Na. Kadala Komba ,DodomaWakiristo wametakiwa kuachana na hali ya kukata tamaa na kuishiwa nguvu hasa pale wanapokutana na changamoto mbalimbali katika maisha yao kwa maana tumaini lipo katika Mungu.Hayo yamebainishwa na Mchungaji kiongozi wa kanisa la Tanzania Assembles of God(TAG),Nazarath Internatinal Church(NIC) Mchungaji Zephania Marko katika ibada ya jumapili ya...
This is default featured slide 1 title
Go to Blogger edit html and find these sentences.Now replace these sentences with your own descriptions.
This is default featured slide 2 title
Go to Blogger edit html and find these sentences.Now replace these sentences with your own descriptions.
This is default featured slide 3 title
Go to Blogger edit html and find these sentences.Now replace these sentences with your own descriptions.
This is default featured slide 4 title
Go to Blogger edit html and find these sentences.Now replace these sentences with your own descriptions.
This is default featured slide 5 title
Go to Blogger edit html and find these sentences.Now replace these sentences with your own descriptions.
WAZAZI NA WALEZI WAKUMBUSHWA KUPELEKA WATOTO SHULE.
.jpg)
Na Mwandishi Wetu- KilimanjaroWazazi
na walezi nchini wametakiwa kuhakikisha watoto wao waliofikia umri wa
kwenda shule wanapelekwa ili kupata elimu itakayowawezesha kuwa
wataalam wa fani mbalimbali pamoja na kutimiza ndoto zao.Wito
huo umetolewa na Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Mkoa wa
Kilimanjaro, Patrick Boisafi wakati akizungumza...
SERIKALI IMETUTUPA,HAITUTAMBUI WANANCHI ZEPISA WATEMA NYONGO.

Na Moreen Rojas,Dodoma.Wananchi wa kijiji cha ZEPISA Dodoma jiji wameilalamikia Serikali kwa kushindwa kuwatimizia huduma muhimu kama maji,umeme,miundombinu ya barabara pamoja na kituo cha afya.Pendo Wilson ambaye ni mwanakijiji wa ZEPISA amesema kuwa maji yamekuwa changamoto kubwa kwao hadi kupelekea ndoa majumbani hazidumu kwani kina mama hutoka nyumbani saa 12 asubuhi...
𝗧𝗨𝗞𝗢 𝗧𝗔𝗬𝗔𝗥𝗜 𝗞𝗨𝗦𝗛𝗜𝗥𝗜𝗞𝗜𝗔𝗡𝗔 𝗡𝗔 𝗦𝗘𝗞𝗧𝗔 𝗕𝗜𝗡𝗔𝗙𝗦𝗜: 𝗲-𝗚𝗔

Mamlaka ya Serikali Mtandao (e-GA), imeahidi kushirikiana na Benki ya NMB ili kuimarisha, kukuza na kuendeleza ujuzi na vipaji kwa vijana wa Kitanzania wabunifu na wale wanaosoma fani ya TEHAMA, katika Vyuo Vikuu mbalimbali nchini, kupitia programu maalum ya mafunzo kwa vitendo inayotolewa na e-GA kupitia Kituo chake cha Utafiti, Ubunifu na Uendelezaji wa...
KAMATI YA KUDUMU YA BUNGE YA AFYA NA MASUALA YA UKIMWI YAIPONGEZA OFISI YA WAZIRI MKUU

Na Mwandishi wetu- Shinyanga
Kamati ya kudumu ya Bunge ya Afya na Masuala ya UKIMWI imeipongeza Ofisi ya Waziri Mkuu kupitia Tume ya Kudhibiti UKIMWI Tanzania (TACAIDS) kwa mafanikio makubwa katika kutekeleza afua za VVU na UKIMWI nchini.
Pongezi hizo zimetolewa na Mwenyekiti wa Kamati hiyo, Mhe. Stanslaus Nyongo wakati kamati ilipofanya ziara ya kutembelea na kukagua Mpango...
RC SENYAMULE TUMEJIPANGA KUTATUA CHANGAMOTO ZA WANANCHI DODOMA

Mkuu wa Mkoa wa Dodoma Mhe.Rosemary Senyamule amesema azima ya Serikali ni kuhakikisha inatatua changamoto za wananchi na kuleta maendeleo kwa watu wake.Mhe.Senyamule ameyasema hayo alipotembelea Kijiji cha Mpwayungu kilichopo katika Wilaya ya Chamwino ikiwa ni katika utaratibu aliojiwekea wa kusikiliza kero za wananchi wa Dodoma ambapo amebaini changamoto mbalimbali za Wananchi...
Waziri Mhagama, Azindua Muongozo wa Uwekezaji Mkoa wa Manyara.

