Subscribe Us

DC JOACHIM NYINGO ATAKA TUZO ZA ELIMU ZIPELEKWE KWA VIONGOZI WALIO MTANGULIA

 



Mkuu wa wilaya ya Bahi Mhe. Joachim Nyingo Akizungumza na Walimu,wazazi,viongozi wa dini katika hafla ya kuwapongeza Walimu wa Shule za msingi na sekondari zilizofanya vizuri katika mitihani ya Taifa. 

 

Mkurugenzi Mtendaji Bi.Zaina Mlaw akisoma  risala kwa mgeni rasmi Mkuu wa wilaya ya Bahi Mhe. Joachim Nyingo

 
Katibu Tawala wa Bahi Bi.Mwanamvua Bakari akimkaribishaMkuu wa wilaya ya Bahi Mhe. Joachim Nyingo

Afisa Elimu Mkoa wa Dodoma Mwl. Vicent Kayombo akitoa pongeza walimu wa Halmashauri ya Bahi


Mwenyekiti wa ccm wilaya ya Bahi Stuwart Masima akisisitiza swala la elimu na umuhimu wa elimu kwa wazazi 


Mwenyekiti wa halmashauri ya wilaya ya Bahi Donald Mejiti ( MNEC) amewataka wakina mama,vikundi mbalimbali vya sanaa kuhamasisha maswala ya elimu kupitia karama zao 


Mbunge wa Jimbo la Bahi Mhe.Keneth Nollo ameelezea mikakati ya elimu katika wilaya ya Bahi tusilizike kufika namba mbili kitaifa bali tuongeze juhudi mwakani 2026 tuwe namba moja 


Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya ya Mpwapwa Mh George O. Fuime akijitapa kuwapita halmashauri ya bahi kielimu.


Mwenyekiti wa Alet Mkoa White Zubari ameipongeza halmashauri yawilaya ya Bahi kwa kuweka utaratibu wa kupongezana kwa kutoa zawaidi hata sisi tumekuja kujifunza kwenu hii tutachukua na kuifanyia kazi.
Zawadi Tuzo na fedha tasilimu kwa Shule,walimu, wanafunzi na wazazi ambao ambao kwa pamoja kama wadau wanachangia kila mtu kwa nafasi yake kuhakikisha suala la elimu kwa ngazi zote linafanyika kwa mafanikio
Zawadi Tuzo na fedha tasilimu kwa Shule,walimu, wanafunzi na wazazi ambao ambao kwa pamoja kama wadau wanachangia kila mtu kwa nafasi yake kuhakikisha suala la elimu kwa ngazi zote linafanyika kwa mafanikio

Mkurugenzi Mtendaji Bi.Zaina Mlawa akipokea tuzo kwa kusimamia vyema maendeleo ya elimu katika Halmashauri ya Bahi
 


Ikiwa ni kawaida kwa Uongozi Wa Wilaya hiyo Kutoa motisha kwa kutoa Tuzo na fedha tasilimu kwa Shule,walimu, wanafunzi na wazazi Mwalimu Mkuu wa shule ya msingi Bahi Misheni Paschal Mchewa akipokea tuzo 
Afisa Elimu ya Awali na Msingi wa Wilaya ya Bahi, Bonaface William aliyeshika tuzo akifurahi na waalimu


 Ikiwa ni kawaida kwa Uongozi Wa Wilaya hiyo Kutoa motisha kwa kutoa Tuzo na fedha tasilimu kwa Shule,walimu, wanafunzi na wazazi ambao ambao kwa pamoja kama wadau wanachangia kila mtu kwa nafasi yake kuhakikisha suala la elimu kwa ngazi zote linafanyika kwa mafanikio.
Mhe. Diwani kata ya Ilindi Sangula akipokea bahasha ya fedha pamoja na walimu

 Ikiwa ni kawaida kwa Uongozi Wa Wilaya hiyo Kutoa motisha kwa kutoa Tuzo na fedha tasilimu kwa Shule,walimu, wanafunzi na wazazi ambao ambao kwa pamoja kama wadau wanachangia kila mtu kwa nafasi yake kuhakikisha suala la elimu kwa ngazi zote linafanyika kwa mafanikio.

