
Na; Mwandishi Wetu – DodomaWaziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu anayeshughulikia Sera, Bunge na Uratibu Mhe. Jenista Mhagama, amesema Serikali imejenga vituo maalum vya urekebu na ufundi stadi ili kuwasadia vijana na wale wote wanaoathirika baada ya kutumia dawa za kulevya.Ameyasema hayo mapema leo Mei 30 2023, Bungeni Dodoma wakati akitoa taarifa kwa...