Subscribe Us

BAJETI YA MWAKA 2025\2026 SHILING BILION 35.9 YAPITISHWA BAHI KWA KISHINDO

Kusho ni Mkurugenzi Mtendaji Halmashauri ya Bahi Zaina Mlawa katikati ni Mkuu wa Wilaya ya Bahi Joachim Nyingo mwisho ni Donald Mejiti Mwenyekiti wa Halmashauri ya Bahi [MNEC]


 Kikao cha Baraza la Madiwani cha kupokea ,kupitia na kujadili Rasimu ya Mpango na Bajeti kwa mwaka 2025\2026 katika ukumbi wa Halmashauri ya Wilaya ya Bahi   

Mwenyekiti wa ccm wilaya ya Bahi Stuwart Masima akiwa na Paulina Bupamba katibu Ccm wilaya ya Bahi



Mbunge wa Jimbo la Bahi mkoani Dodoma, Kenneth Nollo kwenye mkutano wa Bajeti 

Diwani kata ya Ibugule Blandina Magawa akielezea changamoto ya maji kwenye kata yake


 

MKURUGENZI MTENDAJI WA HALMASHAURI YA WILAYA YA BAHI BI.ZAINA MLAWA 

Diwani kata ya Mpamantwa Sosthenes Mpandu Akipongeza kamati ya elimu Bahi kwa matokeo mazuri ya darasa la saba

 

Wajumbe wa mkutano wa bajeti 2025\2026

KATIBU TAWALA WA WILAYA YA BAHI NDUGU. MWANAMVUA BAKARI AKIJITAMBULISHA KWENYE BARAZA LA MADIWA 
Donald Mejiti Mwenyekiti wa Halmashauri ya Bahi [MNEC]


ENG. HOPENESS LIUNDI MENEJA RUWASA AJIKIBU HOJA ZA MADIWANI WILAYA YA BAHI

HONORINA MKUNDA AFISA MIPANGO HALMASHAURI YA WILAYA YA BAHI AKISOMA TAARIFA YA BAJETI YA MWAKA 2025\2026 KWA NIABA YA MKURUGENZI MTENDAJI WA HALMASHAURI YA BAHI ZAINA MLAWA

 

Waheshimiwa madiwani wa Halmashauri ya Wilaya ya Bahi tarehe 29\01\2025  kupitia mkutano wa baraza ,wamejadili na kupitisha rasimu ya mpango na bajeti mwaka wa fedha 2025\2026

   Tsh.35,977,869,837. Bajeti hii ambayo imelenga kutekeleza shughuli mbalimbali za maendeleo ikiwa ni pamoja na kukamilisha miradi ya maendeleo viporo,Utoaji mikopo ya asilimia 10 kupitia mapato ya ndani kwa makundi ya wanawake, vijana na watu wenye ulemavu ,kuboresha miundombinu mbalimbali ya Afya na elimu na kuendelea kuimarisha sekta ya kilimo,mifugo na uvuvi kwakuviongezea thamani vyanzo vitokanavyo na kilimo Kilimo ,mifugo na Uvuvi ili kuimarisha mapato ya Halmashauri na Wananchi wa wilaya ya Bahi kwa ujumla wake alisema  itakayotekelezwa katika mwaka wa fedha 2025\2026

Honorina  Mkunda Afisa Mipango Halmashauri ya Wilaya ya Bahi  alisema hayo  wakati akiwakilisha bajeti hiyo kwa niaba ya Mkurugenzi  mtendaji Zaina Mlawa 

      Na. Kadala Komba Bahi

MWISHO 

Related Posts:

0 Comments:

Post a Comment