#taharuki #kichanga #jiwe #ushirikina #tukio #imani #mara
Home »
» MADAI YA KICHANGA KUGEUKA JIWE MARA, JE NINI MAONI YAKO:?
MADAI YA KICHANGA KUGEUKA JIWE MARA, JE NINI MAONI YAKO:?
Wakazi katika Manispaa ya Musoma mkoani Mara leo Aprili 20 wameingiwa na taharuki baada ya mwili wa mtoto, AMIRI HAMIS mwenye umri wa mwezi mmoja na siku 12 kudaiwa kugeuka jiwe huku baadhi ya watu wakihusisha tukio hilo na imani za kishirikiana.
Related Posts:
MATUKIO KATIKA PICHA ;BAADHI YA VIONGOZI WA SERIKALI NA WANASIASA WALIOHUDHURIA JUBILEI YA MIAKA 50 MATUKIO KATIKA PICHA: Baadhi ya Viongozi wa Serikali na Wanasiasa waliohudhuria adhimisho la Misa Takatifu ya Jubilei ya miaka 50 ya Jimbo Katoliki Singida pamoja na Miaka 25 ya Upadre wa Mhashamu Edward Elais Mapunda Askofu … Read More
MCHUNGAJI CHARLES PROSPERITY KUHESABIWA HAKUNA MAHUSIANO NA MAMBO YA GIZA KISHETANIWA YA USHETANINa. Kadala Komba Dodoma MCHUNGAJI kiongozi Charles A. Prosperity wa kanisa la The Covenant Place lililopo kisasa Relini Dodoma amewataka watanzania kutoa ushirikiano kwa Makarani wa Sensa ya watu na makazi ambalo linatal… Read More
WAKAZI WA GAIRO MKOANI MOROGORO WAVAMIA LORI LA MAFUTA #MOROGORO: Wakazi wa Gairo mkoani Morogoro wamevamia tena lori la mafuta lililopinduka ili kujipatia mafuta. - Majeraha ya ajali kama hiyo iliyotokea miaka miwili iliyopita nakuuwa zaidi ya watu 100 bado hayajapona na idadi … Read More
RC SENYAMULE MAANDALIZI YA SENSA YAMEKAMILIKA ASILIMIA 98 Na.Kadala Komba Dodoma MKUU wa Mkoa wa Dodoma Rosemary Senyamule amesema ili kuhakikisha zoezi la sensa ya watu na makazi linalotarajiwa kufanyika Agosti 23,2022 linafanyika kwa ufasaha Mkoa wa dodoma umezindua namba maalum… Read More
MBUNGE DITOPILE TUNAKUSHUKURU RAIS KWA KUTUPATIA WAKULIMA MBOLEA YA RUZUKU Na. Kadala Komba Dodoma MBUNGE wa Viti Maalum Mkoa wa Dodoma ambaye pia ni Mkulima, Mariam Ditopile amempongeza Rais Samia Suluhu Hassan kwa mageuzi makubwa aliyoyafanya katika sekta ya Kilimo ambapo kwa mara ya kwanza b… Read More
0 Comments:
Post a Comment