Subscribe Us

WANANCHI WA HALMASHAURI YA WILAYA YA BAHI WAMEJITOKEZA KWA WINGI KUFANYA USAFI WA MAZINGIRA

 
Na. Kadala Komba Bahi

Afisa Afya Wilaya ya Bahi Ramadhan Nyezi  amesema hayo April 21 ,2025  wakati akizungumza na Mwandishi wa Habari Shine News Blog  wakati wa zoezi la usafi likiendelea maeneo tofauti tofauti ya Wilaya .

Alisema Nawapongeza Wananchi wa Halmashauri ya Wilaya ya Bahi kwa kujitokeza kwa wingi kwenye zoezi la usafi wa mazingira ambao umefanyika  maeneo mbali mbali kama kandokando ya Barabara pamoja na maeneo ya Biashara na kwenye mitaro kwa lengo la kuhakikisha maeneo yote ya Bahi  yanakuwa safi ili kujilinda na magonjwa.





 













0 Comments:

Post a Comment