
Na. Kadala Komba Bahi Mkurugenzi wa wilaya na msimamizi wa
Uchaguzi wilaya ya Bahi Mhe. Zaina Mlawa ametoa wito kwa wananchi wote
wenye sifa kushiriki kikamilifu katika mchakato huu wa uchaguzi,kuanzia
hatua ya kujiandikisha kwenye orodha ya wapiga kura. Hayo
yamejiri wakati wa mkutano wa kikao kazi cha wadau wa vyama vya siasa
na viongozi wa dini kikao ...