Subscribe Us

This is default featured slide 1 title

Go to Blogger edit html and find these sentences.Now replace these sentences with your own descriptions.

WAZIRI MHAGAMA AMEWATAKA WANANCHI KUTUMIA MVUA ZA EL_NINO VIZURI

Na Moreen Rojas,Dodoma.Waziri wa nchi,ofisi ya waziri mkuu,sera,bunge na uratibu Mhe.Jenista J.Mhagama ametioa wito kwa umma kutumia vizuri mvua za EL_NINO vizuri ili ziwe na manufaa kupitia shughuli za uzalishaji mali kama kilimo.Waziri Mhagama ameyasema hayo wakati akitoa taarifa kwa vyombo vya habari jijini Dodoma kueleza hatua za kuchukua kwa umma,kamati za usimamizi wa...

MAONESHO YA MADINI YAUFUNGUA MKOA WA LINDI

 Ruangwa - LindiMaonesho ya Kwanza ya Madini na Fursa za Uwekezaji yanayoendelea Mkoani Lindi yametajwa kuufungua mkoa huo kiuchumi na kuongeza fursa mbalimbali za uwekezaji katika Sekta ya Madini.Hayo yamebainishwa na Waziri wa Madini Dkt. Doto Biteko Agosti 25, 2023 Mkoani Lindi alipotembelea maonesho hayo na kuzungumza na wadau wa Sekta ya Madini wanaoshiriki maonesho...

WAZIRI MHAGAMA APOKEA MWONGOZO WA KITAIFA

 Na; Mwandishi wetu - DodomaWaziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu nayeshugulika na Sera, Bunge na Uratibu Mhe. Jenista Mhagama, Amepokea Rasimu ya kwanza ya Mwongozo wa Kitaifa wa Ufuatiliaji na Tathmini ya Utendaji wa Shughuli za Serikali katika Taasisi za Umma.Akipokea Rasimu hiyo, tarehe 24/08/2023 Jijini Dodoma, Waziri Mhagama alisema Mwongozo wa Kitaifa wa Ufuatiliaji...

WAKULIMA WATUMIA FURSA KUJIFUNZA MBINU ZA KILIMO CHA KISASA SIKU YA MKULIMA SHAMBANI ARUSHA

MATUKIO YA PICHA 18 AUGUST 2023  SIKU YA MKULIMA MKOANI ARUSHA  KIJIJI CHA OLDONYONG’RO KINGORI. Na. Mwandishi wetu Arusha    Zana Bora  za Kisasa katika Kilimo ya Mtama na Karanga     Mkurugenzi Mkuu wa Kampuni ya Alssem, Dk Emmanuel Moyo anaonekana mbele akiwa amevalia kofia nyeupe na Shati ya Blue mikono mirefu   akiwatembeza...

SERIKALI IMETOA SHILINGI TRILLIONI 1.7 KWA WAKALA WA NISHATI VIJIJINI(REA).

 Na Moreen Rojas,Dodoma.Serikali imetoa jumla ya shilingi trillioni 1.7 kwa Wakala wa Nishati Vijiini (REA)kwaajili ya utekelezaji wa miradi mbalimbali  ya nishati nchini.Aidha Serikali imetoa billion 12 kwa ajili ya mradi wa kuwezesha ujenzi wa vituo Vidogo vya kusambaza bidhaa za Petroli na Diseli vijijini Tanzania bara kwa lengo la Kulinda Mazingira na Afya ya...

𝗩𝗜𝗢𝗡𝗚𝗢𝗭𝗜 𝗪𝗔 𝗧𝗔𝗔𝗦𝗜𝗦𝗜 𝗭𝗔 𝗨𝗠𝗠𝗔 𝗪𝗔𝗘𝗟𝗘𝗭𝗔 𝗙𝗔𝗜𝗗𝗔 𝗭𝗔 𝗞𝗨𝗕𝗔𝗗𝗜𝗟𝗜𝗦𝗛𝗔𝗡𝗔 𝗧𝗔𝗔𝗥𝗜𝗙𝗔 𝗞𝗜𝗗𝗜𝗝𝗜𝗧𝗔𝗟𝗜 𝗞𝗨𝗣𝗜𝗧𝗜𝗔 𝗠𝗙𝗨𝗠𝗢 𝗪𝗔 𝗚𝗼𝗩𝗘𝗦𝗕

 Viongozi wa taasisi mbalimbali za umma wameeleza faida za kubadilishana taarifa kidijitali kupitia Mfumo wa pamoja wa ubadilishanaji taarifa serikalini ujulikanao kama ‘Government Enterprises Service Bus’ (GovESB).Wakizungumza na mwandishi wetu katika nyakati tofauti, viongozi hao wameeleza kuwa, mfumo wa GoVESB umekuwa na faida nyingi ikiwemo kuongeza ufanisi wa utendaji...

DKT. YONAZI: SEKTA YA KILIMO KUCHAGIZA PATO LA TAIFA.

 Na. Mwandishi Wetu -Dar es Salaam Serikali imeendelea kutoa kipaumbele katika kuendeleza sekta ya kilimo nchini  kwa  kuzingatia umuhimu na tija ya sekta hiyo katika maendeleo ya Taifa. Kauli hiyo imetolewa na Katibu Mkuu Ofisi ya Waziri Mkuu anayeshughulikia masuala ya Sera, Bunge na Uratibu Dkt. Jim Yonazi Agosti 15, 2023 wakati akihutubia katika kikao...

WANAHABARI NA WATUMISHI WAMEJERUHIWA HIFADHI YA NGORONGORO

&nb...

*WANANCHI WA MBEYA MSIINGIZWE KINGI NA WAPINZANI, WAMEPUYANGA: DKT. TULIA*

Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ambaye pia ni Mbunge wa Mbeya Mjini Mhe. Dkt. Tulia Ackson, amewataka Wananchi hususani wa Jimbo lake wajihadhari na watu wenye nia ovu ya kutaka kuwagombanisha na Serikali  yao ili wasishiriki katika mipango ya maendeleo yao.Dkt. Tulia ameyasema hayo leo tarehe 15 Agosti, 2023 wakati wa  Mkutano wa hadhara uliofanyika...

YALIYOJIRI LEO AGOSTI 15, 2023 WAKATI WA UFUNGUZI WA JENGO LA KITEGA UCHUMI (SAFINA HOUSE) LA KANISA LA ANGLIKANA*

*Aliyosema Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan*#Pamoja na kutoa huduma zilizopangwa, jengo hili la kitega uchumi limebadili mandhari na limeleta mandhari ya kupendeza ndani ya Jiji la Dodoma, nawapongeza kwa kukamilisha mradi huu.#Jengo hili ni la kitega uchumi, hivyo linaashiria kukua kwa shughuli za kiuchumi za Kanisa la Anglikana, Serikali...

NAIBU WAZIRI KATAMBI AMEIPONGEZA DASPA KWA KUUNGA MKONO JITIHADA ZA RAIS SAMIA

  Normal 0 false false false EN-US X-NONE X-NONE ...