Subscribe Us

This is default featured slide 1 title

Go to Blogger edit html and find these sentences.Now replace these sentences with your own descriptions.

*INEC YAWATAKA WATENDAJI WA UBORESHAJI KUTUNZA VIFAA*

 Na Mwandishi wetu, KigomaTume Huru ya Taifa ya Uchaguzi (INEC) imetaka watendaji wakati wa uboreshaji wa Daftari la Kudumu la Mpiga Kura Mkoani Kigoma kuhakikisha wanatunza vifaa vya uandikishaji ili vikaweze kutumika maeneo mengine nchini.Hayo yamesemwa na Mwenyekiti wa Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi, Mhe. Jaji wa Rufaa Jacobs Mwambegeke wakati akifungua mafunzo ya...

MBUNGE NOLLO AMPONGEZA RAIS SAMIA KWA MIRADI MINGI YA MAENDELEO JIMBO LA BAHI

 Na. Kadala Komba Bahi Haya yamebainishwa na Mheshimiwa Mbunge wa jimbo wa Bahi Kenneth Nollo katika mkutano wa hadhara aliyofanya Mkuu wa Mkoa Dodoma Rosemary Senyemule akisikiliza kero za wananchi  kata ya Bahi mtaa wa chuma ulete.  "Mhe. Nollo alisema nampongeza rais Samia Hassan kwa kutekeleza miradi mingi ya maendeleo Bahi, Tuna kila sababu ya...

*TOFAUTI ZA DINI, SIASA ZISIWAGAWE WATANZANIA - DKT. BITEKO*

📌 Awataka waumini kushirikiana na Askofu Pangani📌Serikali kuendelea kushirikiana na taasisi za dini nchini📌 Rais Samia apewa tuzo kwa uongozi uliotukuka na kulinda amani*Na Ofisi ya Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati*Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko amewataka Watanzania kudumisha amani, mshikamano na  upendo na kamwe wasigawanywe kwa...