Subscribe Us

This is default featured slide 1 title

Go to Blogger edit html and find these sentences.Now replace these sentences with your own descriptions.

MRADI MKUBWA WA KILIMO CHA VANNILA WAZINDULIWA DODOMA

 Na. Mwandishi wetu Dodoma  Kampuni ya Vanilla international Limited imezindua Mradi wa kilimo cha Vanilla Mkoani Dodoma Vanilla village Dodoma katika Kitongoji cha Zamahero Kata ya Mayamaya Wilaya ya Bahi.Uzinduzi huo umeambatana na utoaji Elimu kwa wananchi wa eneo hilo kuhusu kilimo cha Vanilla ambao umefanyika Julai 22 2023 katika shamba la kitalu (green...

HOSPITALI YA APOLLO INDIA KUWEKEZA TANZANIA

Uongozi wa Hospitali ya Apollo umeahidi kuja Tanzania na kuwekeza katika Sekta ya Afya kwa kufungua Hospitali itakayokuwa imejikita kwenye utoaji wa huduma za matibabu ya kibingw ana ubingwa bobezi.Hayo yamesemwa na Waziri wa Afya Mhe. Ummy Mwalimu mara baada ya kutembelea Hospitali hiyo iliyopo Jijini New Delhi India na kufanya kikao na uongozi wa Hospitali hiyo Mwenyekiti...

HATUA KUU NANE UNAZO TAKIWA KUZICHUKUA KABLA YA KUOVATECK

  (1) hakikisha hakuna dereva nyuma yako aliye omba kuovateck kabra yako.2) hakikisha mazingira uliyopo yana kuruhusu kufanya hivyo.3) hakikisha kwamba aliyopo mbele yako yuko tayari kupitwa.4) hakikisha kwamba wewe mwenyewe upo tayari kuovateck.5) hakikisha kwamba mbele yako kuna usalama wa kutosha mahesabu yako yako sahihi kufanya hivyo.6) hakikisha kwamba umetoa ishara...

ZAMBIA YAVUTIWA NA MFUMO WA MASOKO YA MADINI NCHINI TANZANIA

 Dodoma   Sekta ya Madini nchini Tanzania imekuwa mfano wa kuigwa kwa nchi nyingi za Afrika kwa namna ilivyoweza kurasimisha sekta ndogo ya uchimbaji madini na hivyo kupelekea wachimbaji wadogo kufanya shughuli zao kupitia mfumo ulio rasmi ambapo Serikali inaweza kufuatilia shughuli zao mpaka hatua ya kuuza madini yao, kupitia katika masoko ya madini yaliyopo nchini....

SERIKALI YA KANADA IMETOA KIASI CHA SHILINGI BILIONI 240 KUBORESHA SEKTA YA AFYA TANZANIA.

 Na Moreen Rojas,DodomaWaziri wa Afya Mhe. Ummy Mwalimu ameishukuru Serikalia ya Kanada kupitia Waziri wa Maendeleo ya Kimataifa wa Kanada Mhe. Harjit Sajjan wake kwa kusaidia  Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanznaia kiasi cha shilingi Bilioni 240 kwa ajili ya kuboresha sekta ya afya.Waziri Ummy amebainisha hay leo Jijini Dodoma wakati wamkutano na vyombo vya...

CANADA YATOA SHILINGI DOLA MILIONI 50 KWA AJILI YA MAENDELEO YA ELIMU NCHINI.

 Na Moreen Rojas,Dodoma.Waziri wa Elimu Prof.Adolph Mkenda amepokea dola za Canada milioni 50 kwa ajili ya maendeleo ya elimu nchini.Hafla hiyo imefanyika leo katika ofisi ya wizara jijini Dodoma ambapo asilimia 25 itatumika kwa ajili ya shule za wanafunzi wa kike na asilimia 25 zingine kutumika katika mafunzo ya amali kwa ajili ya kuwaandaa vijana kwa ajira."Tunafurahi...

WANANCHI WAASWA KUACHA KUDANGANYA MAENEO YA MAKAZI.

 Na Moreen Rojas,Dodoma.Mkuu wa Mkoa wa Dodoma Mhe.Rosemary Senyamule amewaasa wananchi na wakazi wa Dodoma kuacha kudanganya maeneo ya makazi ili kuepusha migogoro ya ardhi.Mhe.Senyamule ameyasema hayo wakati akizindua mpango mkakati kwa ajili ya kushughulikia na kutatua migogoro ya ardhi kwa jiji la Dodoma.Aidha amesema kuwa jiji la Dodoma limekuwa na ongezeko la wananchi...

