Subscribe Us

This is default featured slide 1 title

Go to Blogger edit html and find these sentences.Now replace these sentences with your own descriptions.

DIWANI NDONU AMETOA SIKU SABA KWA WAZAZI WA WANAFUNZI AMBAO HAWAJARIPOTI SHULE

Na. Kadala Komba Dodoma Diwani Kata ya Bahi Mkoa wa Dodoma Mhe.Augustino Ndonu ametoa siku saba kwa wazazi wa wanafunzi ambao bado hawajaripoti shule hadi sasa baada ya kufaulu darasa la saba na kuchanguliwa kujiunga na kidato cha kwanza mwaka 2023 kuhakikisha wanafanya hivyo na atakae kaidi agizo hilo hatua kali za kisheria zitachukuliwa dhidi yake. Mhe Ndonu ametoa...

LENGO LA BIMA YA AFYA KWA WOTE NI KUCHANGIANA GHARAMA ZA MATIBABU - WAZIRI UMMY

Waziri wa Afya Mhe. Ummy Mwalimu amesema lengo la Bima ya Afya kwa Wote ni kuchangiana kwa gharama za matibabu kwa wananchi wote ikiwemo wale ambao hawana uwezo ambao kwa kiasi kikubwa ndio wanaohangaika kutafuta huduma za matibabu wanapougua. Waziri Ummy amesema hayo leo tarehe 23 Januari 2023 wakati alipokutana na Wahariri wa Vyombo vya habari pamoja na Wakurugenzi wa taasisi...

SHAKA AKABIDHI RASMI OFISI KWA MJEMA

Picha zikionesha matukio mbalimbali ya makabidhiano ya ofisi baina ya Katibu wa NEC, Itikadi na Uenezi Ndg Sophia Edward Mjema na aliyekuwa Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi Ndg Shaka Hamdu Shaka Jana Tarehe 21 Januari, 2023 Ofisi Ndogo ya Makao Makuu ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) Lumumba, Dar es Salaam. #CCMImara #UongoziImara #KaziIendelee...

WAZIRI MKENDA ANAYELETA UDANGANYIFU WA MITIHANI TUTAMKAMATA

Na. Kadala Komba Dodoma Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia Prof. Adolf Mkenda Amesema mitihani imekuwa ikienda vizuri kwenye Baraza la Mitihani la Tanzania isipokuwa inapokwenda shuleni wamekuwepo watu wachache sana ambao wanajihusisha na udanganyifu na kwamba Serikali haitavumilia udanganyifu huo. “Anayeleta udanganyifu kwenye mitihani tutamkamata, walimu hakikisheni...

MWANAUME MWENYE UMRI WA MIAKA 40 AMEKUTWA KANISANI BIRA NGUO ( MTUPU)

Mwanaume anayekadiriwa kuwa na umri wa zaidi ya miaka 40 anayetajwa kuwa ni Mkazi wa Mkoa wa Morogoro amekutwa akiwa mtupu kwenye Madhabahu ndani ya Kanisa la Anglikana lililopo Mtaa wa Matema Halmashauri ya Mji wa Makambako Mkoani Njombe huku sababu zikiwa bado hazijajulikana. Katibu wa Kanisa hilo, Elias Ngailo amethibitisha kutokea kwa tukio hilo na kueleza kuwa Mwanaume...

*CCM YATOA AGIZO KUHUSU WALIMU KUPEWA VISHIKWAMBI*

CHAMA Cha Mapinduzi (CCM), kimetoa wiki moja kwa Wizara ya Elimu kuanzia leo Januari 20, 2023, kuhakikisha vishikwambi vilivyotolewa na serika kwa ajili ya walimu vinawafikia walengwa. CCM Imesema imepokea malalamiko ya kutotekelezwa kikamilifu kwa maelekezo ya Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa kuhusu ugawaji wa vishikwambi hivyo. Akizungumza mjini Dar es Salaam leo, Katibu...

MWALIMU MWAKASEGE AINGILIA KATI VITA YA MCHUNGAJI KIMARO

VITA YA MCHUNGAJI KIMARO: MWALIMU MWAKASEGE AMESEMA KATIKA SOMO LAKE LA “MAHAKAMA INAYOMPA MUNGU UHALALI WA KUHUKUMU MIUNGU” KWAMBA PAULO KATIKA UTUMISHI WAKE , KILA ALIPOKUWA AKIPINGWA AU AKIZUIWA, ALIKUWA NA UWEZO WA KUJUA NI NANI ALIEKUWA ANAMPINGA AU ANAMZUIA. SHETANI ALIPOMZUIA PAULO ASIENDE MIJI FULANI, PAULO ALIJUA NI SHETANI ANAMPINGA. NA PIA KUNA WAKATI PAULO...

