
Na Moreen Rojas,DodomaSerikali imetia saini ya mkataba wa upembuzi yakinifu na ununuzi wa meli za uvuvi wa bahari kuu na ujenzi wa viwanda viwili vya kuchakata samaki(kilwa na fungurefu)kupitia programu ya kuendeleza kilimo na uvuvi itakayogharimu jumla ya Dola za kimarekani 77.4 millioni.Hayo yameelezwa na Mratibu wa shughuli za Serikali wa Ofisi ya Waziri Mkuu,Sera,Bunge...