Home »
» PESA INAWEZA KUWA MBARAKA AU LAANA*
PESA INAWEZA KUWA MBARAKA AU LAANA*
Pesa si laana yenyewe kama yenyewe; bali ni kitu chenye thamani kubwa kwa sababu ikitumiwa ipasavyo, inaweza kufanya mema katika kuleta wokovu wa roho za watu, katika kuwabariki wengine ambao ni maskini kuliko sisi wenyewe. Kwa matumizi ya kiholela au yasiyo ya busara .... pesa zinaweza kuwa mtego kwa mtumiaji. Anayetumia pesa kuridhisha kiburi na matamanio yake anaifanya kuwa laana badala ya baraka.
Pesa ni jaribio la mara kwa mara katika kupima mielekeo ya moyo. Yeyote anayepata zaidi ya mahitaji yake halisi anapaswa kutafuta hekima na neema ya kuujua moyo wake na aweze kuulinda moyo wake kwa bidii, asije akawa na matamanio ya kufikirika na akawa wakili asiye mwaminifu, akitumia kwa upotevu mtaji wa Bwana wake aliokabidhiwa.
Ukurasa: 372, Aya:1
Related Posts:
NAIBU WAZIRI UMMY NA MUMEWE WAHESABIWANaibu Waziri Ofisi ya Waziri Mkuu Sera Bunge na Uratibu Mhe. Ummy nderiananga ,mumewe pamoja na wanafamilia wamekwisha hesabiwa . wewe je Katibu Mkuu Ofisi ya Waziri Mkuu Sera Bunge na Uratibu Dkt… Read More
KATIBU MKUU WA CHAMA CHA MAPINDUZI [CCM] DANIEL CHONGOLO TAYARI NAE AMEHESABIWAKatibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Ndugu Daniel Chongolo akizungumza na Karani wa Sensa ya Watu na Makazi Bi. Faith Buruhani (kushoto) wakati wa kuhesabiwa kwenye makazi yake Msasani jijini Dar es salaam leo tarehe 23,… Read More
Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo August 25, 2022… Read More
SERIKALI KUSHIRIKIANA NA WADAU KUKABILI MAAFA.Na Mwandishi wetu- Dodoma. Serikali imesema itaendelea kushirikiana na wadau wa maendeleo katika mapambano dhidi ya maafa ambayo hujitokeza katika maeneo mbalimbali nchini na kusababisha athari. Hayo yameelezwa na Mkurug… Read More
MAGAZETI ya Tanzania Leo Ijumaa August 26 2022MAGAZETI ya Tanzania Leo Ijumaa August 26 2022/Newspaper Front pages for August 26th 2022 … Read More
0 Comments:
Post a Comment