Subscribe Us

This is default featured slide 1 title

Go to Blogger edit html and find these sentences.Now replace these sentences with your own descriptions.

MAAFISA ELIMU KATA, WALIMU WAKUU, WALIMU WA MAZINGIRA MAAFISA MAENDELEO YA JAMII WA KATA WAJENGEWA UWEZO JINSI YA KUKABILIANA NA MABADILIKO YA TABIA YA NCHI KATIKA MAZINGIRA YA SHULE BAHI

Na. Kadala Komba Bahi    Kaimu Mkurugenzi wa Halmashauri ya Wilaya ya Bahi Ndugu Boniphace Wilson akifunga mafunzo hayo  kwa niaba ya Mkurugenzi mtendaji  wa Halmshauri ya Wilaya ya Bahi Bi. Zaina Mlawa  ametoa maagizo kwa walimu wa mazingira na  wakuu wa shule za msingi kutunza mazingira ya shule na kupanda miti ya kutosha ili kukabiliana...

RC SENYAMULE AIPA KONGOLE BAHI USIMAMIZI WA FEDHA ZA UJENZI WA MIRADI

 Ikiwa ni miaka minne ya Daktari Samia Suluhu Hassan kwenye kiti cha Urais na yamefanyika Maendeleo makubwa chanya Kupitia shamlashamla hizo za miaka minne ya Daktari Samia Suluhu Hassan Mkuu wa Mkoa wa Dodoma Mhe Rosemary Senyamule amefanya ziara  Wilaya ya Bahi na kukagua Miundombinu ya hospitali ya Wilaya pamoja na miradi inayotekelezwa Katika Hospitali hiyo ikiwemo...

WAZIRI ULEGA AWASIMAMISHA KAZI WATUMISHI WA MIZANI KUPISHA UCHUNGUZI

 Waziri wa Ujenzi, Abdallah Ulega amemuelekeza Katibu Mkuu wa Wizara ya Ujenzi Mhandisi Balozi Aisha Amour, kuwasimamisha kazi wasimamizi wote wa Mizani waliokuwa zamu katika Mizani zilizopo katika barabara kuu ya T1 inayoanzia Dar es Salaam – Zambia kupitia mpaka wa Tunduma kwa ajili ya kupisha uchunguzi wa malalamiko katika Mizani hizo. Ulega amefanya maamuzi hayo mara...

MBUNGE WA JIMBO LA BAHI MHE. KENNETH NOLLO AMSHUKURU MHE.RAIS SAMIA KWA FEDHA ZA MIRADI YA MAENDELEO BAHI

 Na. Kadala Komba Bahi Mbunge wa Jimbo la Bahi Mhe. Kenneth Nollo amemshukuru Mhe.Dkt.Samia Suluhu Hassan Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa kuendelea kutoa fedha za miradi ya Maendeleo  kwa wananchi wa wilaya ya Bahi.Hayo yamejiri wakati wa ziara ya Mkuu wa Mkoa  wa Dodoma Mhe. Rosemary  Senyamule  akikagua  miradi ya maendeleo ...

MSAKO MKALI WALIOGUSHI VYETI VYA JKT

 Na. Angel Haule Dodoma Jeshi la kujenga taifa JKT kimetoa onyo kwa watu wanaogushi vyeti vya Jeshi Hilo vinavyoonesha wamepitia mafunzo ya JKT na kutumia kama sifa ya kuombea kazi sehemu mbalimba Nchini, wakati watu hao hawajawahi Kupitia mafunzo yoyote ndani ya jeshi hilo.Akizungumza na waandishi wa Habari  katika Makao makuu ya jeshi hilo yaliyopo Jijini Dodoma...

WANACHAMA WAPYA 20 WA CUF WAKABIDHIWA KADI

 Na Mwandishi Wetu, Kondoa MAKAMU Mwenyekiti wa Chama cha Wananchi (CUF) Taifa (Bara)  Omar Dunga amepokelewa katika wilaya ya Kondoa Mkoani Dodoma huku akiwataka Watanzania kufanya mabadiliko ya kuwachagua  wabunge na madiwani wanaotokana na chama hicho ili wakazuie bajeti zinazowakandamiza Watanzania. Akizungumza na wananchi katika uwanja wa stendi ya zamani...

ALIYENG'OA BENDERA YA CUF ASHIKILIWA NA JESHI LA POLISI

 Na Mwandishi Wetu,, Kondoa MTU mmoja anashikikiliwa na Jeshi la Polisi wilaya ya Kondoa Mkoani Dodoma baada ya kukamatwa aking'oa  bendera na mabango ya Chama cha Wananchi (CUF)   wakati wa mapokezi ya Makamu Mwenyekiti wa Chama hicho Taifa (Bara)  Othman Dunga). Wakizungumzia tukio hilo,  Mjumbe wa kamati tendaji CUF wilaya ya Kondoa, Ayubu...