Subscribe Us

This is default featured slide 1 title

Go to Blogger edit html and find these sentences.Now replace these sentences with your own descriptions.

TANGAZO LA NAFASI YA KAZI - RUWASA, NYASA Fursa hii

&nb...

*Waziri Nape Afanya Mazungumzo na Balozi wa Finland Tanzania*

Waziri wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Mhe. Nape Moses Nnauye (Mb.) amekutana na kufanya mazungumzo na Balozi wa Finland nchini Tanzania Mhe. Theresa Zitting Ofisini kwake jijini Dar es Salaam aliyeambatana na Mkuu wa Ushirikiano wa Ubalozi huo, Bw. Juhana Lehtinen na Mkurugenzi wa Nokia nchini Tanzania Amouneu Lopy.Mazungumzo hayo yamefanyika leo Machi 25,...

UKIMWI,KIFUA KIKUU NA MALARIA MBIONI KUTOKOMEZWA.

 Na Moreen Rojas,Dodoma.Katibu Mkuu Wizara ya Afya,DK.John Jingu amezindua  mradi wa  mzunguko wa saba wa Mfuko wa Dunia (Global  Fund Circle7)ambao utatekelezwa kwa muda wa miaka mitatu kuanzia sasa kwaaijili ya kutokomeza Ukimwi,Kifua kikuu na Malaria nchini Tanzania ili kutokomeza Magonjwa hayo ifikapo Mwaka 2030.DK.Jingu amezindua mradi huo,Machi 21...

UBORA WA HUDUMA ZA AFYA UNACHANGIWA NA WAKUNGA NA WAUGUZI.

Na Moreen Rojas,Dodoma.Naibu Waziri wa Afya Dkt. Godwin Mollel amesema asilimia 60 ya watumishi katika sekta ya afya nchini wanatoka  kada za uuguzi na ukunga hivyo kuchangia ubora wa huduma  zinazotolewa katika Hospitali na Vituo vya kutolea huduma za afya.Dkt. Mollel amebainisha hayo Machi 18, 2024 wakati wa kikao kazi cha kufanya tathimini ya utekelezaji wa utendaji...

UNDP YAZINDUA WAZO LA KIBUNIFU LA MATUMIZI BORA YA NISHATI NCHINI.

 Na Moreen Rojas,Dodoma.Shirika la Maendeleo la Kimataifa UNDP limezindua wazo la kibunifu la matumizi bora ya Nishati nchini.Akizungumza na vyombo vya habari Machi 15,2024 jijini Dodoma Mtaalamu mshauri wa Shirika hilo Robert Washaija amesema kuwa mradi huu ni wa kimkakati kuhusu matumizi bora ya Nishati na unafadhiliwa na umoja wa Ulaya na Ubalozi wa Ireland na wanafanya...

TUENDELEE KUUNGANA KUKABILIANA NA MAAFA NCHINI” MKURUGENZI MSAIDIZI JANE

 NA. MWANDISHI WETUMkurugenzi Msaidizi Kituo cha Operesheni na Mawasiliano ya Dharura Idara ya Menejimenti ya Maafa Ofisi ya Waziri Mkuu Sera, Bunge na Uratibu Bi. Jane Kikunya amesema Serikali itaendelea kutoa ushirikiano kwa wadau mbalimnali katika masuala ya uratibu wa maafa nchini ili kuendelea kuwa na stahimilivu na maafa. Ameyasema hayo wakati akifungua Warsha ya...

TUNAIOMBA SERIKALI ITUSAIDIE KUFUNGIA MAKAMPUNI BUBU(UKUTA).

 Na Moreen Rojas,Dodoma.Umoja wa makampuni binafsi ya ulinzi Tanzania (UKUTA) wameiomba serikali kufungia makampuni bubu kwani wanafungua kampuni hizo bila kufuata sheria jambo ambalo ni sawasawa na  kuhujumu uchumi kwa kushindwa kuwa wazalendo.Hayo yameelezwa na Katibu Mkuu wa chama hicho Ndg.Abel Dendwa wakati wa mkutano Mkuu wa tatu wa taasisi ya makampuni binafsi...

REA YATOA ELIMU YA MATUMIZI YA TEKNOLOJIA YA NISHATI SAFI YA KUPIKIA.

 Na Moreen Rojas,Dodoma.Viongozi wa Wakala wa Nishati Vijijini (REA) wakiongozwa na Mwenyekiti wa Bodi ya Nishati Vijijini (REB); Mhe. Balozi na Meja Jenerali Mstaafu, Jacob Kingu, Mkurugenzi Mkuu, Mhandisi Hassan Saidy pamoja na Mkurugenzi wa Teknolojia za Nishati Mbadala na Jadidifu, Mhandisi, Advera Mwijage leo, Tarehe 9 Machi, 2024 wameshiriki kwenye Kongamano la...

HATUKUBALIANI NA SHERIA YA WENZA WA VIONGOZI KULIPWA MAFAO "CHADEMA".

 Na Moreen Rojas,DodomaCHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kimepinga kitendo cha Bunge kupitisha sheria ya wenza wa viongozi kulipwa mafao huku kikishauri kufanyiwa kwa marejeo ya sheria ya Kikokotoo ambacho kimekuwa kikilalamikiwa na watumishi.Katibu Mkuu wa Baraza la Wanawake Chadema (BAWACHA) Catherine  Ruge, alibainisha hayo jana jijini hapa, alipokuwa...

SERIKALI IMEOMBWA KUPUNGUZA BEI YA NISHATI YA GESI YA KUPIKIA.

Na Moreen Rojas,DodomaMwenyekiti Taifa wa Umoja wa Wanawake Tanzania (UWT) Mary Chatanda ameiomba Serikali kupunguza bei ya Nishati ya gesi ili wanawake Waweze kuachana na Matumizi ya kuni na mkaa kwenye shughuli za mapishi.Mwenyekiti huyo ameyasema hayo leo Machi 9 , 2024 kwenye kongamano la wanawake la ugawaji wa mitaji na vitendea kazi vya nishati safi ya kupikia jijini...

PROGRAMU YA AFDP YALETA MATOKEO CHANYA SEKTA YA KILIMO UVUVI.

 Na. MWANDISHI WETUNaibu Waziri Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge na Uratibu) Mhe. Ummy Nderiananga amesema Programu ya Kuendeleza Kilimo na Uvuvi (AFDP) inalengo la uzalishaji endelevu wa kibiashara na wenye kuzingatia mazingira hususan uzalishaji wa mbegu za mazao ya kilimo, uvuvi na ufugaji wa viumbe maji kwa kuzingatia uwezeshaji kinamama na ushiriki wa vijana.Ameyasema...