Na. Kadala KombaDODOMAMkurugenzi wa Idara ya Ukuzaji Ajira na Ujuzi kutoka Ofisi ya Waziri Mkuu, Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu, Ally Msaki ameshauri Shirika la Kuhudumia Viwanda Vidogo Dodoma (SIDO) kushirikiana na Shirika la Viwango Tanzania (TBS) kuhakikisha bidhaa zinazozalishwa na vijana zinakuwa na ubora.Msaki ameyasema hayo Aprili 25, 2023 SIDO Dodoma...
This is default featured slide 1 title
Go to Blogger edit html and find these sentences.Now replace these sentences with your own descriptions.
This is default featured slide 2 title
Go to Blogger edit html and find these sentences.Now replace these sentences with your own descriptions.
This is default featured slide 3 title
Go to Blogger edit html and find these sentences.Now replace these sentences with your own descriptions.
This is default featured slide 4 title
Go to Blogger edit html and find these sentences.Now replace these sentences with your own descriptions.
This is default featured slide 5 title
Go to Blogger edit html and find these sentences.Now replace these sentences with your own descriptions.
WAKUU WA MIKOA DHIBITINI MAAMBUKIZI YA MALARIA-MAJALIWA

*Aitaja mikoa ya Tabora, Mtwara, Kagera, Shinyanga na Mara kuongoza kwa kiwango cha maambukizi WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa ametoa wito kwa mikoa ambayo ina kiwango kikubwa cha Maambukizi ya Malaria ianze kusimamia utekelezaji wa afua za ugonjwa huo ili kupunguza viwango hivyo. Amesema kuwa lengo la Serikali inayoongozwa na Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan ni kutokomeza...
MASHINDANO YA RIADHA MEI MOSI MOROGORO, UTALII WAZIDI KUTANGAZIKA*

Wizara ya Maliasili na Utalii imeibuka mshindi namba moja kwenye mbio za mita 800 kwenye mashindano ya Mei Mosi yanayoendelea mkoani Morogoro.Akizungumza leo mkoani humo mara baada ya ushindi Elibariki Buko ambaye ndio mshindi namba moja wa mbio za mita 800 kutoka Wizara hiyo, amesema ushindi huo utasaidia kuimarisha michezo na kuutangaza...
MADAI YA KICHANGA KUGEUKA JIWE MARA, JE NINI MAONI YAKO:?

Wakazi katika Manispaa ya Musoma mkoani Mara leo Aprili 20 wameingiwa na taharuki baada ya mwili wa mtoto, AMIRI HAMIS mwenye umri wa mwezi mmoja na siku 12 kudaiwa kugeuka jiwe huku baadhi ya watu wakihusisha tukio hilo na imani za kishirikiana.#taharuki #kichanga #jiwe #ushirikina #tukio #imani #mara&nb...
WAKULIMA WA DODOMA WAMETAKIWA KULIMA MTAMA KWA WINGI
Na Kadala Komba Dodoma
KATIBU Mtendaji wa Shirika la Dodoma Agriculture Seeds Production Association (DASPA) Aithan Chaula Álisema kuwa wanekuwa wakihamasisha wakulima kulima mtama kwani ni zao ambalo Lina sokola úhakika ikiwemo Shirika la Mpango wa Çhakula Duniani (WFP) kununua mtama kwa wakulima wa Mkoani Dodoma.
" Mkulima anapotumia njia za kitaalam hupata mavuno kwa...
VIONGOZI WANACHAMA SOMENI KATIBA TUJIBIZANE KWA HOJA

Na. Kadala Komba Dodoma
MBUNGE wa Jimbo la Bahi (CCM) Kenneth Nollo amewataka wanachama na Viongozi wa chama cha mapinduzi ccm Wilayani humo kusoma na kuielewa vyema katiba,kanuni na tarabitu za chama Ili kufanya majukumu yao vyema pasipo kuyumbishwa na mtu.
Nollo ametoa kauli hiyo wakatai wa kikao cha Halmashauri kuu ya Ccm Wilaya ya Bahi kilichofanyika Wilayani humo.
Nollo...
WAFUNGWA KUNUFAIKA NA MPANGO WA BIMA YA AFYA KWA WOTE