*AWESO AMUONDOA MKANDARASI MRADI WA MAJI

KAZURAMIMBA-UVINZA-KIGOMAWaziri wa Maji Mh. Jumaa Aweso amekasirishwa na kitendo cha Mradi wa Maji Kazuramimba kuchukua muda mrefu bila kukamilika wakati wananchi wakiendelea kuteseka na ukosefu wa huduma hii muhimu.Awali changamoto ya Mradi wa Maji Kazuramimba ilikua ni kuchelewa kwa Tanki la Maji ambapo mwaka jana Waziri Aweso alifika na kuhakikisha Tenki linatoka na kufika...

AFISA KILIMO GAIRO AMEWATAKA WAKULIMA NCHINI KUACHA KUFANYA KILIMO CHA MAZOEA

Na. Kadala Komba Gairo Wakulima mkoani Morogoro wametakiwa kuachana na kilimo cha mazoea ili kuweza kuepuka hasara zinazojitokeza mara kwa mara badala yake wafuate ushauri unaotolewa na wa taalamu wa kilimo.Hayo yamebainishwa na afisa  Kilimo Wilaya ya Gairo mkoani Morogoro  Philemon Isack Akizungumza  katika Kijiji cha Msingizi wakati wa kutambulisha...

*MASHINE YA MRI IMEANZA KUFANYA KAZI HOSPITALI YA RUFAA MBEYA*

Na Mwandishi wetu Mbeya.Hospitali ya Rufaa ya Kanda Mbeya leo tarehe Julai 12, 2023 imeanza rasmi kutoa huduma ya vipimo kwa kutumia mashine ya kisasa ya uchunguzi wa magonjwa MRI (Magnetic Resonace Imaging)Akiongea baada ya kumaliza ziara yake hospitalini hapo, Mkuu wa Mkoa wa Mbeya Mhe. Juma Homera ameishukuru Serikali ya Awamu ya Sita chini ya  Mhe. Dkt. Samia Suluhu...

WAPIGA KURA 74,642 KUPIGA KURA KUCHAGUA MADIWANI KESHO

 Na Mwandishi maalum - NECWapiga Kura 74,642 walioandikishwa katika Daftari la Kudumu la Wapiga Kura wanatarajiwa kushiriki katika uchaguzi mdogo wa madiwani katika kata 13 za Tanzania Bara kesho Julai 13,2023.Jumla ya wapiga kura 74,642 walioandikishwa kwenye Daftari la Kudumu la Wapiga Kura wanatarajiwa kushiriki katika uchaguzi huu mdogo na jumla ya vituo 205 vya kupigia...

WANANCHI WAALIKWA MIAKA 60 YA JKT

 Na Moreen Rojas,Dodoma.Waziri wa Jeshi la kujenga Taifa(JKT)Mhe.Innocent Bashungwa amewaalika wananchi wa mkoa wa Dodoma kuhudhuria maadhimisho ya miaka 60 ya jeshi hilo yatakayofanyika tarehe 10 julai siku ya jumatatu katika uwanja wa jamuhuri jijini Dodoma.Waziri Bashungwa ameyasema hayo hii leo wakati akizungumza na waandishi wa habari katika ukumbi wa habari maelezo...

SERIKALI HAIPO TAYARI KUMPOTEZA MTU

 Naibu Waziri Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi Mhe. Jumanne Sagini amesema kuwa Serikali haipo tayari kuona Mwananchi yeyote anapoteza uhai wake  kwa sababu za ama ujambazi au udereva mbovu barabarani au migogoro baina ya wakulima na wafugaji. Sagini ameyasema hayo wakati akihitimisha bonanza la michezo lililoandaliwa na Umoja wa Maafisa Usafirishaji (Bodaboda )...

HUAWEI AT MWC SHANGHAI 2023:BOOSTING 5G EVOLUTION TOWARDS 5.5G REVITALIZE THE DIGITAL ECONOMY

Huawei has shown up in full force for MWC Shanghai 2023, with their activities all falling under their theme of "GUIDE to the Intelligent World". This year, the company's activities include an experiential tour that takes audiences to multiple cities to learn about their technology and business, as well as the launch of its newest innovative products and solutions for 5GigaGreen,...

BAHI KINARA UKAMILISHAJI WA MIRADI YA BOOST

 Mkuu wa Mkoa wa Dodoma Mhe. Rosemary Senyamule amekabidhiwa na Mkuu wa Wilaya ya Bahi Mhe. Godwin Gondwe madarasa 51, Vyoo 63 na nyumba 1 ya waalimu ikiwa ni sawa na shule 7 zilizokamilika katika Wilaya ya Bahi. Akipokea shule na miundombinu yake Senyamule amepongeza uongozi wa Wilaya ya Bahi kwa kukamilisha mradi huo tarehe 28 Juni 2023 ikiwa ni siku mbili kabla...