
Na. Kadala Komba Bahi Mathias Lyamunda Mkurungenzi wa Shirika la Foundation for environmental Management and Campaign Against Poverty-(FEMAPO), amechangia Shilingi Milioni moja (1,000,000/: taslimu kwajili ya maendeleo ya shule ya Msingi Bahi Mission na Shule ya Msingi ya Chiona.Hayo yamejiri wakati wa Mahafali ya 92 katika Shule hizo mbili ambazo zimefanya vizuri na...