 Ikiwa ni kawaida kwa Uongozi Wa Wilaya hiyo Kutoa motisha kwa kutoa Tuzo na fedha tasilimu kwa Shule,walimu, wanafunzi na wazazi ambao ambao kwa pamoja kama wadau wanachangia kila mtu kwa nafasi yake kuhakikisha suala la elimu kwa ngazi zote linafanyika kwa mafanikio.


 Ikiwa ni kawaida kwa Uongozi Wa Wilaya hiyo Kutoa motisha kwa kutoa Tuzo na fedha tasilimu kwa Shule,walimu, wanafunzi na wazazi ambao ambao kwa pamoja kama wadau wanachangia kila mtu kwa nafasi yake kuhakikisha suala la elimu kwa ngazi zote linafanyika kwa mafanikio.


Walimu shule za msingi Halmashauri ya Bahi

Wanafunzi wa shule ya msingi Bahi Misheni 


 

 Ikiwa ni kawaida kwa Uongozi Wa Wilaya hiyo Kutoa motisha kwa kutoa Tuzo na fedha tasilimu kwa Shule,walimu, wanafunzi na wazazi ambao ambao kwa pamoja kama wadau wanachangia kila mtu kwa nafasi yake kuhakikisha suala la elimu kwa ngazi zote linafanyika kwa mafanikio.Diwani kata ya Bahi Mhe.Ndonu na Diwani viti maalumu  Kurusumu sambamba na mwalimu



 Ikiwa ni kawaida kwa Uongozi Wa Wilaya hiyo Kutoa motisha kwa kutoa Tuzo na fedha tasilimu kwa Shule,walimu, wanafunzi na wazazi ambao ambao kwa pamoja kama wadau wanachangia kila mtu kwa nafasi yake kuhakikisha suala la elimu kwa ngazi zote linafanyika kwa mafanikio mwalimu Asifiwe  Kiula .

 
 
 
 

 Ikiwa ni kawaida kwa Uongozi Wa Wilaya hiyo Kutoa motisha kwa kutoa Tuzo na fedha tasilimu kwa Shule,walimu, wanafunzi na wazazi ambao ambao kwa pamoja kama wadau wanachangia kila mtu kwa nafasi yake kuhakikisha suala la elimu kwa ngazi zote linafanyika kwa mafanikio.
Mhe. Diwani kata ya Sosthenes Mpandu na mwalimu

Mwalimu Mkuu wa shule ya msingi Bahi Misheni Paschal Mchewa akiwa na wanafunzi


Wanafunzi wa Engli Medimu
Meza kuu

Kikundi cha ngoma Chonde wakiimba wimbo maalumu wa elimu

Na. Kadala Komba Bahi 

Mkuu wa wilaya ya Bahi Mhe. Joachim Nyingo alisema mimi ni mgeni kwenye hii wilaya mambo makubwa yamefanyika, yametekelezeka na viongozi wenzangu waliyo nitangulia hata hizo sifa sistahili kupata  wala hizo pongezi kwa sababu ya ugeni wangu mimi ni mgeni najifunza tu, naomba katika kujifunza kwangu mnifundishe taratibu ili niweze kuelewa vizuri na kushika vinavyopasika kushika vizuri. Zaidi ili niweze kuwa mwanafunzi mzuri katika kutekeleza majukumu yangu , hivyo naelekeza sifa zote zilizotolewa na nyimbo zilizoimbwa na kila kilichoelezwa naomba kwanza kupelekwe kwa watangulizi wangu ambao natamani wangekuwepo siku hii ya leo tuwapongeze kwa kazi kubwa waliyofanya , pia natumia nafasi hii kumpongeza Rais Dkt.   Samia Suluhu Hassan kwa maono yake na ndoto zake za kuamua kuiweka Bahi kwenye ramani ya Tanzania kwa kuleta fedha na kuhakikisha kuna miundo mbinu mizuri iliyosababisha elimu iweze kupatikana.

