
Na. Kadala Komba Bahi Serikali kupitia Wakala wa Nishati Vijijini (REA) imeanza usambazaji wa majiko ya gesi (LAKE ) kwa bei ya ruzuku Wilayani Bahi Mkoani wa Dodoma ikiwa ni utekelezaji wa Mkakati wa Kitaifa wa Matumizi ya Nishati Safi ya Kupikia 2024-2034.Hayo yameelezwa Februari 19, 2025 Wilayani Bahi na Afisa mauzo lake gesi campan ,Kisajli Nehemia wakati wa...