Subscribe Us

This is default featured slide 1 title

Go to Blogger edit html and find these sentences.Now replace these sentences with your own descriptions.

MWAROBAINI WA VITENDO VYA UKATILI NA USHOGA UMEPATIKANA ASKOFU MALEKANA

 Na. Kadala Komba DodomaMwenyekiti wa Bodi ya Chama cha Biblia cha Tanzania Askofu Mkuu Mark  Walwa Malekana Amesema tunaamini taifa la leo na kanisa la leo limejengwa juu ya Watoto tusipofanya bidii kuwatahadharisha Watoto wa leo hakuna fyucha ya taifa wala fyucha ya watoto hivyo watoto wapatiwe umuhimu katika kupewa maandiko matakatifu katika kutekeleza hili tunawashukuru...

TANGAZO LA AJIRA JESHI LA POLISI

&nb...

ZAIDI YA BILIONI 11 ZIMELIPWA KAMA KIFUATA JASHO NA MACHOZI

 Na. Anangisye Mwateba-Bungeni Dodoma.Serikali imelipa kiasi cha shilingi bilioni 11,085,850,400 kama kifuta jasho na kifuta machozi kuanzia Mwaka wa fedha 2017/2018 hadi Machi, 2024, kwa wananchi waliothirika na changamoto ya wanyama wakali na waharibifu.Hayo yamebainika wakati wa kipindi cha maswali na majibu ambapo Naibu Waziri wa Maliasili na Utalii Mhe. Dunstan Kitandula...

NDUGAI AMEFIKA SHULE YA BAHI MISHENI KUWAPONGEZA WALIMU NA WANAFUNZI

Na. Kadala Komba Bahi Spika wa bunge mstafu Job Ndugai akiwasalimia wazazi na walimu wa kijiji cha Bahi sokoni SPIKA WA BUNGE MSTAFU JOB NDUGAI SAMBAMBA NA MKUU WA MKOA WA DODOMA MHE. ROSEMARY SENYAMULE  WAMETEMBELEA HALMASHAURI YA BAHI KATIKA HAFLA YA KUWAPONGEZA WALIMU WA WANAFUNZI WALIOFANYA VIZURI KWENYE MITIHANI YA KITAIFA DARASA LA NNE , DARASA LA SABA,...