Subscribe Us

This is default featured slide 1 title

Go to Blogger edit html and find these sentences.Now replace these sentences with your own descriptions.

UCHAGUZI MWAKA 2024\2025 UMEWAKUTANISHA WADAU WA SIASA NA VIONGOZI WA DINI

Na. Kadala Komba Bahi  Mkurugenzi wa wilaya na msimamizi wa Uchaguzi wilaya ya Bahi Mhe. Zaina Mlawa ametoa wito kwa wananchi wote wenye sifa kushiriki kikamilifu katika mchakato huu wa uchaguzi,kuanzia hatua ya kujiandikisha kwenye orodha ya wapiga kura.  Hayo yamejiri wakati wa mkutano wa kikao kazi cha  wadau wa vyama vya siasa na viongozi wa dini kikao ...

JKT HATUTOI AJIRA TUNATOA MAFUNZO

Na. Kadala Komba Dodoma .JESHI la kujenga Taifa nchini JKT limesema linatoa mafunzo kwa Vijana wa kitanzania kwajili ya kujiajiri lakini halitoi ajira.Kaimu Mkuu wa  Tawi la utawala Jeshi la kujenga Taifa JKT Juma Mrai ameyaeleza hayo leo Jijini Dodoma wakati akizungumza na Waandishi wa Habari  kuhusu kutoa wito kwa Vijana wa Kitanzania kujiunga na mafunzo ya kujitolea...

INEC, VYAMA VYA SIASA KUANDAA KANUNI ZA MAADILI YA UCHAGUZI

 Na Mwandishi wetu- Dodoma Naibu Waziri Ofisi ya Waziri Mkuu anayeshughulikia Sera, Bunge na Uratibu Mhe. Ummy Nderiananga amesema, Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi kwa kushauriana na vyama vyote vya siasa itaandaa Kanuni za Maadili ya Uchaguzi kwa kuzingatia masharti ya Sheria ya Uchaguzi wa Rais, Wabunge na Madiwani ya mwaka 2024. Mhe. Nderiananga ameyasema...

WALIOITWA KWENYE USAILI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA BAHI PART 1

&nb...