Hayo yamejiri  Viwanja vya shule ya msingi Bahi Misheni Tarehe 10 May,2025 katika hafla ya kuwapongeza Walimu wa Shule za msingi na sekondari zilizofanya vizuri katika mitihani ya Taifa. Ikiwa ni kawaida kwa Uongozi Wa Wilaya ya Bahi  hiyo Kutoa motisha kwa kutoa Tuzo na fedha tasilimu kwa Shule,walimu, wanafunzi na wazazi ambao ni  wadau wa elimu ambao kila mtu kwa nafasi yake  amehakikisha suala la elimu kwa ngazi zote linafanyika kwa mafanikio, Katika hafla hiyo Mgeni rasmi alikuwa Mkuu wa Wilaya ya Bahi Mhe.Joachim Thobias  Nyingo.

Sambamba na hilo Mkurugenzi Mtendaji Bi.Zaina Mlawa amesoma risala kwa mgeni rasmi amesema Halmashauri ya Wilaya ya Bahi ina shule themanini na sita za msingi (86) na shule ishirini nasaba (27) za Sekondari na shule moja binafsi ya  sekondari, idadi ya wanafunzi kwa sekondari ni helfu kumi na moja mia tisa stini na tisa kwa upande wa elimu ya msingi tunawanafunzi halfu hamsini na nane mia saba thelathini na saba Mheshimiwa mgeni rasmi Halmashauri ya Bahi imepata mafanikio makubwa katika sekta ya elimu ikiwa katika awamu hii ya sita inayoongozwa na Rais Dkt.   Samia Suluhu Hassan baadhi ya mafanikio hayo ni kutoka mwaka 2021 hadi 2025 tulikuwa tunaidadi ya shule za msingi 72 hadi sasa tunashule za msingi 86 ambapo tumepata ongezeko la shule 14 mpya kwa elimu sekondari tulikuwa na jumla ya shule 21 na vipi sasa tuna jumla ya shule 27 haya ni mafanikio makubwa chini ya Jemedari wetu   Rais Dkt. . Samia tumeweza kufanikiwa .

Aidha, Afisa Elimu Mkoa wa Dodoma Mwl. Vicent Kayombo amewapongeza walimu wa Halmashauri ya Bahi mumeiheshimisha Bahi lakini mumeuheshimisha mkoa wa Dodoma kazi mliyoifanya imeonekana,sisi waalimu tunakazi mbili tu ambazo tunapimwa na jamii kazi ya kwanza ni malezi ya mtoto tunayekabidhiwa wazazi na wadau wengine wanauliza mtoto mwenye tabia hizi ametoka shule gani ? Kwaiyo idadi ya wanafunzi wenye nidhamu,heshima na adabu na mambo yote mema yanaangalia mtoto amesoma shule gani walimu ambao walimfundisha uyo mtoto ni wa shule gani ,kwa hiyo ya kwanza ni malezi kazi ambayo walimu mumeifanya hongereni sana alisema .

Naye mwalimu wa shule ya msingi Bahi Misheni Paschal Mchewa amesema mafanikio kwanza yanatoka kwa wazazi wanafanikisha watoto wanapata chakula cha mchana lakini pia wanapata uji pamoja na ushirikiano wote ndani ya Halmashauri mbali na hayo walimu wa shule ya msingi Bahi Misheni ni walimu ambao wanawajibika bila kufuatiliwa lakini kitu kingine kinacho tusaidia motisha kwa walimu tumejitahidi kutoa motisha kila mwishoni mwa mwaka tunawaona wadau wa elimu mbalimbali tunaomba fedha ,tunaomba vitu basi walimu wanapata motisha kwa kupewa vitu na fedha pia wanaenda tua mbalimbali mfano mwaka juzi tumeenda Serengeti kwa mwaka jana tumeenda Dodoma mjini mwaka huu Mei mosi nimewapeleka Dodoma mjini kupata chakula cha mchana kwaiyo motisha inasaidia sana .

Viongozi wa dini

0 Comments:

Post a Comment