Na Moreen Rojas
Dodoma.
OFISI ya Taifa ya Takwimu imesema kuwa idadi ya Watalii kutoka nje ya nchi kwa kipindi cha Mwezi Januari hadi Agosti Mwaka 2023 imeongezeka na kufikia 1,131,286 ikilinganishwa na Watalii 900,182 walioingia kwa kipindi kama hicho Mwaka Jana sawa na ongezeko la asilimia 25.7
Mkurugenzi wa Takwimu za uchumi kutoka ofisi ya Taifa ya Takwimu (NBS)DANIEL MASOLWA ameyaelwza hayo Oktoba 9 Jijini Dodoma wakati akizungumza na waandishi wa Habari ambapo amesema ongezeko hilo limechagizwa na filamu ya Royal tour alayoifanya Mhe Rasi Dkt. SAMIA SULUHU HASSAN.
Aidha amebainisha kuwa kati ya Watalii wote waluoingia nchini katika kipindi hicho,Watalii236047 waliingia nchini kupitia Zanzibar ambao ni sawa na asilimia 31.1 ya Watalii wote.
"Watalii walioingia Nchini Mwezi Agosti Mwaka 2013 p3kee wqliongez3ka hadi 186,030ikilinganishwa na Watalii158,049walioingia nchini MwwziAgosti2022 sawa na ongezeko la asilimia 17.7,"Amesema Masolwa
Pamoja na hayo,Mkurugenzi huyo amefafanua kuwa Wataluu 336203kati ya Watalii wote walioingia Nchini Mwezi Agosti Mwaka 2023 waliingia kupitia Zanzibar sawa na asilimia 29.7ya idadi ya Watalii wote.
Akielezea Watalii walioingia Nchini kwa mchanganuo wa Utaifa,Januari hadi Agosti kutoka nje ya Bara la Afrika Januari hadi Agosti walitoka Marekani ikiwa ni watalii84541.
"Nchi nyingine zilizokuwq na idadi kubwa ya Watalii ni Ufaransa72,009,Ujerumani watalii57798,Uingereza Watali51,505 na Italia walikuwa Watalii 51056,"Amesema
Katika hatua nyingine,Mkurugenzi huyo amesema kuwq katika kipindi cha Januari hadi Agosti2023 Tanzania ilipokea Watalii kutoka katika Bara la Afrika ambapo idadi kubwa ya Watalii walitokw Kenya128,753,Burundi walikuwa 12319,Zambia 6,649,Rwanda5,124 na Uganda 4,052
MWISHO
Home »
» IDADI YA WATALII KUTOKA NJE YA NCHI IMEONGEZEKA.
IDADI YA WATALII KUTOKA NJE YA NCHI IMEONGEZEKA.
Related Posts:
BILIONI 1.7 ZIMETUMIKA KUJENGA BWENI LA WANAFUNZI WA KIKE Na. Moreen Rojas, Dodoma.Taasisi ya Afrika ya sayansi na teknolojia ya Nelson Mandela inadhamiria kupendekeza ujenzi wa bweni la wanafunzi wa kike wenye watoto wadogo na mahitaji maalum ambapo kiasi cha shilingi bili… Read More
*WIZARA YA KATIBA KUTOA HUDUMA ZA KISHERIA KIDIJITALI – DKT NDUMBARO*Na. Mwandishi wetu Arusha Waziri wa Katiba na Sheria Dkt. Damas Ndumbaro amesema Wizara ya Katiba na Sheria imekusudia kuhakikisha huduma za kisheria zinazotolewa na Wizara na Taasisi zilizo chini ya… Read More
BILIONI 134.9 ZIMETENGWA KWAJILI YA UNUNUZI WA BIDHAA ZA AFYA Na Moreen RojasBohari ya dawa( MSD ) iliyopo chini ya taasisi ya wizara ya Afya imepokea shilingi Bilion 134.9 Kati ya shilingi Bilion 200 zilizolengwa kwa manunuzi ya bidhaa za afya kwa mwaka wa fedha 2022/23.Hayo yamese… Read More
BILIONI 2.2 ZAREJESHWA NA HALMASHAURI KWENYE MFUKO WA MAENDELEO YA VIJANA KUPITIA MBIO ZA MWENGE WA UHURU 2022Mbio za Mwenge wa uhuru mwaka 2022 zilizofikia kilele tarehe 14 Oktoba 2022 mkoani Kagera, zimefanikiwa kurejesha fedha za mikopo kwa vijana kupitia mfuko wa Maendeleo ya vijana kiasi cha shilingi za kitanzania bilioni 2.… Read More
ULAJI WA VYAKULA VYENYE SUMUKUVU UNAVYOATHIRI AFYANa mwandishi wetu , SimiyuMADHARA ya sumukuvu huweza kujitokeza ndani ya muda mfupi, baada ya muda mrefu kutegemea na kiasi cha sumukuvu hiyo iliyopo kwenye chakula kilicholiwa,idadi ya milo ya chakula kilichochafuliwa… Read More
0 Comments:
Post a Comment