Leo Oktoba 6, 2023 Sherehe ya Siku ya Mwalimu Duniani inaadhimishwa katika wilaya ya Bukombe mkoani Geita ambayo itahudhuriwa na Viongozi mbalimbali wa Kitaifa na Mkoa pamoja na Walimu kutoka wilayani Bukombe.
Mgeni rasmi katika sherehe hizo ni Waziri Mkuu Mstaafu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Mizengo Pinda.
Viongozi wengine wanaoshiriki sherehe hiyo ni Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko ambaye pia ni Mbunge wa Jimbo la Bukombe na Mkuu wa Mkoa wa Geita, Martine Shigella.
Kaulimbiu ya Siku hii ni "Asante Mwalimu, Wewe ni Taa Yetu"
*Taarifa rasmi itawasilishwa*
Home »
» *MAADHIMISHO YA SIKU YA MWALIMU BUKOMBE 2023*
*MAADHIMISHO YA SIKU YA MWALIMU BUKOMBE 2023*
Related Posts:
*Tume yatangaza matokeo Jimbo la Mbarali na kata sita za Tanzania Bara*Msimamizi wa Uchaguzi wa Jimbo la Mbarali, Bw. Missana Kwangura amemtangaza Bi. Bahati Ndingo wa Chama cha Mapinduzi (CCM) kuwa mshindi wa kiti cha Ubunge wa Jimbo hilo baada ya kupata kura 44,334 kati ya kura 56,095 halali z… Read More
MWIMBAJI WA NYIMBO ZA INJILI AFIKISHWA MAHAKAMANI KWA TUHUMA ZA KUIMBA WIMBO WA UCHOCHEZI. Mwimbaji wa nyimbo za Injili Sifa Bujune, Mkazi wa Isyesye mkoani Mbeya amefikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Jijiji hapa kwa tuhuma za kuimba wimbo wenye maudhui ya uchochezi.Sifa Bujune pamoja na wenzake wanashi… Read More
Naibu Waziri Nderiananga akutana na kufanya mazungumzo na RC Morogoro Naibu Waziri Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge na Uratibu) Mhe. Ummy Nderiananga akimsikiliza Mkuu wa Mkoa wa Morogoro Mhe. Adam Malima alipomtembelea ofisini kwake kwa lengo la kujadili utekelezaji wa Programu ya Ku… Read More
CHUO KIKUU HURIA NDIO CHUO KINACHOTENGENEZA WATU WENYE UWEZO. Na Moreen Rojas,Dodoma.Chuo kikuu huria(open university) ndio chuo kinachotengeneza watu wenye uwezo kwani watu wanaosoma huku asilimia kubwa wanauwezo wa kuchanganua changamoto mbalimbali.Hayo yameelezwa na Mhe.George … Read More
SACP MISIME AWATAKA ASKARI POLISI KUBADILIKA KIFIKRA NA KUWAHUDUMIA WANANCHI KWA WELEDI Na, Benedict Mlawa wa Jeshi la PolisiMsemaji wa Jeshi la Polisi Nchini,Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Jeshi la Polisi (SACP) David Misime amefunga mafunzo ya siku mbili kwa Maafisa,Wakaguzi na Askari wa Polisi ku… Read More
0 Comments:
Post a Comment