Subscribe Us

This is default featured slide 1 title

Go to Blogger edit html and find these sentences.Now replace these sentences with your own descriptions.

MAJIKO YA GESI 3,250 KUTOLEWA KWA BEI YA RUZUKU BAHI

 Na. Kadala Komba Bahi Serikali kupitia Wakala wa Nishati Vijijini (REA) imeanza usambazaji wa majiko ya gesi (LAKE ) kwa bei ya ruzuku Wilayani Bahi Mkoani wa Dodoma ikiwa ni utekelezaji wa Mkakati wa Kitaifa wa Matumizi ya Nishati Safi ya Kupikia 2024-2034.Hayo yameelezwa Februari 19, 2025 Wilayani Bahi na Afisa mauzo lake gesi campan ,Kisajli Nehemia  wakati wa...

MAAFISA ELIMU KATA,WALIMU WAKUU WAJENGEWA UWEZO BAHI

 BAHIKupitia Mpango wa Shule bora leo tarehe 10/02/2025 yamefanyika Mafunzo ya Uongozi na Usimamizi wa Shule Wilayani Bahi .Mafunzo haya yana lengo la kuongeza ushirikiano baina ya Walimu Wakuu,Maafisa Elimu Kata na watumishi walio chini yao ili kuboresha utendaji kazi  na kufanikisha dhana nzima ufundishaji na ujifunzaji ili kupata matokeo bora.Mafunzo hayo yamefunguliwa...

MAKATIBU WAKUU NA WADAU WA TANZANIA SAFARI CHANNEL WAKUTANA DODOMA

 Kamati ya Makatibu Wakuu wa Wizara mbalimbali pamoja na wadau wa televisheni ya Tanzania Safari Channel wamekutana kuzungumzia uendeshaji wa Chaneli ya Utalii ya Tanzania Safari Channel inayomilikiwa na Shirika la Utangazaji Tanzania (TBC).Akizungumza mara baada ya Kikao cha Makatibu Wakuu wa Wizara Wadau wa Tanzania Safari Channel kilichofanyika katika Ukumbi wa Jakaya...