
Na Moreen Rojas,Dodoma.Waziri wa nchi,ofisi ya waziri mkuu,sera,bunge na uratibu Mhe.Jenista J.Mhagama ametioa wito kwa umma kutumia vizuri mvua za EL_NINO vizuri ili ziwe na manufaa kupitia shughuli za uzalishaji mali kama kilimo.Waziri Mhagama ameyasema hayo wakati akitoa taarifa kwa vyombo vya habari jijini Dodoma kueleza hatua za kuchukua kwa umma,kamati za usimamizi wa...