Na; Mwandishi Wetu - Manyara Waziri
wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge na Uratibu) Mhe. Jenista
Mhagama ametoa wito kwa watendaji wa Serikali; kujipanga na kuhakikisha
Muongozo wa uwekezaji kwa Mkoa Manyara unawafikia wananchi wote ili
kufanya kazi kwa tija.Kauli
hiyo ameitoa Mkoani Manyara wakati wa Ufunguzi wa wiki ya Kitaifa ya
Vijana tukio alilolifanya...
MADEREVA WA MALORI WATAKIWA KUCHUKUA TAHADHARI MAAMBUKIZI YA VVU
.jpg)
Na Mwandishi wetu- Singida
Madereva wa magari yaendayo masafa marefu ndani ya ndani na nje Nchi wamehimizwa kuchukua tahadhari dhdi ya maambukizi ya
virusi vya UKIMWI wakati wote wanaofanya shughuli zao za usafirishaji pamoja na
kujenga utamaduni wa kupima afya zao ili kuanza matumizi ya dawa mapema pindi watakapogundulika kuwa na
maambukizi.
Hayo...
IDADI YA WATALII KUTOKA NJE YA NCHI IMEONGEZEKA.

Na Moreen RojasDodoma.OFISI ya Taifa ya Takwimu imesema kuwa idadi ya Watalii kutoka nje ya nchi kwa kipindi cha Mwezi Januari hadi Agosti Mwaka 2023 imeongezeka na kufikia 1,131,286 ikilinganishwa na Watalii 900,182 walioingia kwa kipindi kama hicho Mwaka Jana sawa na ongezeko la asilimia 25.7Mkurugenzi wa Takwimu za uchumi kutoka ofisi ya Taifa ya...
*MAADHIMISHO YA SIKU YA MWALIMU BUKOMBE 2023*

Leo Oktoba 6, 2023 Sherehe ya Siku ya Mwalimu Duniani inaadhimishwa katika wilaya ya Bukombe mkoani Geita ambayo itahudhuriwa na Viongozi mbalimbali wa Kitaifa na Mkoa pamoja na Walimu kutoka wilayani Bukombe. Mgeni rasmi katika sherehe hizo ni Waziri Mkuu Mstaafu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Mizengo Pinda.Viongozi wengine wanaoshiriki sherehe hiyo ni Naibu...
*RAIS SAMIA AMEIBEBA KWA DHATI AJENDA YA MATUMIZI NISHATI MBADALA – NAIBU WAZIRI KAPINGA*

*Lilian Lundo, Veronica Simba na Zuena Msuya - Songea*Naibu Waziri wa Nishati, Mhe. Judith Kapinga amesema Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan ameibeba kwa dhati ajenda ya matumizi ya nishati mbadala kutokana na changamoto ya mabadiliko ya tabianchi.Mhe. Kapinga amesema hayo leo Oktoba 5, 2023 wakati wa Baraza Maalum la Jumuiya ya Vijana...
UTPC KUENDELEA KUIMARISHA USHIRIKIANO WA WANACHAMA NA WADAU.

Na Moreen Rojas,Dodoma.Rais wa UTPC Deogratius Nshokolo amesema katika kipindi cha 2023_2025 UTPC inaendelea kuimarisha ushirikiano kati ya wanachama na wadau wengine wa habari nchini.Rais wa UTPC ameyasema hayo wakati wa hafla ya uzinduzi wa ofisi na mpango mkakati wa UTPC kwa mwaka 2023_25 jijini Dodoma ambapo Mgeni rasmi katika uzinduzi huo alikuwa Balozi wa...