Subscribe Us

This is default featured slide 1 title

Go to Blogger edit html and find these sentences.Now replace these sentences with your own descriptions.

Naibu Waziri Ummy, Apokea jedwali la uchambuzi la Sheria Ndogo

 Na Mwandishi wetu- DODOMANaibu Waziri Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge na Uratibu) Ummy Nderiananga amepokea Jendwali la Uchambuzi la Sheria Ndogo za Mwaka 2024 katika Mkutano wa Kumi na Tano, Kikao cha sita cha Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ambazo zimewasilishwa na Makamu Mwenyekiti wa Kamati ya Bunge ya Sheria Ndogo Mhe. Ramadhan Suleimani Ramadhan.Tukio...

TUME WATANGAZA NAFASI ZA KAZI DAFTARI LA WAPIGA KURA

&nb...

MHE. UMMY NDERIANANGA APONGEZWA KUWASAIDIA WATU WENYE ULEMAVU

 Na Mwandishi wetu-KilimanjaroBaadhi ya Watu Wenye Ulemavu Mkoa wa Kilimanjaro wamemshukuru Mbunge wa Viti Maalum kundi la Watu Wenye Ulemavu na Naibu Waziri Ofisi ya Waziri Mkuu Sera, Bunge na Uratibu Mhe. Ummy Nderiananga kwa moyo wake wa kujitoa kuwahudumia watu wenye ulemavu.Wakizungumza  mara baada ya mkutano wa ndani uliofanyika katika Tarafa ya Vunjo...

“WAGONJWA WANAHITAJI FARAJA KUTOKA KWA WAUGUZI” MHE. NDERIANANGA

 Naibu Waziri Ofisi ya Waziri Mkuu Sera, Bunge na Uratibu Mhe. Ummy Nderiananga amewataka Viongozi wa Kata na Wahudumu wa afya ngazi ya jamii kushirikiana kuwatambua wagonjwa waliofichwa ndani na watu wenye ulemavu ili waweze kupata haki yao ya msingi ya kupata huduma ya afya hatimaye kushiriki katika shughuli za maendeleo.Mhe. Nderiananga alitoa kauli hiyo wakati akifungua...

RAIS SAMIA APONGEZWA MIRADI YA MAENDELEO KILIMANJARO

 Na Mwandishi wetu -KilimanjaroRais  wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe, Dkt. Samia Suluhu Hassan, amepongezwa kwa juhudi kubwa anazozionesha za kuruhusu kuendelea ujenzi wa miradi mikubwa ya kimkakati kwa kutoa shilingi Bilioni 51 kutekeleza miradi katika Wilaya ya Mwanga.Pongezi hizo zilitolewa na Mbunge wa Viti Maalum kundi la Watu Wenye Ulemavu na Naibu Waziri...

MBEGU BORA YA MTAMA TARISOR1 LIMA KIDOGO PATA ZAIDI

 WAKULIMA wa zao la mtama wameshauriwa kutumia mbegu  ya mtama  aina ya TARISOR1 kwa kuwa mtama huo hauliwi na ndege kama ilivyo kwa mtama mwingine.Mbegu ya mtama TARISOR1 ukomaa kwa siku 120. Nafasi za kupanda sm 75-90 x sm 30 panda mbegu 2, kisha ikiota ing'olei ibaki mo...

*WANANCHI WAJIONEA UTEKELEZAJI MIRADI YA GESI ASILIA NANENANE DODOMA*

📌 *Teknolojia ya Uhalisia Pepe yawa kivutio*📌 *Elimu Matumizi ya Nishati Safi Kupikia yatolewa*Maonesho ya Kimataifa ya Nanenane yanayoendelea katika Viwanja vya Nzuguni jijini Dodoma yamekuwa ni sehemu ya wananchi kujionea utekelezaji wa miradi mbalimbali katika Sekta ya Nishati ikiwemo miradi ya Gesi Asilia na MafutaKatika Banda la Wizara ya Nishati wananchi wameonesha...

WAZIRI MAVUNDE, WAZIRI MCHENGERWA KUKUTANA KUSHUGHULIKIA TOZO ZA HALMASHAURI KWENYE MADINI

 Ni Kufuatia Changamoto za tozo za Halmashauri zilizowasilishwa na wachimbaji MorogoroWaziri Mavunde awapongeza Morogoro kuvuka lengo la makusanyo ya maduhuliSerikali kuongeza nguvu ya Utafiti MorogoroWachimbaji wamshukuru Rais Samia kwa mashine za uchorongajiWaziri wa Madini Mhe. Anthony Mavunde amesema Wizara ya Madini imekubaliana na Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa...

WAKULIMA WAMETAKIWA KUCHANGAMKIA FURSA ZAO LA MBAAZI ILONGA 14 M-2

 Na. Kadala Komba DodomaMaonesho ya mwaka huu yaliyobeba kauli mbiu isemayo "Chagua viongozi bora wa Serikali za Mitaa kwa maendeleo endelevu ya Kilimo, mifugo na uvuvi" yalianza tarehe Agosti 01, 2024 na yanategemewa kufika kilele Agosti 08, 2024.Mkurugenzi Mtendaji wa Shirika la Wakulima wazalishaji wa Mbegu Dodoma (DASPA) Aithan Chaula Akizungumza na Waandishi wa Habari...

SIKU YA 4 YA MAONESHO YA NANENANE KITAIFA DODOMA YANAENDELEA VIWANJA VYA NZUGUNI

 Na. Kadala Komba DodomaWananchi kutoka maeneo mbalimbali wametembelea Banda la @DASPA. Elimu  mbalimbali kuhusu Mbegu bora za Mbaazi,Kunde,Uwele, Karanga na Mtama (small packs) zinatolewa bila malipo hadi tarehe 10, Agosti,Mbegu hizi mazao yake yameongezewa thamani kama vile Siagi ya karanga, mafuta na karanga za kukaanga 2024.@shinenewsblog@wizalayakil...