Subscribe Us

This is default featured slide 1 title

Go to Blogger edit html and find these sentences.Now replace these sentences with your own descriptions.

CHAMA CHA USHIRIKA KIMEZINDUA MKAKATI WA UPANDAJI MITI KWENYE VYAMA VYA USHIRIKA NA WADAU WA USHIRIKA

 Na. Kadala Kuomba Dodoma Hayo yamejiri jijini Dodoma katika shughuli ya upandaji miti shule ya msingi uhuruDkt. Benson Ndiege Mrajis wa Vyama vya Ushirika amesema tunapozungumzia mazingira ni swala la kidunia ni swala la kiulimwengu kwamaba mataifa yote ikiwemo Tanzania tunashiriki kuhakikisha kwamba tunaboresha mazingira kwa masilahi ya mwanadamu ambao wanaishi...

WACHIMBAJI WADOGO WA MADINI WATAKIWA KUAKISI TASWIRA YA WANANCHI WA DODOMA.

 Hamasa imetolewa kwa wachimbaji wadogo wa Madini Mkoa wa Dodoma kuifanya sekta hiyo kuakisi uchumi wa wananchi wa Dodoma kwani ndio Mkoa pekee nchini ambao unapatikana aina nyingi zaidi za madini ukilinganishwa na Mikoa mingine ya Tanzania.Hayo yamebainishwa  Januari 10 wakati wa kikao kazi kilichoitishwa na Mkuu wa Mkoa wa Dodoma Mhe. Rosemary Senyamule na wadau...

FURSA TANGAZO LA KAZI (TUCTA)

&nb...