Subscribe Us

This is default featured slide 1 title

Go to Blogger edit html and find these sentences.Now replace these sentences with your own descriptions.

SERIKALI IMETIA SAINI YA MKATABA WA UPEMBUZI YAKINIFU

 Na Moreen Rojas,DodomaSerikali imetia saini ya mkataba wa upembuzi yakinifu na ununuzi wa meli za uvuvi wa bahari kuu na ujenzi wa viwanda viwili vya kuchakata samaki(kilwa na  fungurefu)kupitia programu ya kuendeleza kilimo na uvuvi itakayogharimu jumla ya Dola za kimarekani 77.4 millioni.Hayo yameelezwa na Mratibu wa shughuli za Serikali wa Ofisi ya Waziri Mkuu,Sera,Bunge...

TENGENEZENI HISTORIA NZURI YA CHUO CHA VETA BAHI-RC SENYAMULE

 Mkuu wa Mkoa wa Dodoma Mhe. Rosemary Senyamule amewataka uongozi wa Wilaya na Chuo cha Ufundi stadi VETA Bahi kuhakikisha wanatengeneza historia nzuri ya chuo hicho ili kilete matokeo chanya na kiwanufaishe watu mbalimbali hususani wakazi wa wilaya hiyo na watu/ wanafunzi kutoka katika maeneo mbalimbali ya Tanzania. Hayo yamesemwa mapema hii leo Februari 20/2024 na Mhe....

ELIMU YA KUDHIBITI MADAWA YA KULEVYA KUTOLEWA MASHULENI.

 Na Moreen RojasDodoma.Elimu ya kudhibiti matumizi ya dawa za kulevya imeshauriwa kutolewa kunzia shuleni ili kulinusuru kundi la watoto wenye miaka kati ya kumi hadi kumi na mbili ambalo kwa siku za hivi karibuni limetajwa kuwa hatarini zaidi kwenye uraibu wa dawa za kulevya.Hayo yamebainishwa jijini Dodoma na Kamishna wa kudhibiti na kupambana na dawa za kulevya Aretas...