Subscribe Us

This is default featured slide 1 title

Go to Blogger edit html and find these sentences.Now replace these sentences with your own descriptions.

MATUKIO YA PICHA ZA MAFUNZO YA USUGU WA VIMELEA VYA MAGONJWA KWA WAANDISHI WA HABARI MKOANI DODOMA.

 Na. Kadala Komba DodomaShirika binafsi lilosajiliwa na Serikali la R.B.A Initiative. Limetoa mafunzo ya Usugu wa vimelea vya Magonjwa kwa waandishi wa Habari Mkoani Dodoma, Lengo ni kutambua mchango wa Waandishi wa Habari katika kufikisha ujumbe sahihi kwa jamii Mafunzo yamefanyika Tarehe 19/12/2023  katika Ukumbi wa Nala centrurion hot...

SERIKALI IPO MBIONI KUTENGENEZA MFUMO WA KITAIFA WA KIELETRONIKI.

 Na Moreen Rojas,DodomaSerikali  ipo mbioni kutengeneza mfumo wa kitaifa wa kieletroniki wa taarifa za soko la ajira utakaogharimu kiasi cha shilingi milioni 346.9 kwa ajili ya kuwezesha ukusanyaji wa taarifa kuanzia ngazi ya Wilaya hadi Taifa.Hatua hiyo imelenga kupunguza taarifa za upotoshaji wa nafasi za ajira ambazo mara nyingi zimekuwa zikisambazwa mitandaoni...

TRA DODOMA YAADHIMISHA SIKU YA MLIPA KODI KWA KUWAFIKIA MAKUNDI MAALUMU.

 Na Moreen Rojas,Dodoma.Mamlaka ya mapato Tanzania (TRA) Mkoa wa Dodoma imeadhimisha siku ya mlipa kodi kwa kuwafikia makundi maalumu ambapo wameweza kutembelea hospitali ya taifa ya afya ya akili(mirembe) pamoja na nyumba ya matumaini iliyopo kata ya miyuji.Wakiadhimisha siku hiyo Meneja TRA Mkoa wa Dodoma Castro John amesema wanawashukuru wateja wao kwa kuendelea kutoa...

WASTANI WA MATUMIZI KWA SIKU KWA MTU NI SHILINGI 1,419.

 Na Moreen Rojas,Dodoma.Matokeo yameonesha kuwa katika kaya za Walengwa, wastani wa matumizi kwa siku kwa mtu ni TZS 1,419 (sawa na US$0.6 kwa siku) kwa mwaka 2022, ambapo kiwango hicho kipo chini ya mstari wa umaskini wa Tanzania Bara wa TZS 1,859 (US$0.80) kwa mwaka 2022.Hayo yameelezwa na Mhe.George Simbachawene Waziri wa Nchi,Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala...