Dar es Salaam.
#CCMImara #UongoziImara #KaziIendelee
Related Posts:
NBS IDADI YA WATALII WALIOINGIA NCHINI YAONGEZEKA HADI ASLIMIA 62.7. Na.Kadala Komba Dodoma OFISI ya Taifa ya Takwimu (NBS), imesema kuwa idadi ya watalii walioingia nchini kuanzia Januari hadi Julai yaongezeka hadi kufikia 742,133 ikilinganishwa na 456,266 kwa kipindi Cha mwaka 2021, saw… Read More
Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo August 17, 2022… Read More
Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo August 18, 2022… Read More
JIFUNZE KUHUSU MTI UNAFUNDISHA MENGI Na.Mwl Triple J. "Basi *KWA MTINI JIFUNZENI* mfano; *TAWI LAKE likiisha KUCHIPUKA NA KUCHANUA MAJANI* , mwatambua ya kuwa *WAKATI WA MAVUNO U KARIBU"*(Mathayo 24:32) ...MAISHA Ya MWANADAMU ni Kama MTI, Matendo Yake … Read More
CHAMWINO YAJIWEKEA MPANGO MKAKATI WA KUONDOA ZIRO MASHULENINa Peter Mkwavila CHAMWINO. MKUU wa wilaya ya Chamwino Mkoani Dodoma Gift Msuya amesema kuwa ili kuepukana na ziro shule za masingi na sekondari wamejiwekea mpango mkakati wa kuwasaka watoto wasioenda shule na ikiwemo na k… Read More
0 Comments:
Post a Comment