Subscribe Us

This is default featured slide 1 title

Go to Blogger edit html and find these sentences.Now replace these sentences with your own descriptions.

MATUKIO YA PICHA ZA MAFUNZO YA USUGU WA VIMELEA VYA MAGONJWA KWA WAANDISHI WA HABARI MKOANI DODOMA.

 Na. Kadala Komba DodomaShirika binafsi lilosajiliwa na Serikali la R.B.A Initiative. Limetoa mafunzo ya Usugu wa vimelea vya Magonjwa kwa waandishi wa Habari Mkoani Dodoma, Lengo ni kutambua mchango wa Waandishi wa Habari katika kufikisha ujumbe sahihi kwa jamii Mafunzo yamefanyika Tarehe 19/12/2023  katika Ukumbi wa Nala centrurion hot...

SERIKALI IPO MBIONI KUTENGENEZA MFUMO WA KITAIFA WA KIELETRONIKI.

 Na Moreen Rojas,DodomaSerikali  ipo mbioni kutengeneza mfumo wa kitaifa wa kieletroniki wa taarifa za soko la ajira utakaogharimu kiasi cha shilingi milioni 346.9 kwa ajili ya kuwezesha ukusanyaji wa taarifa kuanzia ngazi ya Wilaya hadi Taifa.Hatua hiyo imelenga kupunguza taarifa za upotoshaji wa nafasi za ajira ambazo mara nyingi zimekuwa zikisambazwa mitandaoni...

TRA DODOMA YAADHIMISHA SIKU YA MLIPA KODI KWA KUWAFIKIA MAKUNDI MAALUMU.

 Na Moreen Rojas,Dodoma.Mamlaka ya mapato Tanzania (TRA) Mkoa wa Dodoma imeadhimisha siku ya mlipa kodi kwa kuwafikia makundi maalumu ambapo wameweza kutembelea hospitali ya taifa ya afya ya akili(mirembe) pamoja na nyumba ya matumaini iliyopo kata ya miyuji.Wakiadhimisha siku hiyo Meneja TRA Mkoa wa Dodoma Castro John amesema wanawashukuru wateja wao kwa kuendelea kutoa...

WASTANI WA MATUMIZI KWA SIKU KWA MTU NI SHILINGI 1,419.

 Na Moreen Rojas,Dodoma.Matokeo yameonesha kuwa katika kaya za Walengwa, wastani wa matumizi kwa siku kwa mtu ni TZS 1,419 (sawa na US$0.6 kwa siku) kwa mwaka 2022, ambapo kiwango hicho kipo chini ya mstari wa umaskini wa Tanzania Bara wa TZS 1,859 (US$0.80) kwa mwaka 2022.Hayo yameelezwa na Mhe.George Simbachawene Waziri wa Nchi,Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala...

WAZAZI KUWAJIBIKA KWENYE MALEZI YA MTOTO Ndg , KINGWANDE

 Na. Kadala Komba DodomaUongozi wa Umoja wa Wanawake Tanzania (UWT) unaofanya ziara ya kukagua utekelezaji wa ilani ya Chama cha Mapinduzi (CCM) ndani ya Mkoa wa Dodoma ukiongozwa na Mwenyekiti wake Ndg.Mary Chatanda  Novemba 24,2023  umeendelea na ziara yake  Halmashauri ya Wilaya ya Bahi.Uongozi huo ukiwa katika ziara yake umegawanyika katika timu...
Na Mwandishi wetu.Imeelezwa kwamba uwekezaji wa hoteli kubwa na za kisasa unasaidia katika kuchochea shughuli za utali na kuongeza thamani ya Mji wa Mbinga, kwa sababu ya upekee wa vivutio vyake.Hayo yamesemwa na Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge na Uratibu) Mhe. Jenista Mhagama wakati wa Uzinduzi wa Mradi wa Hotel ya One Pacific yenye hadhi ya nyota tatu katika wilaya...

WANAFUNZI CHUO CHA MIPANGO WATAKIWA KUTUMIA TAFITI ZAO KWA MANUFAA YA JAMII.

 Na Moreen Rojas,Dodoma.Wanafunzi Chuo cha Mipango ya  Maendeleo Vijijini wametakiwa kutumia tafiti zao kwa manufaa ya jamii ili kuleta tija na matokeo chanya ya tafiti zao.Hayo yamesemwa na Bwana. Moses Dulle   Mkurugenzi wa Wizara ya Fedha na Mipango ambaye amemwakilisha Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Fedha Bi. Jenifa Omolo Mgeni rasmi katika kongamano...

MWENYEKITI UWT TAIFA ATEMBELEA HOSPITALI YA MJI KONDOA

  Mwenyekiti wa Umoja wa Wanawake Taifa UWT na Mjumbe wa Halmashauri kuu ya CCM taifa Mhe. Marry Chatanda, leo tarehe 22 Novemba 2023 ametembelea Hospitali ya Mji Kondoa ikiwa ni ziara yake kwa Halmashauri hiyo kujionea Miradi mbalimbali iliyotekelezwa na Serikali ya awamu ya Sita.Akiwa Hospitalini, hapo Mhe. Chatanda amewajulia hali wagonjwa waliokuwepo kwenye jengo...

DARAJA LA BILLIONI 1.5 KUONDOA DARAJA LA KAMBA KONDOA.

 Wananchi wa kijiji cha Hurui kata ya Kikore Wilayani Kondoa  Mkoani Dodoma wamesema ujenzi wa daraja la kisasa lenye thamani ya shilingi bilioni 1.5 linalotarajiwa kukamilika mwisho mwa mwezi Disemba 2023 litatatua  kero ya muda  ya mrefu ya kutumia daraja la kamba kuvuka mto na  kufanya shughuli za kiuchumi na kijamii  hali ambayo imekuwa ikisababisha...