Na. Kadala Komba Bahi
Mbunge wa Jimbo la Bahi Mhe. Kenneth Nollo amemshukuru Mhe.Dkt.Samia Suluhu Hassan Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa kuendelea kutoa fedha za miradi ya Maendeleo kwa wananchi wa wilaya ya Bahi.
Hayo yamejiri wakati wa ziara ya Mkuu wa Mkoa wa Dodoma Mhe. Rosemary Senyamule akikagua miradi ya maendeleo katika Halmashauri ya Wilaya ya Bahi katika hospitali ya wilaya Bahi, tar 19/03/2025 alisema Hospitali hii nikama ndoto kwa wana Bahi ni ukombozi mkubwa sana sisi watu wa Bahi yunasababu zote kumshukuru Mhe.Dkt.Samia Suluhu Hassan rais wetu kwa kutoa fedha za kutekeleza miradi mbalimbali ya Maendeleo inayoendelea katika Halmashauri ya Bahi.
Katika sekta ya afya katika mwaka 2021hadi sasa mwaka 2025 vijiji kumi na saba vimepata vituo vya Afya (Zahanati) ambapo awali vijiji kumi na tisa vilikuwa havina kituo cha afya (Zahanati)
Home »
» MBUNGE WA JIMBO LA BAHI MHE. KENNETH NOLLO AMSHUKURU MHE.RAIS SAMIA KWA FEDHA ZA MIRADI YA MAENDELEO BAHI
MBUNGE WA JIMBO LA BAHI MHE. KENNETH NOLLO AMSHUKURU MHE.RAIS SAMIA KWA FEDHA ZA MIRADI YA MAENDELEO BAHI
Related Posts:
SERIKALI YASISITIZA MATUMIZI YA TEKNOLOJIA KATIKA ULINZI NA UFUATILIAJI MIENENDO YA WANYAMAPORI Na. Mwandishi wetu MorogoroSerikali Kupitia Wizara ya Maliasili na Utalii imesema itaendelea kutumia teknolojia ya kufuatilia mienendo ya wanyamapori katika maeneo ya hifadhi kwa kuwa imesaidia kwa kiasi kikubwa katika kut… Read More
ASKOFU KINYAIYA "WAZAZI PELEKENI WATOTO SHULE" Na. Kadala Komba Dodoma Askofu Mkuu wa Jimbo Kuu Katoliki Dodoma, Mhashamu Beatus Kinyaiya amewataka wazazi kuwapeleka watoto shule badala ya kuwapa kazi ya kuchunga Ng'ombe .Askofu huyo aliyasema ha… Read More
KAMPASI YA CHUO KIKUU CHA DAR ES SALAAM KUJENGWA KAGERA-WAZIRI MKENDA Na Mathias Canal, WEST-Kagera Katika kuboresha huduma za upatikanaji wa elimu kwa wanafunzi nchini Serikali imepanga kujenga Kampasi ya Chuo Kikuu cha Dar es salaam (UDSM) Mkoani Kagera. Waziri wa Elimu, S… Read More
RAIS SAMIA ATEMBELEA JENGO LA MAKUMBUSHO YA HAYATI DKT.JOHN POMBE MAGUFULI,AKAGUA HOSPITALI YA RUFAA YA KANDA YA CHATO MKOANI GEITA Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akiomba dua kwenye Kaburi la Rais wa Awamu ya Tano Hayati Dkt. John Pombe Magufuli nyumbani kwake Chato Mkoani Geita. … Read More
UZINZI NA UASHERATI NI VYANZO VYA VIFUNGO VYA NGUVU ZA GIZA KWENYE MAISHA YA MTU“Ndoa na iheshimiwe na watu wote, na malazi yawe safi; kwa maana waasherati na wazinzi Mungu atawahukumia adhabu”.Waebrania 13:4 Siku zote mtu hutumikia adhabu ya kifungo na yapo madhara makubwa yatokanayo na vifungo vya… Read More
0 Comments:
Post a Comment