PSPTB YACHUKUA HATUA KWA WAKUU WA VITENGO VYA UNUNUZI UGAVI

Na. Kadala Komba Dodoma MKURUGENZI Mtendaji wa Bodi ya Wataalam wa Ununuzi na Ugavi (PSPTB), Godfred Mbanyi amesem kuwa Bodi hiyo imekuwa ikichukua hatua katika madhaifu ambayo yanaweza kuleta hasara kwa serikali na kuathiri Miradi mikubwa kwa wakuu wa vitengo vya Ununuzi na Ugavi. Akizungumza jijini hapa leo Januari 19,2023 wakati wa kutoa taarifa ya matokeo ya mitihani...

MAPYA YAIBUKA: MBEYA KIJANA MMOJA AGAWA HELA MTAA KWA MTAA

Mtu mmoja aliyetambulika kwa jina moja la Jack au [ZOMBIE MGAWA HELA] ameibua maswali mengi kwa wakazi wa Mbeya Juu ya Hela anazogawa kwa watu kila mtaa anaopita. Na wengine wakitaka Kujua Ratiba ya wapi maeneo atakayokuwepo na wengine wakiogopa wakihusisha Imani za kishirikina kwamba watatolewa kafara. Wananchi wengi wameendelea kutoa maoni yao juu ya Utajiri wa ajabu...

WANAWAKE 15 WAMEFANYIWA UPASUAJI WA UGONJWA WA FISTULA

Na. Mwandishi wetu Mbeya Hayo yamesemwa na Naibu Waziri wa Maji Maryprisca Mahundi Amezindua Rasmi kambi ya matibabu ya Fistula katika Hospitali ya kanda ya Rufaa Mbeya ,amesema Ugonjwa wa Fistula unawasababishia maumivu makali wanawake huku ukiwahathiri kisikolojia hasa pale wanaponyanyapaliwa na jamii pamoja kukimbiwa na wenza. Aidha Naibu Waziri amesema tangu kuanzishwa...

MAKAMU WA RAIS AWEKA JIWE LA MSINGI MRADI WA MAJI ZIWA VICTORIA UTAKOSAIDIA MIJI YA TINDE NA SHELUI

Na. Mwandishi wetu Shinyanga Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt.Philip Mpango ameweka Jiwe la Msingi katika Mradi wa Maji wa Ziwa Victoria utakaohudumia Tinde na Shelui unaogharimu shilingi bilioni 24.4, hafla iliofanyika eneo la Tinde mkoani Shinyanga leo tarehe 19 Januari 2023.  Dkt Mpango Amewataka kuongeza ufanisi katika matumizi...

WAZIRI WA ELIMU, PROF. MKENDA AMEZINDUA BODI YA TUME YA VYUO VIKUU 2023-2026

Na. Kadala Komba Dodoma WAZIRI Wa Elimu, Sayansi Na Teknolojia Mhe. Prof. Adolf Mkenda, Ameitaka Tume Ya Vyuo Vikuu Tanzania(TCU) kushirikiana na Vyuo Vikuu Vyote Kwa kuwasikiliza, Kuwapa Muda Wa Kutosha, Kuhakikisha wanasaidiwa na Sehemu yenye Vikwazo wapewe Ushauri Wa haraka Kabla ya Kuchukua Sheria Nyingine Muhimu. . Mkenda Ameyasema hayo Leo January 19,2023 Alipokuwa...

MKULIMA WA KARANGA NA MTAMA ANAYETUMIA VIFAA VYA KISASA KULIMA NA KUPANDA

Na. Kadala Komba Dodoma Katibu Mtendaji wa Shirika la Agriculture Seeds Production Association (DASPA), Aithan Chaula amesema Hapa naendesha kilimo cha karanga na mtama kwa kutumia teknolojia mbalimbali katika kuandaa mashamba, kulima, kuvuna na sasa nategemea kuwa na teknolojia mpya ya mashine ya kuchambua karanga kulingana na madaraja na kutumia teknolojia rahisi," álisema ...

WAZIRI WA ELIMU, PROF. MKENDA AMEWATAKA WAZAZI WENYE WATOTO WENYE MAHITAJI MAALUMU KUWAPELEKA SHULE

Na WyEST Masasi, MTWARA Wito umetolewa kwa wazazi wenye watoto wenye mahitaji maalum kutowaficha watoto ndani badala yake wawapeleke shule kwa kuwa zipo shule maalum kwa ajili ya watoto hao. Hayo yamesemwa na Prof. Adolf Mkenda, Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia alipokuwa akizindua majengo mapya ya Shule Jumuishi ya Mfano ya Msingi Lukuledi iliyojengwa na Wizara ya...