Subscribe Us

This is default featured slide 1 title

Go to Blogger edit html and find these sentences.Now replace these sentences with your own descriptions.

“SERIKALI KUJENGA VITUO MAALUM VYA UREKEBU” WAZIRI MHAGAMA

Na; Mwandishi Wetu – DodomaWaziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu anayeshughulikia Sera, Bunge na Uratibu Mhe. Jenista Mhagama, amesema  Serikali imejenga vituo maalum vya urekebu na ufundi stadi ili kuwasadia vijana  na wale wote wanaoathirika baada ya kutumia dawa za kulevya.Ameyasema hayo mapema leo Mei 30 2023, Bungeni  Dodoma  wakati akitoa taarifa kwa...

TUKUMBUKE KULIOMBEA TAIFA - SIMBACHAWENE

 Na. Mwandishi Wetu. Waziri wa Nchi Ofisi ya  Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora Mhe. George Simbachawene amewataka viongozi wa dini zote nchini kuendelea kuliombea Taifa amani, utulivu  pamoja na kukemea vitendo viovu vya mmomonyoko wa maadili vinavyoendelea duniani kote. Waziri Simbachawene ameyasema hayo wakati alipomuwakilisha...

CHANGAMOTO YA WASICHANA KUACHA SHULE BADO IPO

 Na Sifa Lubasi, Chemba UTAFITI wa tathimini uliofanywa na Mtandao wa Elimu Tanzania (Ten/met) umeonesha changamoto ya kuacha shule bado ipo kwa wasichana kwa asilimia  saba kwa shule za msingi na asilimia tano kwa shule za sekondari katika Wilaya ya Chemba mkoani Dodoma.Hayo yamebainika  wakati wa uzinduzi wa awamu ya pili ya mradi  wa Kuondoa vizuizi...

Leseni 3,214 madereva mabasi, malori zafutwa

 JESHI la Polisi Kitengo cha Usalama Barabarani limezifuta leseni 3,214 za madaraja C na E za madereva waliokuwa wakiendesha malori na mabasi ya abiria. Kamanda wa Kikosi cha Usalama Barabarani, Ramadhani Ng’anzi amesema Dar es Salaam jana kuwa leseni zilizofutwa ni kati ya leseni 20,940 zilizohakikiwa hadi Aprili 30, mwaka huu. Kamanda Ng’anzi alilieleza HabariLEO...

AFUTA HARUSI BAADA YA MCHUMBA KUMPELEKEA X WAKE KADI YA MUALIKO NA KUPAKULIANA ASALI

 Mwanamke mmoja raia wa Nigeria amejawa na machozi baada ya mchumba wake kufuta harusi yao.Mrembo huyo alianika suala hilo kwenye kundi la Facebook na kuomba ushauri wa wanamtandao.Alisema alimtembelea tu mpenzi wake wa zamani ili kumpa kadi ya mwaliko kwenye harusi yake, lakini aliishia kurusha roho na jamaa huyo.Kwa bahati mbaya, mume wake mtarajiwa aligundua kuhusu...

AMUUA MKE MWENZA KWA KUMCHOMA SINDANO YA SUMU

 Maafisa wa Polisi nchini Uganda wanamsaka mwanamke anayedaiwa kutoroka nyumbani baada ya kumchoma mke mwenza kwa sindano iliyokuwa na sumu.Jackie Namubiru anadaiwa kumuua mke mwenza Nakimera Lydia mwenye umri wa miaka 23, baada ya kumdunga sindano yenye sumu na kutoroka. Kwa mujibu wa ripoti iliyochapishwa na jarida la Nilepost, Lydia alikimbizwa katika Kliniki...

SEKTA YA UVUVI NA KILIMO NI UTAJIRI

NA.MWANDISHI WETUKatibu Mkuu Ofisi ya Waziri Mkuu anayeshugulikia masuala ya Sera, Bunge na Uratibu Dkt. Jim Yonazi amesema sekta ya kilimo na uvuvi zinatija katika kujiletea maendeleo ya taifa letu kwa kuzingatia fursa zilizopo. Ametoa kauli hiyo wakati wa ziara yake ya kikazi kutembelea na kukagua utekelezaji wa miradi ya Kuendeleza sekta ya Kilimo na Uvuvi ya AFDP...

WAJAWAZITO KUPIMWA VIPIMO VYA AWALI BILA MALIPO

Na. Catherine Sungura-Dodoma. Waziri wa Afya Mhe.Ummy Mwalimu amewataka akina mama wajawazito wanaofika kwenye Kliniki za Uzazi, Mama na Mto kupimwa wingi wa damu, mkojo kuangalia wingi wa protini, shinikizo la damu pamoja na kusikiliza mapigo ya moyo ya mtoto bila kutozwa gharama zozote. Haya ameyasema leo wakati wa kukabidhi  vifaa tiba vya kuboresha huduma...