Subscribe Us

This is default featured slide 1 title

Go to Blogger edit html and find these sentences.Now replace these sentences with your own descriptions.

MKURUGENZI WA FEMAPO MATHIAS LYAMUNDA AMECHANGIA MILIONI 1 SHULE YA MSINGI BAHI

Na. Kadala Komba Bahi Mathias Lyamunda Mkurungenzi wa Shirika la Foundation for environmental Management and Campaign Against Poverty-(FEMAPO), amechangia Shilingi Milioni moja (1,000,000/: taslimu kwajili ya maendeleo ya shule ya  Msingi Bahi Mission na Shule ya Msingi ya Chiona.Hayo yamejiri wakati wa Mahafali ya 92 katika Shule hizo mbili ambazo zimefanya vizuri na...

*FURSA KWA WANAWAKE KUKOPA DOWOSA RIBA ASILIMIA 1 KWA MWEZI*

Na. Kadala Komba Dodoma Mhe. Mbonipaye Mpango Mwenza wa Makamu wa Raisi wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania  Amewataka wanawake kujiunga na DODOMA WOMEN SACCOS (DOWOSA) kwa maendeleo ya uchumi wetu Dowosa ni Saccos ya kujiunga ninauhakika kwa Dowosa ni chombo cha kuchochea kukuwa kwa uchumi katika jamii na Taifa wanachama na viongozi zingatieni mambo muhimu hili chama...