Na WAF, Bungeni Dodoma. NAIBU Waziri wa Afya Dkt. Godwin Mollel amesema kuwa kundi la wafungwa ni moja kati ya makundi maalumu ambayo Serikali imeliweka kwenye wanufaika wa mpango wa Bima ya Afya kwa wote, huku akiweka wazi kuwa, kwasasa Serikali imeweka utaratibu maalum wa kutoa huduma za matibabu kwa wafungwa katika magereza mbalimbali nchini kupitia vituo vya kutolea huduma...
HUAWEI CALLS FOR A ‘NON-STOP’ DIGITAL FUTURE FOR AFRICA’S BANKING INDUSTRY

Cape Town, ] Huawei today announced its ‘Non Stop Banking’ initiative. Unveiled at the Huawei Intelligent Finance Summit for Africa 2023, the initiative calls for hand-in-hand collaboration between the ICT and banking industries and facilitate a digital future of ‘non-stop’ services, ‘non-stop’ development, and ‘non-stop’ innovation.In a keynote speech announcing the initiative,...
STEADY OPERATIONS,SUSTAINABLE SURVIVAL AND DEVELOPMENT

Eric Xu speaking at the press conference[Shenzhen, China] Huawei released its 2022 Annual Report today. The company reports steady operations throughout 2022, having generated CNY642.3 billion in revenue and CNY35.6 billion in net profits. Huawei continues to strengthen investment in R&D, with an annual expenditure of CNY161.5 billion in 2022, representing 25.1% of the...
WAKAZI WA MBARALI WAIPONGEZA SERIKALI KWA MATIBABU YA MACHO*

Wakazi wa Mbarali wameipongeza Serikali kupitia Wizara ya Afya na wadau
wa huduma za macho kwa kuwapatia matibabu ya macho bila malipo.Akizungumza
katika kambi ya upasuaji wa mtoto wa jicho inayoendelea kwenye
hospitali ya Wilaya Mbarali Bw. Antony Ndwenywa(83) kutoka kitongoji cha
Mkanyageni-Rujewa ambaye alifanyiwa upasuaji wa mtoto wa jicho macho
yake mawili...
FOUNTAIN GATE WAPONGEZWAKWA KUIHESHIMISHA TANZANIA NA DODOMA

atibu Tawala Mkoa wa Dodoma Bw. Ally Senga Gugu ameshiriki katika mapokezi ya Mabingwa wa Shule za Sekondari Afrika (CAF) Fountain Gate walioiwakilisha Tanzania na Ukanda wa Afrika mashariki (CECAFA) katika mashindano ya mpira wa Miguu kwa wasichana ngazi ya Shule za Sekondari yaliyofanyika Durban, Afrika Kusini. Mapokezi hayo yamefanyika katika viwanja vya ...
SABABU ZA MAKATO YA BIMA YA AFYA KWA VITUO HIZI HAPA,

Na WAF, Bungeni, Jijini Dodoma Naibu Waziri wa Afya Mhe. Dkt. Godwin Mollel amebainisha sababu zinazopelekea upotevu wa fedha katika vituo vya kutolea huduma za afya kutoka kwa mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya (NHIF) nchini.Dkt. Mollel amesema, Baadhi ya watoa huduma za afya wamekuwa wakiwasilisha madai yenye udanganyifu katika utoaji wa huduma kwa lengo la kujiongezea kipato...
MUIGIZAJI WA FILAMU YA YESU AMEWAAMBIA WAKRISTO "MIMI SIYO YESU

Mwigizaji Robert Powell, mtu aliyeigiza uhusika wa"Yesu" katika filamu maarufu ya Yesu wa Nazareti amewasihi wanaoabudu Picha yake wakiamini kuwa yeye ndiye Yesu waache. anasema “ACHENI KUNIABUDU MIMI SIYO YESU” Tangu Robert alipoigiza uhusika wa Yesu katika filamu ya mwaka 1977, Jesus of Nazareth, picha za Robert Powell zimetundikwa makanisani, majumbani, kwenye...