
Na.Kadala Komba BahiPICHA WATOTO WAKIFANYA MAANDAMANO MAENEO MBALIMBALI HALMASHAURI YA WILAYA YA BAHI Mwezeshaji wa Ushirika wenza kutoka shirika la Compassion International Tanzania Ndg. PF Maximina Goa Alisema Compassion International Tanzania (CIT) ni Shirika la Kimataifa la Kikristo lililojikita katika maendeleo na utetezi wa mtoto anayeishi kwenye umasikini. Tunatekeleza...