
Na. Kadala Komba DodomaMwenyekiti wa Bodi ya Chama cha Biblia cha Tanzania Askofu Mkuu Mark Walwa Malekana Amesema tunaamini taifa la leo na kanisa la leo limejengwa juu ya Watoto tusipofanya bidii kuwatahadharisha Watoto wa leo hakuna fyucha ya taifa wala fyucha ya watoto hivyo watoto wapatiwe umuhimu katika kupewa maandiko matakatifu katika kutekeleza hili tunawashukuru...