Subscribe Us

This is default featured slide 1 title

Go to Blogger edit html and find these sentences.Now replace these sentences with your own descriptions.

JAMII YAHIMIZWA KUZINGATIA MATUMIZI YA DAWA

Na Kadala Komba- Dodoma JAMII YAHIMIZWA KUZINGATIA MATUMIZI YA DAWA Jamii imeaswa kuzingatia ushauri unaotolewa na wataalamu wa afya dhidi ya utumiaji dawa za binadamu ili kuepuka madhara yanayoweza kujitokeza ikiwemo usugu wa dawa hizo mwilini. Kauli hiyo imetolewa na Mratibu wa Shirika lisilo la kiserikali (RBA-Initiative), Michael Mosha, Jijini Dodoma wakati wa mwendelezo...

PESA INAWEZA KUWA MBARAKA AU LAANA*

Pesa si laana yenyewe kama yenyewe; bali ni kitu chenye thamani kubwa kwa sababu ikitumiwa ipasavyo, inaweza kufanya mema katika kuleta wokovu wa roho za watu, katika kuwabariki wengine ambao ni maskini kuliko sisi wenyewe. Kwa matumizi ya kiholela au yasiyo ya busara .... pesa zinaweza kuwa mtego kwa mtumiaji. Anayetumia pesa kuridhisha kiburi na matamanio yake anaifanya...

SHULE YA VIPAJI NCHINI FOUNTIN GATE KUWATAMBULISHA WACHEZAJI KWA MSIMU WA 2022 \2023

Na. Kadala Komba Dodoma  Akizungumza na Waandishi wa Habari  Jijini Dodoma  Mtendaji Mkuu wa Shule ya vipaji ya Fountion Gate Thabiti Kandoro Amesema tupo kwenye maandalizi ya uzinduzi wa Mpango  wa   maendeleo ya msimu wa michezo ya Mwaka 2022/2023 siku za hivi karibuni  mnamo Novemba tarehe 27 Mwaka huu Jijini Dodoma uzinduzi huu...

“MBEYA INAENDA KUFANANA NA HADHI YA MAJIJI, TUNAJIVUNIA RAIS SAMIA” DKT. TULIA*

Na. Mwandishi Wetu Mbeya Spika wa Bunge la Tanzania ambaye pia ni Mbunge wa Mbeya Mjini, Mhe. Dkt. Tulia Ackson, amewataka Wananchi wa Mbeya Mjini kumshukuru na kumuunga mkono Rais wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan kwa namna anavyoliwezesha Jimbo hilo katika kuboresha maendeleo ya sekta mbalimbali ikiwemo miundombinu. Dkt. Tulia ameyasema hayo leo Novemba 14, 2022...

MSEMAJI MKUU WA SERIKALI, GERSON MSIGWA AMETOA MAELEZO KUHUSU AJALI YA NDEGE

*YALIYOJIRI LEO NOVEMBA 14, 2022 WAKATI MKURUGENZI WA IDARA YA HABARI - MAELEZO NA MSEMAJI MKUU WA SERIKALI, GERSON MSIGWA AKITOA TAARIFA YA MAELEKEZO YA BARAZA LA MAWAZIRI KUHUSU AJALI YA NDEGE YA KAMPUNI YA PRECISION AIR ILIYOTOKEA NOVEMBA 6, 2022* #Kikao cha Baraza la Mawaziri kilichofanyika leo Novemba 14, 2022 jijini Dodoma kimepokea taarifa ya awali ya ajali ya ndege...

UCHIMBAJI MAKAA YA MAWE KULETA TIJA KWA WATANZANIA

Naibu Waziri wa Madini, Dkt. Steven Kiruswa amebainisha kuwa, biashara ya Makaa ya Mawe inatarajia kuleta tija kwa Watanzania kutokana na uhitaji mkubwa wa madini hayo ndani na nje ya nchi. Dkt. Kiruswa ameeleza hayo Novemba 12, 2022 wilaya ya Mbinga mkoani Ruvuma alipotembelea mgodi wa uchimbaji wa Makaa ya Mawe wa Ruvuma Coal Ltd ili kujionea shughuli za uchimbaji zinazoendelea...

WAZIRI SIMBACHAWENE, AMPONGEZA MAMA TUNU PINDA

Na Mwandishi wetu Kuimba kuna nguvu kubwa; kuimba ni kusali mara mbili, wenzetu mmekuewa watumishi wa Mungu kwa njia ya uimbaji na kazi mnayoifanya ya utume inawasaidia mpate neema na baraka kubwa. Kauli hiyo imetolewa na Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu Sera Bunge na Uratibu Mhe. George Simbachawene wakati wa uzinduzi wa Albamu ya Mtakatifu Theresia, Mtoto wa Yesu inayoitwa...

WALIMU WA SHULE BINAFSI NA SERIKALI WAMEUNGANA KWA PAMOJA KUPINGA UKATILI WA KIJINSIA KWA WATOTO MASHULENI

Na. Kadala Komba Dodoma Mwenyekiti wa shule za awali za Binafsi Mkoa wa Dodoma Ester Manyanda Akizungumza na Waandishi wa Habari lengo la kukutana pamoja Walimu wa Shule Binafsi Afisa Ustawi wa Jamii Mkoa wa Dodoma,Josephine Mwaipopo akizungumza Kwaniaba ya Mkuu wa Mkoa wa Dodoma Wamiliki wa Shule wakipokea vyeti kutoka kwa Mgeni Rasmi wa Tamasha hilo Picha...