Subscribe Us

This is default featured slide 1 title

Go to Blogger edit html and find these sentences.Now replace these sentences with your own descriptions.

MKURUGENZI WA FEMAPO MATHIAS LYAMUNDA AMECHANGIA MILIONI 1 SHULE YA MSINGI BAHI

Na. Kadala Komba Bahi Mathias Lyamunda Mkurungenzi wa Shirika la Foundation for environmental Management and Campaign Against Poverty-(FEMAPO), amechangia Shilingi Milioni moja (1,000,000/: taslimu kwajili ya maendeleo ya shule ya  Msingi Bahi Mission na Shule ya Msingi ya Chiona.Hayo yamejiri wakati wa Mahafali ya 92 katika Shule hizo mbili ambazo zimefanya vizuri na...

*FURSA KWA WANAWAKE KUKOPA DOWOSA RIBA ASILIMIA 1 KWA MWEZI*

Na. Kadala Komba Dodoma Mhe. Mbonipaye Mpango Mwenza wa Makamu wa Raisi wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania  Amewataka wanawake kujiunga na DODOMA WOMEN SACCOS (DOWOSA) kwa maendeleo ya uchumi wetu Dowosa ni Saccos ya kujiunga ninauhakika kwa Dowosa ni chombo cha kuchochea kukuwa kwa uchumi katika jamii na Taifa wanachama na viongozi zingatieni mambo muhimu hili chama...

*ENDELEENI KUCHUKUA TAHADHARI DHIDI YA VIRUSI VYA UKIMWI” MHE. NDERIANANGA*

 Na Mwandishi wetu - Dodoma  Naibu Waziri Ofisi ya Waziri Mkuu anayeshughulikia Sera, Bunge na Uratibu Mhe. Ummy Nderiananga ameihimiza jamii kuendelea kuchukua tahadhari dhidi ya maambukizi mapya ya Virusi vya UKIMWI nchini kwa kuendelea kuzingatia elimu inayotolewa na Tume ya Kudhibiti UKIMWI Tanzania (TACAIDS) ili kuunga mkono jitihada za Serikali dhidi ya...

UCHAGUZI MWAKA 2024\2025 UMEWAKUTANISHA WADAU WA SIASA NA VIONGOZI WA DINI

Na. Kadala Komba Bahi  Mkurugenzi wa wilaya na msimamizi wa Uchaguzi wilaya ya Bahi Mhe. Zaina Mlawa ametoa wito kwa wananchi wote wenye sifa kushiriki kikamilifu katika mchakato huu wa uchaguzi,kuanzia hatua ya kujiandikisha kwenye orodha ya wapiga kura.  Hayo yamejiri wakati wa mkutano wa kikao kazi cha  wadau wa vyama vya siasa na viongozi wa dini kikao ...